Nitaendelea Kuimarisha Udhamini Na Miundombinu Ya Michezo – Global Publishers
Last updated Oct 26, 2025 Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kufanya kila juhudi kuhakikisha wadhamini katika sekta ya michezo wanapatikana, ili kukuza vipaji na kuinua ustawi wa…