Admin

Mwabudu Mungu aliyethibitika upate kuwa na amani maishani

Dar es Salaam. Bwana Yesu asifiwe. Karibu katika somo la mahubiri leo Jumapili. Hili ni somo litakalokufanya usimame vyema katika kumwabudu huyu Mungu wa kweli, anayesema, “Mimi Niko ambaye Niko” Yehova ndilo jina lake.  Ninaitwa Hosea Gambo, mtumishi wa huyu Mungu ninapatikana Kanisa la HRCC TAG Haydom, Mbulu mkoani Manyara. 1 Fal 18:36-37 “Ikawa, wakati…

Read More

Maeneo tisa ya ajira za muda msimu wa sikukuu

Dar es Salaam. Kadri shamrashamra za mwisho wa mwaka zinavyozidi kushika kasi, picha halisi ya namna vijana wanavyojitafutia kipato katika msimu wa sikukuu inaendelea kujitokeza, hususani maeneo ya mijini. Kutoka masoko yenye msongamano hadi matamasha makubwa ya burudani, vijana wamekuwa wakijipatia ajira za muda mfupi zinazoibuka Desemba kila mwaka. Kwa ujumla, ajira hizi za muda…

Read More

Umoja wa Mataifa ya Umoja wa Mataifa unahimiza vijana kudhibitisha amani kama kipaumbele cha ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Akiongea na Habari za UN mbele ya Jukwaa la 11 la Ulimwenguni ya Alliance, ambayo inafunguliwa huko Riyadh, Saudi Arabia Jumapili, Miguel Ángel Moratinos aliwasihi vijana kila mahali kurudisha amani kama kipaumbele cha ulimwengu. Baadaye inategemea kizazi kipya kilicho tayari kuchagua mazungumzo juu ya mgawanyiko, na ubinadamu juu ya chuki, alisema. Lara Palmisano- Unife Miguel…

Read More

CBE kujenga hoteli ya nyota tatu, kampasi Kilimanjaro

Dodoma. Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kinatarajia kutumia jumla ya Sh26.4 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa hoteli katika eneo la zaidi ya ekari 15 walilopewa, kwa lengo la kuanzisha kampasi ya chuo hicho mkoani Kilimanjaro. Mbali na kujenga hoteli hiyo inayotarajiwa kuwa ya nyota tatu, chuo kitapata pia majengo ya mabweni, madarasa ya…

Read More

Profesa Mkenda azungumzia kukamatwa mhadhiri UDOM

Moshi. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amesema taarifa za awali zinaonyesha mhadhiri wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) alikamatwa kutokana na matendo aliyofanya nje ya chuo. Amesema hayo kutokana na taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuanzia jana Desemba 12, 2025 ikieleza mhadhiri wa UDOM amekamatwa chuoni akituhumiwa kwa uchochezi. Taarifa hiyo…

Read More

Siri Jenista Mhagama kuitwa kiraka

Dodoma/Dar. Wakati mwili wa Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, ukiagwa mjini Dodoma, Bunge limetaja chanzo cha kifo chake huku Rais Samia Suluhu Hassan akieleza sababu za kumwita kiraka. Mbali na hayo, viongozi wa dini wamezungumzia kwa undani maisha yake ya kiroho, wakieleza namna alivyojitoa kulitumikia Kanisa. Mhagama aliyefariki dunia Desemba 11, 2025, mwili wake umeagwa…

Read More