Admin

Wanane wateketea kwa moto ajali ya lori la mafuta Cameroon

Cameroon. Watu wanane wamefariki dunia kutokana na moto uliolipuka baada ya lori la mafuta kufeli breki kwenye mteremko katika Jiji la Douala nchini Cameroon. Maofisa wa kikosi cha Zimamoto walilazimika kuzima moto kwa siku nzima jana Ijumaa Desemba 12, 2025 kutokana na kuongezeka kwa kasi kutokea kwenye lori hilo ambalo lilikuwa limebeba zaidi ya lita…

Read More

Amani huteleza kama mapigano mashariki mwa Dr Kongo huinua hofu ya vita vya kikanda – maswala ya ulimwengu

Kukera mpya na Alliance Fleuve Kongo/Mouvement du 23 Mars . Mapigano mapya yamesababisha majeruhi wa raia, kuharibu miundombinu na kuwafukuza mamia ya maelfu kutoka nyumba zao, kulingana na maafisa wa Umoja wa Mataifa na vikundi vya kibinadamu. UN na Baraza la Usalama wameelezea mara kwa mara wanamgambo wengi wa Wa-Tutsi M23 kama inavyoungwa mkono na…

Read More

KAMISHNA MKUU TRA AWAOMBA WAFANYABIASHARA NA WASHAURI WA KODI KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI ILI KUIMARISHA UTII WA KODI

KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, ametoa wito kwa wafanyabiashara pamoja na washauri wa walipakodi kuimarisha maadili, uaminifu na weledi katika utoaji wa huduma zao, ili kujenga mazingira salama, shindani na yenye utii wa kodi kwa manufaa ya uchumi wa taifa. Hayo ameyasema leo Desemba 12, 2025 wakati akizungumza katika kikao maalum…

Read More