Admin

Brayson: Mbinu zimetubeba JKT Tanzania

BEKI wa JKT Tanzania, David Bryson amekimwagia sifa kikosi cha timu hiyo kilichoanza kwa kasi kubwa msimu huu katika Ligi Kuu, huku akifichua kilichowabeba ni mbinu za kocha Ahmad Ally sambamba na wachezaji kutekeleza kila walichoelekezwa. Brayson aliwahi kuichezea Yanga na KMC kabla ya kutua JKT Tanzania ambayo ameitumikia kwa misimu miwili sasa. Beki huyo…

Read More

UN inaonya juu ya ‘udhalilishaji wa kikanda’ kama Vurugu za DR Kongo zinaongezeka 500,000 – Maswala ya Ulimwenguni

Msemaji wa naibu wa UN alisema Katibu Mkuu António Guterres “alishtushwa sana” na upasuaji katika shambulio kwenda Kivu Kusini, ambapo kile kinachojulikana kama Alliance Fleuve Kongo/Mouvement du 23 Mars (AFC/M23) imeendelea katika miji kadhaa tangu 2 Desemba. UN na Baraza la Usalama wameelezea mara kwa mara wanamgambo wengi wa Tutsi M23 kama wanaungwa mkono na…

Read More

Hali tete maelfu wakimbia DRC, raia wasota kutafuta hifadhi

Dar es Salaam. Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeingia tena katika taswira mpya ya machafuko, ikiwa ni mfululizo wa miaka mingi ya ghasia ambazo zimelifanya eneo hilo kuwa kitovu cha vita visivyokoma. Mashambulizi ya waasi wa M23 yameibuka tena yakishika kasi katika hali inayovuruga makubaliano ya amani yaliyofanyika wiki iliyopita yakipewa matumaini…

Read More

Jeshi la Polisi lathibitisha kumkamata Waziri wa zamani Mwambe

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia Waziri wa zamani, Geofrey Mwambe, tangu usiku wa Desemba 7, 2025 alipokamatwa katika eneo la Tegeta, Kinondoni, kwa tuhuma zinazohusiana na makosa ya jinai ambayo bado hayajatajwa, yanayoendelea kuchunguzwa. Taarifa ya polisi iliyotolewa leo Desemba 12, 2025 imeeleza kuwa Mwambe, waziri wa zamani wa katika…

Read More

Sababu vifo vya mapema kwa wanaoishi na VVU

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2024 za Shirika la Afya Duniani (WHO), takribani watu milioni 40.8 walikuwa wakiishi na VVU duniani na watu 630,000 walikufa kutokana na magonjwa yanayohusiana na Ukimwi. Eneo la Afrika ndio ambalo limeathiriwa zaidi, likichangia theluthi mbili ya watu wote wanaoishi na VVU duniani. Hasa nchi za kusini mwa jangwa…

Read More

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MOSHI AANZA RASMI MAJUKUMU.

Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Mhe. John Mapato Meela,(Chui) ameanza rasmi majukumu yake baada ya kuwasili ofisini kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kushika wadhifa huo. Katika hatua za awali, Meela alifanya kikao kifupi na Mkurugenzi wa Halmashauri, Ndugu Shedrack Mhagama, pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Samwel Shao, kujadiliana kuhusu…

Read More

Wenye kisukari wasiache vyakula hivi

Dar es  Salaam. Watu wenye kisukari mara nyingi wanadhani kudhibiti sukari ni kuacha kabisa kula vyakula vya wanga. Hata hivyo, wasichojua ni kuwa kuna vyakula vya wanga vyenye kiasi kidogo sana cha sukari au low Glycemic Index, ambavyo vinaweza kuliwa bila hofu,  bado husaidia kudhibiti viwango vya sukari Vyakula kama mtama, ulezi, uji wa hafrahafi…

Read More

UJENZI JENGO LA KITUO CHA MAFUNZO YA KUONGEZA THAMANI MADINI YA VITO WAANZA JIJINI ARUSHA

■ Ni mkakati wa kuhakikisha madini vito yanaongezewa thamani nchini. ■Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais.Dkt. Samia katika kuendeleza mnyororo wa madini thamani. ■Waziri Mavunde amtaka mkandarasi kuongeza nguvukazi kukamilisha mradi kwa wakati. ▪️Atoa siku 7 kwa Katibu Mkuu kukutana na wakandarasi,TGC na Taasisi za serikali kwa ajili ya upatikanaji vibali muhimu vya kuendeleza ujenzi….

Read More

Saratani inavyoweza kupona, kuzuka tena

Kenya. Mwaka 2011,  Judy Wanyoike  raia wa Kenya, alianza kupata maumivu ya mgongo na kutokwa na damu ukeni, dalili ambazo hapo awali hakuweza kuzifafanua. Hali hii iliendelea kwa miezi kadhaa hadi mwaka wa 2012 alipoambiwa kuwa alikuwa na saratani ya shingo ya kizazi. “Nilikua nimeenda kwenye semina ya kanisa ya wiki moja huko Naivasha, ambapo…

Read More