Ruby Play Ya Meridianbet Kukufanya Mgeni Maalum Wa Ushindi
Ruby Play Ya Meridianbet Kukufanya Mgeni Maalum Wa Ushindi – Global Publishers Home Burudani Ruby Play Ya Meridianbet Kukufanya Mgeni Maalum Wa Ushindi
Ruby Play Ya Meridianbet Kukufanya Mgeni Maalum Wa Ushindi – Global Publishers Home Burudani Ruby Play Ya Meridianbet Kukufanya Mgeni Maalum Wa Ushindi
KLABU nane zitashiriki Kombe la Mapinduzi 2026, baada ya msimu uliopita mashindano hayo kushirikisha timu za taifa na Zanzibar Heroes kuwa bingwa ilipoichapa Burkina Faso mabao 2-1, kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Desemba 28, 2025 na kumaliza Januari 13, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, bingwa atakabidhiwa Sh150…
Rais Samia: Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri na Nguzo ya Matumaini kwa Wanawake – Video – Global Publishers Home Michezo Rais Samia: Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri na Nguzo ya Matumaini kwa Wanawake – Video …
Dar es Salaam. Mtoto wa marehemu, Victor Mhagama, amesema wakati wengine wakimuita Jenista Mhagama kiongozi, wao walimuita mama na katekista kwa sababu alikuwa mwalimu wa dini nyumbani. “Tulimpenda sana mama, tuliishi naye kwa karibu na upendo naye aliunganisha sana familia yetu,” amesema Mhagama. Ametoa kauli hiyo wakati akitoa neno la familia katika ibada ya kuaga…
KLABU nane zitashiriki Kombe la Mapinduzi 2026, baada ya msimu uliopita mashindano hayo kushirikisha timu za taifa na Zanzibar Heroes kuwa bingwa ilipoichapa Burkina Faso mabao 2-1, kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Desemba 28, 2025 na kumaliza Januari 13, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, bingwa atakabidhiwa Sh150…
KAMA wewe ni mbashiri kwelikweli basi umewahi kutamani kuwa mahali ambapo burudani, ushindi, na msisimko vinakutana kwa wakati mmoja. Meridianbet sasa inakuletea kilele kipya cha michezo ya kasino mtandaoni kwa kuungana na Ruby Play, mtoa huduma maarufu wa kimataifa. Hapa, kila raundi siyo burudani tu, ni fursa ya kuunda hadithi yako ya ushindi na kujaribu…
Na: Ofisi ya Waziri Mkuu – KAM WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, ameipongeza Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) kwa mafanikio makubwa katika utatuzi wa migogoro ya kikazi, baada ya kusuluhisha migogoro 4,339 hadi kufikia Septemba 2025. Waziri Sangu ametoa pongezi hizo Desemba 13, 2025,…
Wikiendi ya Moto Ulaya: EPL, LaLiga, Serie A na Bundesliga Zashika Kasi – Global Publishers Home Michezo Wikiendi ya Moto Ulaya: EPL, LaLiga, Serie A na Bundesliga Zashika Kasi
Na Munir Shemweta, WANMM MOROGORO Mkuu wa mkoa wa Morogoro Bw. Adam Malima ameipongeza Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuweka kumbukumbu za ardhi vizuri jambo alilolieleza kuwa linasaidia katika utatuzi wa migogoro ya ardhi. ‘’Mhe Waziri kwa kweli nitoe pongezi kwa wizara yako kwa kuwa na kumbukumbu nzuri za wamiliki wa…
Dar es Salaam. Maradhi ya moyo umetajwa kuwa ndiyo chanzo cha kifo cha aliyekuwa mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama ambaye alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma. Hayo yamebainishwa na Katibu wa Bunge, Baraka Leornad leo Jumamosi Desemba 13, 2025 wakati akisoma wasifu wa marehemu Jenista, baada ya ibada ya misa…