
NEMC yazindua kampeni ya kitaifa ya usafi na uhifadhi wa mazingira
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezindua kampeni ya kitaifa ijulikanayo kama “NEMC Usafi Campaign” yenye lengo la kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika shughuli za usafi na uhifadhi wa mazingira kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi…