Mojtaba Khamenei Yuko Salama Licha ya Ripoti za Kuumia Wakati wa Vita
Global Publishers March 11, 2026 0 Comments Kiongozi Mpya Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei Kiongozi Mpya Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, ameripotiwa kuwa salama na mwenye afya njema, licha ya taarifa zilizoibuka zikidai kuwa alipata jeraha wakati wa vita vinavyoendelea kati ya Iran, Israel na Marekani. Awali, Rais wa Marekani Donald Trump alikosoa uteuzi wa…