Admin

‘Mara tu mazungumzo juu ya demokrasia na usawa yanaanza, ni ngumu sana kutuliza’ – maswala ya ulimwengu

na Civicus Alhamisi, Desemba 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Civicus anajadili vizuizi juu ya nafasi ya raia nchini Thailand na kizuizini cha mwanaharakati na wakili wa haki za binadamu Arnon Nampa na Akarachai Chaimaneekarakate, kiongozi wa utetezi katika Mawakili wa Haki za Binadamu (TLHR). Akarachai Chaimaneekarakate Mamlaka ya Thai yanatumia sheria ya nchi…

Read More

Katika Afghanistan iliyotawaliwa na Taliban, mwanamke mchanga hufanya kazi kwa kujificha kulisha familia yake-maswala ya ulimwengu

Chini ya vizuizi vya Taliban, harakati za wanawake na kazi zimezidi kuwa ngumu kote Afghanistan. Mikopo: Kujifunza pamoja. na chanzo cha nje (Kabul) Alhamisi, Desemba 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KABUL, Desemba 11 (IPS)-Shabnam, mhitimu wa sheria wa miaka 26, anasimamia maisha yake na kufanya kazi kwa kujificha kama mvulana. Katikati ya soko…

Read More

Kocha Msauzi afunguka ishu ya kutua Simba, amtaja Fadlu

WAKATI  kocha wa Stellenbosch, Steve Barker  akipewa nafasi kubwa kurithi mikoba ya meneja, Dimitar Pantev huko Msimbazi, raia huyo wa Afrika Kusini amefunguka kuhusu uvumi huo huku akimtaja Fadlu Davids. Barker, aliyezaliwa Maseru, Lesotho, anatoka katika familia maarufu katika tasnia ya michezo na sanaa. Yeye ni mpwa wa kocha wa zamani wa Bafana Bafana, Clive…

Read More

Kiungo achana mkataba Fountain Gate

KIUNGO mahiri wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana ameomba kuvunja mkataba aliosaliwa nao na klabu hiyo wa muda miezi sita  ili aweze kwenda kujaribu changamoto nyingine nje ya timu hiyo, huku akidaiwa anakaribia kutua Mbeya City. Kulandana ameitumikia Fountain kwa msimu mmoja na nusu,  ameliambia Mwanaspoti ni kweli ameuomba uongozi na tayari ameanza mazungumzo na moja…

Read More

MRADI WA UPANUZI WA KITUO CHA KUPOKEA NA KUPOZA UMEME CHA KINYEREZI I EXTENSION UMEKAMILIKA – NAIBU WAZIRI SALOME

************ 📌 Utaimarisha upatikanaji wa umeme Mbagala na Gongo la Mboto 📌 Majaribio yameanza; Shukurani kwa Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema kuwa mradi wa upanuzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Kinyerezi 1 Extension umekamilika rasmi, ikiwa ni pamoja na kufungwa kwa Transfoma yenye uwezo…

Read More

TAIFA LIMEPATA PENGO KUONDOKEWA NA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO,RUVUMA -DKT.NCHIMBI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Taifa limepata pengo kuondokewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama ambaye alikuwa kiongozi aliyeheshimika na  kutumikia nchi katika majukumu mbalimbali ya kitaifa. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akitoa salamu za rambirambi alipowasili kuhani msiba…

Read More

Dk Nyansaho apata warithi PSSSF, Tanesco

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Fortunatus Magambo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Kabla ya uteuzi, Magambo alikuwa Mkurugenzi wa Mipango, Uwekezaji na Miradi katika mfuko huo. Sambamba na Magambo, Rais Samia pia amemteua Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),…

Read More

Waziri Mkuu Mwigulu Aomboleza Kifo cha Mbunge Jenista Mhagama

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 11, 2025, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama, kilichotokea Itega jijini Dodoma. Dkt. Mwigulu amesema taifa limepoteza kiongozi mstahiki na mtumishi wa umma aliyekuwa na historia ndefu ya kulitumikia Taifa kwa uadilifu, uzalendo na…

Read More