Admin

Yanga Yachanja Mbuga Ligi Kuu Licha ya Kutolewa CAF

Je unajua kuwa ni rahisi sana kwako wewe kusuka jamvi na Meridianbet endapo Mechi za Yanga zitakuwa zinachezwa?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanakungoja sasa ingia na ubashiri hapa. Yanga wameendelea kuthibitisha kwa nini wanabaki kuwa moja ya timu kubwa zaidi katika soka la Tanzania. Wakiwa vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada…

Read More

WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI MAPENDEKEZO YA YA KUFANYA MABORESHO YA SHERIA YA MAPATO YA BAADHI TA MIFUKO

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 11, 2026 ameongoza Kikao cha kujadili Mapendekezo ya kufanya Maboresho ya Sheria ya Mapato ya baadhi ya Mifuko kilichofanyika kwenye ukumbi wa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Machi 11, 2026. Baadhi ya viongozi walioshiriki katika Kikao hicho ni pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,…

Read More

GCLA IMEWAJENGEA UWEZO VIJANA 8,086 KATIKA UENDESHAJI SHUGHULI ZINAZOHUSU KEMIKALI

Na Mwandishi wetu- Dodoma Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imefanikiwa kuwajengea uwezo vijana 8,086 katika uendeshaji wa shughuli zinazohusisha kemikali, na kuwasaidia kulinda afya zao na mazingira, Mafunzo hayo yamewezesha vijana kupata fursa za biashara katika usafirishaji wa kemikali na kuanzisha viwanda vidogo vidogo vya uzalishaji wa bidhaa za kemikali. Dkt…

Read More

Waziri: Tunatambua yanayoendelea soko la Darajani

Unguja. Wakati kukiwa na malalamiko na mijadala kuhusu vikosi vya Idara Maalumu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuwapiga wananchi na kuwanyang’anya bidhaa katika Soko Kuu la Darajani, Serikali imekiri kuwepo kwa kero hiyo na kutaka kusitishwa kwa matumizi ya silaha kuanzia sasa. Hayo yameelezwa leo Jumatano Machi 11, 2026 na Waziri wa Nchi, Ofisi…

Read More