Admin

Zitto ashida kesi dhidi ya Harbinder Sethi wa IPTL

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeitupilia mbali kesi ya madai ya zaidi ya Sh15 bilioni iliyofunguliwa na mfanyabiashara, Harbinder Sethi dhidi ya Zitto Kabwe. Katika shauri hilo, Sethi alidai ndiye mwenye hisa nyingi katika Kampuni ya Pan Africa Power Solution (PAP) iliyosajiliwa Tanzania na kwamba, PAP inamiliki pia…

Read More

MAREHEMU JENISTA MHAGAMA ALIKUWA KIONGOZI JASIRI,MWAMINIFU NA MLEZI WA VIONGOZI WA WENGI – RASI DKT SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Joakim Mhagama, iliyofanyika katika Kanisa la Mwenyeheri Maria-Theresa Ledochowska, Parokia ya Kiwanja cha Ndege, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma.  Rais Dkt. Samia alieleza…

Read More

Dk Nchimbi: Wananchi wa Peramiho hawana malalamiko na Jenista

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi chote cha miaka 25 ambayo Jenista Mhagama amekuwa mbunge wa Peramiho, wananchi wake hawana malalamiko juu yake. Amesema hali hiyo ilitokana na kazi kubwa aliyofanya, akitanguliza maslahi ya wananchi mbele na kuwatumikia kwa upendo. Jenista amekuwa mbunge kwa miaka 25, naibu waziri kwa…

Read More

Jenista Mhagama alivyojitoa kwa kanisa

Dodoma. Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja cha Ndege, Padri Emmanuel Mtambo amesema mbali na utumishi wa Serikali na nyanja za kisiasa, marehemu Jenista Mhagama alikuwa ni mtumishi mwaminifu wa kanisa hilo. Paroko Mtambo ametoa kauli hiyo wakati wa mahubiri yake kwenye ibada ya kuaga mwili wa Mhagama ndani ya kanisa hilo leo Jumamosi…

Read More

Familia, Zungu walivyomuelezea Jenista Mhagama

Dar es Salaam. Mtoto wa marehemu, Victor Mhagama, amesema wakati wengine wakimuita Jenista Mhagama kiongozi, wao walimuita mama na katekista kwa sababu alikuwa mwalimu wa dini nyumbani. “Tulimpenda sana mama, tuliishi naye kwa karibu na upendo naye aliunganisha sana familia yetu,” amesema Mhagama. Ametoa kauli hiyo wakati akitoa neno la familia katika ibada ya kuaga…

Read More