Matatani akituhumiwa kumfanyia ukatili wa kijinsia, mtoto wa mdogo wa mkewe
Iringa. Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia Benjamin Kikula (61), baba mkubwa wa marehemu Naomi Kivamba (13), kwa tuhuma za kuhusika na ukatili wa kijinsia na mauaji ya mtoto huyo, tukio lililotokea katika eneo la Isakalilo. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Machi 12, 2026 katika eneo la Zizi, Manispaa ya Iringa, Kamanda wa…