Wadau Waangazia Uwezo wa Tanzania katika Biashara ya Kaboni katika Majadiliano ya Sera
Afisa Uwekezaji Mwandamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Mitaji (UNCDF) , Bw. Abraham Byamungu (wa kwanza kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Afisa wa Misitu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Lucas Jacob Sabida wakati wa warsha ya kujadili sera zinazohusiana na biashara ya kaboni iliyofanyika katika Hoteli ya Slipway…