Admin

Singida yaingia mazima kwa Lanso

BAADA ya Singida Black Stars kumrudisha Joseph Guede aliyekuwa anaichezea Al-Wehdat SC ya Jordan kwa mkopo, kwa sasa inaelezwa mabosi wa kikosi hicho wamemalizana na beki wa kulia wa KMC, Abdallah Said Ali ‘Lanso’. Guede aliyejiunga na Singida Julai 2024, akitokea Yanga, aliitumikia timu hiyo kwa miezi sita, kisha kujiunga na Al-Wehdat ya Jordan kwa…

Read More

Mbeya City yarudi kwa kiungo wa Yanga

BAADA ya mabosi wa Mbeya City kumkosa kiungo wa Yanga, Farid Mussa dirisha kubwa la usajili lililopita, kwa sasa vigogo hao wamerudi upya kuihitaji saini yake, ikiwa ni harakati za kukisuka kikosi hicho ili kilete ushindani zaidi. Taarifa kutoka katika timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti, Farid ni miongoni mwa wachezaji wanaowindwa na kikosi hicho na tayari…

Read More

Mrundi aziingiza vitani Pamba Jiji, TRA United

LICHA ya beki wa kati wa Fountain Gate, Mrundi Derrick Mukombozi kubakisha mkataba wa miezi sita na kikosi hicho, ila timu mbalimbali zimeanza kuiwinda saini yake dirisha dogo la Januari 2026, zikiwemo za Pamba Jiji na TRA United. Mtu wa karibu na mchezaji huyo, ameiambia Mwanaspoti ni kweli nyota huyo anafuatiliwa na timu mbalimbali dirisha…

Read More

TRA yapanua wigo wa kodi kuzuia magendo na ukwepaji kodi

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amesema wamejipanga kuongeza wigo wa kodi kwa kuzuia ukwepaji kodi na magendo. Amesema hayo Desemba 12, 2025, alipofanya mkutano na mawakala wa forodha na washauri wa kodi Jijini Dar es Salaam, ili kubaini changamoto wanazokabiliana nazo na kuzitafutia ufumbuzi. Hili linaelezwa wakati…

Read More

Chico Ushindi afariki dunia, kigogo athibitisha

TAARIFA mbaya kwa klabu Yanga ni kwamba, kiungo wao wa zamani Chico Ushindi amefariki dunia leo Desemba 13, 2025 akiwa kwao DR Congo. Mmoja wa maofisa wa klabu ya DON Bosco ambayo amewahi kuitumikia nyota huyo akitokea TP Mazembe, amethibitisha kwamba Chico amefariki baada ya kuugua kwa siku chache. Bosi huyo amesema Chico, alikuwa sawa…

Read More