Masilingi awataka watendaji kuongeza uwazi kwenye miradi ya CSR
Geita. Mwenyekiti wa Tume ya Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini na Gesi, Balozi Wilson Masilingi, amewataka watendaji wa halmashauri nchini kuhakikisha kunakuwepo uwazi na ushirikishwaji wa wananchi katika uteuzi wa miradi inayotekelezwa kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), kutoka kampuni za uchimbaji madini. Masilingi amesema kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji katika utekelezaji wa miradi…