Chongolo: Miradi yote ya umwagiliaji itakamilika, Tume mjipange
Mtwara. Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo amesema Serikali itakikisha miradi yote ya umwagiliaji inakamilika na kuleta tija kwa wakulima hali itakayoimarisha uchumi na kuleta uhakika wa chakula Chongolo amesema hayo leo Ijumaa, Desemba 12, 2025 wakati wa ziara yake katika mradi wa mmwagiliaji uliopo wilayani Masasi, mkoani Mtwara unaotekelezwa eneo la Ndanda na Tume ya…