Hisa za NMG zapaa kwa asilimia 28.3 ndani ya saa 48
Dar es Salaam. Bei ya hisa za kampuni ya habari ya Nation Media Group (NMG) imeongezeka kwa asilimia 28.3 ndani ya siku mbili kufuatia tangazo la Jumanne kuwa mfanyabiashara Rostam Aziz ananunua hisa nyingi katika kampuni hiyo. Jana, bei ya hisa hizo katika soko la hisa la Nairobi (NSE) iliongezeka kwa asilimia 7.6 na kufikia…