Admin

Masache aomba kuunganishwa barabara Makongorosi-Tabora akiomba kura za Urais

Mbeya. Mgombea pekee ubunge Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya Masache Kasaka ameomba mgombea Urais atakapoapishwa na kuunda Serikali, kuboresha miundombinu barabara kutoka Makongorosi ili kuunganisha shughuli za kiuchumi baina ya Mkoa wa Mbeya ya Tabora. Mbali na Ombi hilo pia Masache ameomba maeneo ya wachimbaji wadogo kufikishiwa nishati ya umeme kufuatia wananchi wake kujikita…

Read More

Wanafunzi Watanzania washinda tuzo ya teknolojia duniani

Dar es Salaam. Timu ya wanafunzi sita kutoka vyuo vikuu vitatu vya Tanzania imeshinda mashindano ya kimataifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT), ikiibuka kidedea dhidi ya timu 167 kutoka nchi 48 duniani. Wanafunzi hao waliowakilisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), na Taasisi ya Teknolojia Dar es…

Read More

ICC T20 Tanzania yafanya kweli Windhoek

TANZANIA imeshinda mechi yake ya pili ya michuano ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia kwa Kriketi ya mizunguko 20 (T20) baada ya kuifunga Kenya kwa mikimbio 30 katika mchezo uliopigwa mwanzoni mwa juma mjini Windhoek, Namibia. Tanzania ndio walioanza kubeti na kufanikiwa kutengeneza mikimbio 125 ikiwa imepoteza wiketi 8 baada ya kumaliza mizunguko yote…

Read More

Warundi kunogesha Mashujaa Day Jumapili

KIKOSI cha Mashujaa FC kinatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Vital’O FC Septemba 7 mwaka huu maalum kwa ajili ya kutambulisha kikosi chao cha msimu wa 2025/26. Kocha Mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga ameupongeza uongozi wa timu hiyo kuandaa mchezo huo ambao amesema kuwa ni kipimo sahihi kwao kabla ya kuanza kwa…

Read More

Daraja dogo la mbao chakavu lawatesa wanakijiji Hai

Hai. Wananchi wa Kijiji cha Kyuu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kujenga daraja dogo katika eneo la Mto Kishenge, Kitongoji cha Maiputa, ili kuwawezesha kuendelea na shughuli mbalimbali za kijamii na kimaendeleo bila vikwazo. Ombi hilo limetolewa wakati wa ziara ya Ofisa Tarafa wa Masama, Nswajigwa Ndagile, alipotembelea eneo…

Read More

Jela miaka 15 kwa kumuua mkewe kwa mchi bila kukusudia

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Mtwara, imemhukumu adhabu ya kifungo cha miaka 15 jela, Shaibu Mtavira, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua bila kukusudia mkewe, Aziza Mtelia, kwa kumpiga na mchi kisha kumzika kwenye shamba lao. Shaibu alikiri kumuua mkewe baada ya kutokea kutokuelewana  katika mazungumzo yao na kusababisha mapigano kati yao ambapo…

Read More