Admin

TRA Kilimanjaro kukusanya Sh32 bilioni Desemba pekee

Moshi. Ikiwa zimesalia siku 19 kabla ya kuingia mwaka 2026, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro imejipanga kukusanya zaidi ya Sh32 bilioni kwa kipindi cha Desemba 2025 ili kufikia lengo la mapato ya mwaka huu. Hayo yamesemwa leo Desemba 12, 2025 na Meneja wa TRA Mkoa wa Kilimanjaro, James Jilala wakati akizungumza na…

Read More

Winga Stand Utd aibebesha zigo TFF

KIUNGO mshambuliaji wa Stand United ya Shinyanga, Raymond Masota amelibebesha mzigo Shirikisho la Soka nchini (TFF) kukomalia programu za kuandaa wachezaji chipukizi (TDS) ili kusaidia kutibu changamoto ya muda mrefu ya Tanzania kukosa washambuliaji wenye sifa. Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la washambuliaji matata wenye uwezo mkubwa wa kutumia nafasi, ambapo mara…

Read More

Usaili ajira 12,000 za afya, ualimu kufanyika Desemba 13

Dar es Salaam. Serikali imesema usaili wa ajira mpya 12,000 za afya na ualimu, utaanza rasmi kesho Jumamosi Desemba 13,2025 katika mikoa ya Tanzania bara na vituo mahususi vya Unguja na Pemba. Sambamba na hilo, Serikali imeeleza kuwa hadi kufikia Januari 2026, mchakato huo utakuwa umekamilika na kila aliyefaulu kwenye mchujo atapangiwa kituo chake cha…

Read More

Pamba Jiji yataka mashine moja tu dirisha dogo

PAMBA Jiji kwa sasa ipo katika nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, lakini hiyo haina maana kama benchi la ufundi la timu hiyo limeridhika, kwani limesema lipo katika msako wa beki wa kati na linapanga kuwatema nyota kadhaa ili kuimarisha kikosi kwa ngwe inayofuata. Timu hiyo iliyorejea Ligi Kuu msimu uliopita baada…

Read More

Teknolojia ya kidijitali inavyobadili samani za ndani

Dar es Salaam. Mabadiliko ya mitazamo na mitindo ya matumizi ya samani nchini Tanzania yamesababisha kuongezeka kwa bidhaa zenye nakshi na mapambo ya kisasa. Miongoni mwa vipengele vinavyoongeza mvuto huu ni matumizi ya taa za LED ambazo hutumia nishati ndogo kuliko balbu za kawaida, pamoja na mifumo ya kusokota au kuzunguka (rotating systems) na vifaa…

Read More