
OSHA KUIWEZESHA SHULE YA KAMBANGWA VIFAA VYA KUJIFUNZIA
Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule yaSekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam kwa kuipatia vifaa muhimu vya kujifunzia zikiwemo kompyuta, kichapishi (printer) pamoja na kujenga uzio wa shule hiyo. Ahadi hiyo imetolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda wakati akihutubia katika Mahafali…