
Conte amewasikia, atuma salamu ya kibabe
KUMEKUWA na mijadala mbalimbali juu ya kiwango cha kiungo mkabaji mpya wa Yanga, Balla Mousa Conte aliyetua klabuni hapo kutoka CS Sfaxien ya Tunisia, lakini kumbe mwenyewe amesikia kila kitu kinachoendelea na kuamua kutoa kauli ya kibabe akituma salama mapema. Kiungo huyo amesema licha ya presha kubwa ndani ya kikosi hicho hasa eneo analocheza hana…