‘Wapinzani’ CUF wakomaa mwenyekiti mpya ajiuzulu, mwenyewe ajibu mapigo
Dar es Salaam. Wakati Mwenyekiti mpya wa Chama cha Wananchi (CUF), Mirambo Yusuf akianza juhudi za kufanya maridhiano ya ndani, upande unaompinga umedai mchakato huo hautakuwa na maana iwapo hatajiuzulu. Mirambo, aliyechaguliwa Februari 22, 2026 kuongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, yupo katika ziara ya kujitambulisha kwa viongozi wa chama ngazi ya…