Admin

Mtakwimu aonya matumizi mifumo ya akili unde

Dodoma. Zaidi ya vijana 713 na wasimamizi 69 wamepata ajira za muda katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu, huku wakionyeshwa onyo la kutotumia mifumo ya akili unde (AI) kupika takwimu kwa kuwa shughuli zao zinafuatiliwa katika kila hatua. Onyo hilo limetolewa jana jioni Machi 11, 2026 na Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Amina Msengwa, wakati akizungumza…

Read More

SIASA ZA ULIMWENGU ZINAATHIRI NCHI ZA SADC

::::::: Hali ya sasa ya siasa za ulimwengu na vita zinazoendelea Mashariki ya kati, imesababisha madhara makubwa ulimwenguni ikiwemo kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), na huo ni ujumbe tosha kwa nchi zetu kuchukua hatua Madhubuti za pamoja kujinasua. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la SADC ambaye…

Read More

Bakwata: Sikukuu ya Eid El-Fitri Machi 20–21

Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata) limetangaza rasmi Sikukuu ya Eid El-Fitri mwaka huu itasherehekewa Machi 20 au 21, 2026, kutegemea mwandamo wa mwezi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Machi 12, 2026 na Katibu Mkuu wa Bakwata, Alhaj Nuhu Mruma, sherehe za kitaifa zitaongozwa na Baraza la Eid litakalofanyika…

Read More

Kauli ya Mojtaba Khamenei Yazua Taharuki Mashariki ya Kati, Taarifa yake Yasomwa Runingani

Taarifa inayodaiwa kutolewa kwa niaba ya kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, imesomwa kupitia televisheni ya taifa huku kukiwa na tetesi zinazoendelea kuhusu hali yake ya afya. Taarifa hiyo ilitangazwa na mtangazaji wa habari katika televisheni ya serikali ya Iran, lakini Khamenei mwenyewe hakuonekana hadharani. Kutokuwepo kwake kwenye matangazo ya moja kwa moja kumezidisha uvumi…

Read More