Admin

Chongolo: Miradi yote ya umwagiliaji itakamilika, Tume mjipange

Mtwara. Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo amesema Serikali itakikisha miradi yote ya umwagiliaji inakamilika na kuleta tija kwa wakulima hali itakayoimarisha uchumi na kuleta uhakika wa chakula Chongolo amesema hayo leo Ijumaa, Desemba 12, 2025 wakati wa ziara yake katika mradi wa mmwagiliaji uliopo wilayani Masasi, mkoani Mtwara unaotekelezwa eneo la Ndanda na Tume ya…

Read More

Maji kizungumkuti, Dawasa yataja mkakati

Dar es Salaam. Wananchi wakiendelea kulalamikia changamoto ya upatikanaji wa huduma majisafi na salama inayoathiri mfumo wa maisha ya baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam, Serikali imeagiza maji yaliyopo yagawanywe kwa usawa. Vilevile, imeagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (Dawasa) kuweka wazi ratiba ya mgawo wa maji ili watu…

Read More

MAGEUZI YA STAKABADHI ZA GHALA YAONGEZA TIJA KWA WAKULIMA

  Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga,akizungumza wakati akizindua Bodi mpya ya Wakurugenzi wa WRRB) hafla iliyofanyika leo Disemba 12,2025 jijini Dodoma. ……. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amesema Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeleta mageuzi makubwa katika Biashara ya mazao nchini katika kipindi…

Read More

VIDEO: Mchengerwa aeleza dakika za mwisho kabla ya kifo cha Jenista

Dodoma. Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa ameeleza dakika za mwisho namna alivyopokea taarifa kuzidiwa na madaktari walivyopambania uhai marehemu Jenista Mhagama na mwishowe kufariki dunia.                                                                                    Mchengerwa ameapa kuendeleza maono, dira na miradi yote aliyoiasisi marehemu Jenista Mhagama, akisisitiza kuwa urithi aliouacha ndani ya wizara hiyo hautapotea bali utaendelezwa kwa nguvu mpya. Mchengerwa aeleza dakika za…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi Akabidhiwa Rasmi Tuzo ya “African’s Best Corporate Retreat Destination 2025”

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 12 Desemba 2025, amepokea tuzo ya kuwa Kivutio Bora cha Mikutano ya Kimkakati Barani Afrika (African’s Best Corporate Retreat Destination 2025). Tuzo hiyo imetolewa baada ya Zanzibar kushinda katika Tuzo za Utalii Duniani (World Travel Awards 2025) zilizofanyika nchini…

Read More