Admin

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAPELEKA HUDUMA ZA MAKAMBI YA AFYA BURE KWA WAKAZI WA MOROGORO.

Morogoro, Tanzania, 10 March 2026: Miaka ya hivi karibuni, magonjwa yasiyoambukiza yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa afya ya jamii nchini Tanzania. Magonjwa kama shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo pamoja na saratani yanaongezeka kwa kasi, huku wengi wakigundulika wakiwa tayari katika hatua za mwisho za ugonjwa kutokana na kukosekana kwa uchunguzi wa mapema na…

Read More

Aliyeanza na mtaji wa elfu mbili, apewa Sh5 milioni, kiti mwendo

Sengerema. Baada ya dhiki, faraja. Ndivyo ilivyokuwa kwa mkazi wa Sengerema aliyepata ulemavu wa kudumu baada ya kudondokewa na kifusi mgodini, lakini akaanza kujiajiri kwa kushona viatu kwa mtaji wa Sh2,000. Mwananchi huyo alikuwa miongoni mwa walioudhuria mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi uliofanyika…

Read More

Vodacom Wakabidhi Matundu 10 ya Vyoo Shule ya Mkata

Bakari Mahundu March 12, 2026 0 Comments Vodacom Tanzania Foundation, Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank Kwenye Picha ya Pamoja Wakizindua Matundu 10 ya Kisasa ya Vyoo Shule ya Msingi ya Mkata, Tanga. Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank wamejenga matundu 10 ya kisasa ya vyoo katika Shule ya…

Read More

Vaso Psycho Inawasha Moto wa Ushindi Mkubwa

Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana sababu mpya ya kutabasamu baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Vaso Psycho, mchezo mpya wa kusisimua kutoka Expanse Studios unaopatikana Meridianbet. Mchezo huu umeletwa mahsusi kwa wachezaji wanaopenda burudani ya kipekee na nafasi ya kushinda zawadi kubwa kwa mtindo wa kisasa….

Read More

Pakua App ya Meridianbet na Upate Bonasi ya TZS 10,000 Leo

Leo hii pakua APP ya Meridianbet na ujiweke kwenye nafasi nzuri kabisa ya kupata bonsai ya TZS 10000. Bonasi hiyo itakusaidia kwenye kufanya ubashiri mechi zote unazozitaka hapa. Meridianbet inasema kuwa ofa hii haina muda maalumu na inapatikana kwa wateja wote ambao waliojisajili kwa Android, IOS, na kuweka dau la kianzio cha shilingi 100 kwenye…

Read More

Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na TLS latupwa

Dar es Salaam. Dosari za kisheria katika hati ya kiapo cha rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, kimesababisha shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), kutupwa na mahakama. Uamuzi wa kutupa shauri hilo baada ya kubainika dosari hizo, umetolewa jana Jumatano, Machi 11, 2026 na jopo la majaji…

Read More