Admin

Masilingi awataka watendaji kuongeza uwazi kwenye miradi ya CSR

Geita. Mwenyekiti wa Tume ya Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini na Gesi, Balozi Wilson Masilingi, amewataka watendaji wa halmashauri nchini kuhakikisha kunakuwepo uwazi na ushirikishwaji wa wananchi katika uteuzi wa miradi inayotekelezwa kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), kutoka kampuni za uchimbaji madini. Masilingi amesema kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji katika utekelezaji wa miradi…

Read More

Jamii yatakiwa kupaza sauti kukomesha ukatili wa kijinsia

Dodoma. Jamii imetakiwa kuvunja ukimya na kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyowakumba wanawake, watoto na watu wenye ulemavu, ili kusaidia kukomesha vitendo hivyo na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua za kisheria. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Machi 12, 2026, jijini Dodoma na Mkuu wa Dawati la Jinsia, Wanawake na Watoto Mkoa wa Dodoma,…

Read More

BOT yatangaza nafasi 105 za ajira

Dar es Salaam. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza jumla ya nafasi 105 za ajira katika kada mbalimbali, ikiwakaribisha Watanzania wenye sifa kuomba nafasi hizo kabla ya Machi 24, 2026. Tangazo hilo lililotolewa Machi 10, 2026 linaeleza kuwa nafasi hizo zinalenga kuongeza nguvu kazi yenye…

Read More

Airtel Tanzania yazindua Maduka 17 ya Smart Shops Dar es Salaam, kukuza Huduma za Kidijitali

 Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini, imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam. Maduka haya ni sehemu ya mtandao wa maduka 31 nchini kote, ukiwa na lengo la kupanua huduma za kidijitali na kuongeza ujumuishaji wa kifedha kwa wananchi. Uzinduzi huo uliofanyika Machi 12, 2026, ulihudhuriwa na Mhe. Angellah…

Read More

Bilioni 388.8 kujenga Afcon City Unguja

WAKATI Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi zitakazokuwa wenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imejiandaa vizuri kupokea ugeni huo kwa kuanzisha mradi wa michezo uliopewa jina la Afcon City. Mradi huo unaojengwa Fumba kisiwani Unguja, unatarajiwa kugharimu dola za Marekani milioni 150 (Sh388.8 bilioni za…

Read More

Chamou aendeleza rekodi dhidi ya Namungo

BEKI wa kati wa TRA United, Chamou Karaboue, ameendeleza rekodi bora katika Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya nyota huyo kufikisha mabao mawili, ambayo yote ameyafunga dhidi ya ‘Wauaji wa Kusini’, Namungo, huku akichezea timu mbili tofauti. Nyota huyo anayeichezea TRA United kwa mkopo akitokea Simba, alianza kufunga akiwa na kikosi hicho cha Msimbazi,…

Read More

Dalali wa Mahakama akamatwa, agizo la Dk Mwigulu halijatekelezwa

Arusha. Zikiwa zimepita siku 17 tangu agizo la Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba la kurejeshwa mali za mfanyabiashara wa Arusha, Josephine Shirima, mali hizo bado hazijarudishwa huku Jeshi la Polisi likimshikilia dalali wa Mahakama anayedaiwa kuhusika katika kuchukuliwa kwa mali hizo. Aidha, Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Arusha, Dominic Mollel, aliyekuwa anashikiliwa na polisi kwa…

Read More