
Rufaa za ubunge, udiwani zaacha vilio
Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imehitimisha mvutano wa kisheria kwa kutoa uamuzi wa rufaa za mapingamizi ya wagombea wa upinzani na chama tawala kwa ubunge na udiwani, uamuzi ulioacha baadhi ya wagombea wakifurahia ushindi huku wengine wakibaki na masikitiko. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC,…