Wanafunzi Hatarini Kuzama! Wakazi Waomba Daraja la Kudumu la Mto Fahhay, Babati – Video
Global Publishers March 12, 2026 0 Comments BABATI, MANYARA — Wakazi wa mitaa ya Mruki na Msasani katika Halmashauri ya Mji wa Babati wamesihi Serikali kuingilia kati kwa haraka na kujengea daraja la kudumu katika Mto Fahhay, ili kuondoa hatari kwa wanafunzi takribani 200 wa Shule ya Msingi Shikizi ya Mruki, ambao wanapaswa kuvuka mto…