
Siri za Nangu zaanikwa, Simba ikipongezwa
KIKOSI cha Simba kinaendelea na maandalizi ya tamasha la Simba na mechi za kufungulia msimu mpya wa 2025-26, lakini kuna mastaa wawili wapya bado hawajaanza kazi na kikosi hicho, japo tayari wameshatambulishwa na mmoja kati ya hao ni beki aliyemshtua kocha wa zamani wa Yanga. …