Kardinali Rugambwa atahadharisha matumizi holela ya AI vyuo vikuu
Mwanza. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, Mwadhama Protase Kadinali Rugambwa ameshauri vyuo vikuu nchini kuweka mwongozo wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) ili kuepuka matumizi holela na ya kupitiliza kwa wanafunzi. Amesisitiza kwamba matumizi ya AI yakikithiri, yatasababisha taifa kuzalisha wasomi wasio na uwezo wa kutafakari na kujenga hoja. Rugambwa ameyasema hayo…