Wanane wateketea kwa moto ajali ya lori la mafuta Cameroon
Cameroon. Watu wanane wamefariki dunia kutokana na moto uliolipuka baada ya lori la mafuta kufeli breki kwenye mteremko katika Jiji la Douala nchini Cameroon. Maofisa wa kikosi cha Zimamoto walilazimika kuzima moto kwa siku nzima jana Ijumaa Desemba 12, 2025 kutokana na kuongezeka kwa kasi kutokea kwenye lori hilo ambalo lilikuwa limebeba zaidi ya lita…