Admin

TBS YAWATAKA WAZALISHAJI WA MKAA MBADALA KUZINGATIA VIWANGO

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa mafunzo kwa wajasiriamali wanaozalisha nishati safi ya kupikia, hususan mkaa mbadala, mkoani Kigoma kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuzalisha bidhaa zinazokidhi matakwa ya viwango. Mafunzo hayo yamelenga kuwasaidia wazalishaji hao kuboresha ubora wa mkaa mbadala wanaozalisha ili uweze kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya Tanzania….

Read More

Moto wateketeza vibanda 20 Masai Market, Iringa

Iringa. Moto mkubwa umeharibu vibanda takribani 20 vya wafanyabiashara katika soko la Masai Market lililopo mjini Iringa. Tukio hilo limetokea katika eneo la Garden, lililopo mkabala na ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, baada ya kuzuka usiku wa kuamkia leo Machi 16, 2026, na umesababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara wanaojishughulisha na biashara za utalii…

Read More

Serikali kuendelea kupeleka  wanafunzi nje kusomea AI

Dar es Salaam. Katika wakati ambao dunia inaingia kwa kasi katika mapinduzi ya teknolojia ya akili unde, Serikali imebainisha kuwa itachukua hatua za makusudi kuhakikisha Tanzania haibaki nyuma katika ushindani wa maarifa na teknolojia. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda amesema Serikali imeanza kampeni ya kuandaa wataalamu wa teknolojia hizo kwa kuwapeleka wanafunzi…

Read More

DARAJA LA MKUYUNI LIMEANZA ‘KULIPA’

******* Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza tayari kumeanza kuonyesha matunda katika siku zake za awali. Akizungumza na wananchi mara baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo Machi 16, 2026, Ulega alisema wakazi wa Mwanza ni mashahidi wa hali hiyo hasa kufuatia matukio ya karibuni ya…

Read More