Admin

CM YAMG’OA KIGOGO UWANJA WA MKWAKWANI

Na Oscar Assenga,TANGA KAMATI ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga imeagiza kusimamishwa kazi Meneja wa Uwanja wa Mkwakwani Akida Machai kutokana na mapungufu mbalimbali yaliyobainika wakati wa ziara ya kamati hiyo kwa ajili ya kujionekana maendeleo yake. Akizungumza kuhusu maamuzi hayo ,Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajab Abdurhaman ambapo alisema…

Read More

BARAZA LA WAFANYAKAZI PBPA LAHIMIZWA KUWA NA UADILIFU KATIKA KUWAKILISHA MASLAHI YA WATUMISHI

📍Kibaha, Pwani – Machi 11, 2026 WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wametakiwa kuzingatia uadilifu, uwazi na weledi katika kuwasilisha na kushughulikia changamoto za watumishi wanaowawakilisha, ili kuongeza ufanisi na tija katika utendaji kazi wa taasisi. Wito huo umetolewa leo Machi 11, 2026 na Meneja wa Fedha na…

Read More

Rostam aahidi uhuru wa uhariri NMG

Dar/Nairobi. Mfanyabiashara Rostam Azizi amesema uwekezaji wake katika kampuni ya Nation Media Group (NMG) hautaathiri weledi wa uandishi wa habari uliojengwa na vyombo vya habari nya kampuni hiyo kwa muda mrefu. Amesema uwekezaji wake utaendelea kuheshimu misingi ya uhariri, viwango vya taaluma ya uandishi wa habari na imani ya umma, ambayo imeijengea heshima kampuni ya…

Read More

RAIS SAMIA AMUASILI MTOTO MCHANGA ALIYETELEKEZWA NZEGA

………….. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma. Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan alitelekezwa mjini Nzega, mkoani Tabora, na amekabidhiwa kwa Rais Dkt. Samia na Mkuu wa Wilaya ya…

Read More