Admin

TANZANIA NI KIELELEZO CHA AMANI NA MSHIKAMANO WA KIJAMII BARANI AFRIKA NA DUNIANI – KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema Tanzania imeendelea kuwa kielelezo cha amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na Duniani, akisisitiza kuwa dunia inalitazama Taifa hilo kama mfano wa kuigwa. Guterres ameyasema Desemba 14,2025, alipokuwa akipokea ujumbe maalumu wa Tanzania uliotoka kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuwasilishwa na Waziri wa…

Read More

Rushwa barabarani bado mwiba | Mwananchi

Dar es Salaam.  Licha ya hatua na marufuku zilizowahi kutolewa na Serikali dhidi ya rushwa barabarani, vitendo hivyo vimeendelea kuota mizizi kwa askari wa usalama barabarani na madereva. Madereva wa magari hasa ya biashara wanakiri kutoa rushwa kwa askari hao wakisema imeshageuka kuwa mfumo wa maisha ya kazi yao na kuna athari ukiiepuka kuliko kujihusisha…

Read More

Serikali, kampuni za simu wabanwa kuzima intaneti

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kuzima Intaneti kwa siku saba kuanzia Oktoba 29, 2025 inazidi kupingwa baada ya Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na wanaharakati wamefungua kesi ya kikatiba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Hii inakuwa kesi ya pili baada ile iliyofunguliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)…

Read More

Simba kunafukuta… Waarabu watia mkono

WAKATI hatima ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua aliyemaliza kinara wa mabao wa klabu na Ligi Kuu Bara msimu uliopita akifunga 16, ikiwa haijaeleweka kikosini humo, taarifa mpya kutoka Morocco zinaeleza matajiri wa Kiarabu wameanza kumpigia hesabu kumvuta. Ahoua ambaye ameshindwa kuendeleza makali aliyokuwa nayo msimu uliopita akiwa hana namba ya kudumu katika…

Read More