Waasi wa M23 watishia kupanua mashambulizi Kivu Kusini
Dar es Salaam. Kundi la waasi la M23, linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, limedhibiti mji wa Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kutishia kuendeleza mashambulizi yake nje ya Mkoa wa Kivu Kusini. Kauli hiyo imetolewa na Gavana wa mkoa huo, Emmanuel Rwihimba, wakati wa mkutano na waandishi wa habari, akisema kundi…