Admin

Chadema yamtilia shaka Mwakilishi UN

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonesha wasiwasi wa kuwepo kwa mgongano wa masilahi dhidi ya Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN), Parfait Onanga-Anyanga, aliyetumwa kuzungumza na makundi mbalimbali nchini kuhusu matukio ya Oktoba 29. Onanga-Anyanga, amefanya ziara hiyo Machi 8 hadi 12, mwaka huu na kuzungumza na wadau mbalimbali, wakiwamo viongozi…

Read More

Familia yaiangukia Serikali kupotea kwa mtoto wao

Mbeya. Zikiwa zimepita siku 12 tangu kutoweka kwa mtoto Frank Aliko (10), familia yake imeiangukia Serikali ikiitaka kufanya uchunguzi wa kiintelenjia kufanikisha kupatikana kwake. Frank (10), mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Ikulu iliyopo Kata ya Ilomba, Halmashauri ya Jiji la Mbeya, inadaiwa ametoweka nyumbani tangu Machi 4, 2026 baada ya kupelekwa…

Read More