Admin

KIKAO CHA 19 CHA KAMATI YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WAFANYIKA ARUSHA

Kikao cha 19 cha Kamati ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kimefanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa VETA-Njiro kikihusisha wajumbe kutoka taasisi mbalimbali. Kikao hicho kimekusudia kujadili maendeleo ya mifuko na programu za uwezeshaji hapa nchini ikiwemo inayotoa mikopo, dhamana, ruzuku pamoja na programu mbalimbali za uwezeshaji wananchi kiuchumi. Washiriki wa kikao hiki…

Read More

Kuna kitu mbio za Mt Meru

ZIKIFANYIKA kwa mara ya kwanza nchini mbio za nyika na vikwazo chini ya Mlima Meru uliopo Arusha, ni ubunifu wa aina yake utakaobeba michezo, utalii pamoja na afya ya akili na mwili. Zaidi ya kukimbia kwa miguu, pia kulikuwapo na mbio za baiskeli na shindano la pikipiki za Enduro yote yakija na utalii wa vivutio…

Read More

Tuanze kujipanga kwa AFCON 2027

BADO mawazo ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024 hayajaisha kichwani japo mashindano yamemalizika na Morocco imechuka ubigwa. Hayahusu sana kisa timu yetu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliishia robo fainali maana timu iliyotutoa ndio ilimaliza ikiwa kinara wa mashindano hayo na ni taifa kubwa hasa. Namba ndogo ya…

Read More

DB Lioness Vs Polisi Stars hapatoshi

Timu ya DB Lioness ilitinga nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (WBDL), baada ya kuifunga timu ya ngumu ya Polisi Stars kwa michezo 2-1. Robo fainali hiyo iliyohudhuriwa na watazamaji wengi, ilifanyika kwenye Uwanja Donbosco, Oysterbay. Kwa matokeo hayo, timu ya DB Lioness itacheza na Jeshi Stars katika nusu fainali,…

Read More

Mtibwa kuchomoa wawili Singida Black Stars

MABOSI wa Mtibwa Sugar wanafanya mazungumzo na uongozi wa Singida Black Stars ili kupata saini ya nyota wawili wa timu hiyo kwa mkopo akiwamo, beki wa kushoto Mghana, Ibrahim Imoro na kiungo mshambuliaji kutoka Ivory Coast, Serge Pokou. Imoro aliyejiunga na timu hiyo Julai 1, 2024, akitokea Al-Hilal Omdurman ya Sudan, awali alikuwa anawindwa na…

Read More

Taifa Stars mzigoni tena | Mwanaspoti

BAADA ya kumaliza kazi kwenye Fainali za CHAN 2024 zilizoandaliwa kwa ushirikiano wa Tanzania, Kenya na Uganda, kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars usiku wa leo kitakuwa kibaruani ugenini katika mechi ya kuwania kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Dunia za 2026. Tanzania itavaana na Congo Brazzaville kwenye Uwanja wa Alphonce Massamba-Debat ikiwa…

Read More

JKT Queens, JKU kazi inaanza

BAADA ya jana kufunguliwa kwa michuano ya CECAFA ya wanawake kwa kuchezwa mechi mbili za makundi, CBE dhidi ya Rayon Sports na wenyeji Police Bullets dhidi ya Kampala Queens, leo saa 7:00 mchana JKT Queens itaikaribisha JKU Queens Zanzibar kwenye Uwanja wa Nyayo, Kenya.

Read More

Job ameshasema huko! Sasa kazi kwenu

YANGA jana ilikuwa uwanjani kupima ubavu na timu moja ya jeshi, lakini kabla ya hapo, juzi kati ilivaana na Tabora United na kupata ushindi wa mabao 4-0, huku mmoja wa manahodha wa timu hiyo akiishuhudia akiwa nje ya uwanja, kisha akawaambia wenzake kwamba kikosi hicho kina watu. …

Read More