Trump Afichua Taarifa za Mashambulizi ya Siri ya Iran Ndani ya Marekani
Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Donald Trump amesema mamlaka za usalama nchini Marekani zinachunguza taarifa za uwezekano wa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drone) kutoka Iran, yanayoweza kulenga jimbo la California kama kisasi cha vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Iran. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasili katika kituo cha…