Zitto ashida kesi dhidi ya Harbinder Sethi wa IPTL
Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeitupilia mbali kesi ya madai ya zaidi ya Sh15 bilioni iliyofunguliwa na mfanyabiashara, Harbinder Sethi dhidi ya Zitto Kabwe. Katika shauri hilo, Sethi alidai ndiye mwenye hisa nyingi katika Kampuni ya Pan Africa Power Solution (PAP) iliyosajiliwa Tanzania na kwamba, PAP inamiliki pia…