Admin

DC KASILDA AWACHARUKIA WACHIMBAJI WA MADINI YA JASI.

Na Mwandishi Wetu SAME. MKUU wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni ametangaza msimamo mkali kuhusu uchimbaji wa madini ya jasi unaoendelea katika eneo la Makanya, akiagiza hatua za haraka zichukuliwe kwa kufukia mashimo yaliyotelekezwa ili kurejesha mazingira na kuimarisha usalama wa wananchi na mifugo. Kasilda ametoa maagizo hayo wakati wa ziara yake katika machimbo ya…

Read More

SERIKALI MUIKUMBUKE TIMU YA TAIFA YA NGUMI YA TANZANIA ILI KUIPA PONGEZI KWA HESHIMA WALIYOIWEKA PALE KENYA

:::::::: Itakumbukwa kwa mara ya kwanza katika historia ya sekta ya michezo nchini Tanzania ilifanikiwa kuandika historia ugenini ambapo timu ya Taifa ya ngumi ya Tanzania maarufu kama Faru Weusi ilishinda medali 18 katika mashindano ya ngumi barani Afrika.  Tanzania ilifanikiwa kupata medali moja ya dhahabu, nne za fedha na za shaba 13 pia Tanzania…

Read More

Bodaboda watano wafariki dunia kwa kugongwa na lori kijiweni

Dodoma. Watu watano ambao ni madereva bodaboda wamefariki dunia papo hapo baada ya kugongwa na lori lililofeli breki eneo la Dodoma Makulu jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo. Lori lilikuwa linatokea kwenye barabara inayotokea Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) ambapo lilifeli breki na kwenda kuparamia Kijiwe cha Bodaboda cha Amani kilichopo kando ya barabara hiyo…

Read More

Zimbwe amuibua Aziz Ki, amtabiria makubwa Yanga

WAKATI mwenyewe akifurahia maisha mapya Jangwani, beki Mohammed Hussein Zimbwe ‘Tshabalala’ amemuibua kiungo wa Wydad Casablanca ya Morocco, Stephanie Aziz aliyekiri kumkubali mwamba huyo wa zamani wa Kagera Sugar na Simba. Tshabalala na Aziz KI walikuwa wakipambana uwanjani kwa misimu zaidi ya mitano kuanzia kiungo huyo akiwa ASEC Mimosas ya Ivory Coast kisha Yanga  kipindi…

Read More

WPL kuna viporo vitatu vinaliwa leo

LIGI Kuu ya Wanawake (WPL), inatarajiwa kuendelea tena kwa kupigwa mechi tatu za viporo zitakazopigwa leo kwenye viwanja vitatu tofauti ikiwemo moja ya JKT Queens dhidi ya Bilo Queens. Viporo vitatu vya raundi ya kwanza vilipigwa Desemba 8, Alliance Girls iliondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate Princess, mechi ya JKT vs…

Read More

Kocha mpya Simba apitishwa, Matola aguswa

WAKATI wowote kuanzia leo Simba itamtangaza kocha mpya wa kigeni, atakayekuja kuchukua mikoba ya Dimitar Pantev aliyeachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande hizo mbili, huku akiachiwa msala wa kufanya usajili dirisha dogo baada ya kukisoma kikosi kilivyo. Simba imekuwa ikisimamiwa na Seleman Matola anayekaimu ukocha mkuu kwa sasa tangu aondoke Pantev aliyetambulishwa kama…

Read More