Costech yaja na ‘Tanzania Ventures Lab’ kuwezesha bunifu, biashara changa
Dar es Salaam. Katika mwendelezo wa kuhakikisha bunifu na biashara changa za vijana zinaendelezwa, Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwa kushirikiana na Sahara Ventures imekuja na programu ya kitaifa inayolenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini Tanzania. Pia kuharakisha ukuaji wa biashara changa haswa zinazofanywa na vijana ili waweze kukua zaidi. Programu hiyo…