Admin

Teknolojia kuleta mapinduzi ya kilimo

Babati. Wadau wa kilimo nchini watanufaika na teknolojia ya ndege nyuki shambani, ikiwamo kunyunyizia dawa, kupanda mbegu, kupima maeneo na kusafirisha mazao, hivyo kuongeza tija katika kilimo. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni za Mati Group, David Mulokozi akizungumza mjini Babati mkoani Manyara, Septemba 4 mwaka 2025 amesema shughuli za kilimo kupitia ndege nyuki zitalenga kuongeza tija,…

Read More

Mtunzi ajivunia vitabu vyake kusoma kimataifa kupitia MwanaClick

Dar es Salaam. Ni imani kuwa, mambo yanayohusu vijana yakizungumzwa na vijana wenyewe hueleweka zaidi. Ndivyo anavyoamini Abdulkadir Thabit Massa, hivyo kuwekeza muda wake mwingi kuandika kazi za fasihi zinazohusu vijana. Licha ya kuwapo sera na miongozo inayohusu kundi hilo, bado wenyewe wanapaswa kusimama kueleza wanayokabiliana nayo na kushirikishana fursa na mbinu za kutatua changamoto…

Read More

Dharau yaiponza Tausi Royals Ligi ya Kikapu Dar

KUJIAMINI  kulikofanywa na timu ya Tausi Royals, katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (WBDL) ndiko kulikoifanya timu hiyo ishindwe kucheza nusu fainali ya Ligi hiyo. Timu ya Tausi Royals ilifungwa na DB Troncatti katika  michezo 2-1.  Sababu iliyofanya ijiamini hivyo, ilionyesha  ni kutokana na uwezo wa wachezaji walionao, na huku timu ya…

Read More

Semina ya TAKUKURU ifanyiwe kazi na marefa, wadau

KUNA pongezi nyingi ambazo kijiwe kimeamua kutoa kwa TFF na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuandaa semina elekezi kwa marefa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao ya namna ya kupambana na vitendo vya rushwa. Ni jambo zuri ndiyo maana tunalipongeza kwa vile marefa ni watu muhimu sana katika kuendeleza au…

Read More

Pazi yaonyesha ukubwa wake BDL

Timu kongwe ya Pazi ilidhihirisha ubora wake katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ni baada ya kuifunga timu ngumu ya ABC  katika michezo 2-1. Kwa ushindi huo, timu hiyo itacheza na JKT katika mchezo wa nusu fainali, na mchezo huo utatangazwa   baada ya mashindano ya Majeshi (BAMATA) kumalizika. JKT katika mchezo…

Read More

Tembo Warriors kupaa  kuifuata CECAAF

KOCHA wa timu ya taifa ya Walemavu, Tembo Warriors, Ivo Mapunda amesema timu hiyo itaondoka nchini kesho kwenda Bujumbura, Burundi kushiriki mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya Soka kwa Watu wenye Ulemavu (CECAAF). Mashindano hayo yatakayofanyika kwa siku saba kuanzia Septemba 8-14, yamegawanywa katika makundi mawili. Tembo Warriors ikipangwa Kundi B pamoja na Kenya…

Read More