Admin

FCC Yaimarisha Ulinzi wa Mlaji Katika Soko la Vifaa vya Ujenzi

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Tume ya Ushindani (FCC) imesema wazalishaji wa vifaa vya ujenzi wana wajibu wa kumlinda mlaji kwa kuhakikisha wanazalisha na kuuza bidhaa zenye ubora unaolingana na thamani ya fedha anayolipa mnunuzi. FCC imeeleza kuwa ni muhimu kwa wazalishaji kuzingatia viwango vinavyotakiwa katika uzalishaji wa vifaa vya ujenzi ili kuepusha uwepo…

Read More

Wanawake wa Kilombero Sugar Wakutana Kusherehekea Siku ya Wanawake 2026

Global Publishers March 11, 2026 0 Comments Wafanyakazi wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give to Gain”. Tukio hilo lilijumuisha tafakuri kuhusu uwezeshaji wa wanawake, kushirikishana maarifa na uzoefu, pamoja na kutambua wafanyakazi waliotumikia kampuni kwa muda mrefu. Hafla hiyo iliheshimiwa na uwepo…

Read More

Wema Sepetu Amzawadia Whozu Ujumbe Mtamu wa Mapenzi

Global Publishers March 11, 2026 0 Comments Mrembo na msanii wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu, amemuonyesha wazi mapenzi yake kwa mpenzi wake, Whozu, kupitia ujumbe wa kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa. Kupitia ukurasa wake wa Snapchat, Wema alimtakia Whozu heri ya kuzaliwa huku akiambatanisha na maneno ya mahaba yaliyoonyesha namna anavyomthamini katika…

Read More

CHATANDA ATIMIZA AHADI YA NG’OMBE WAWILI KWA MAGEREZA

……….. Na: Mwandishi Wetu, KOROGWE Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (MCC) na Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mary Chatanda, ametimiza ahadi yake ya kutoa ng’ombe wawili wa maziwa kwa Magereza mawili ya wilayani…

Read More

China kuendeleza ukuaji wa viwanda Tanzania

Dar es Salaam. China imeeleza nia ya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kukuza maendeleo ya viwanda, hususan katika uzalishaji, uhamishaji wa teknolojia na maendeleo ya ujuzi. Akizungumza Machi 11, 2026 wakati wa ziara katika kiwanda cha kuunganisha malori ya Howo kinachomilikiwa na Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Balozi wa China nchini…

Read More

Chadema yaiambia UN mabadiliko ya kikatiba muhimu Tanzania

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemweleza Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) kuwa msimamo wa chama hicho ni uchunguzi huru ufanyike ili wale wote waliobainika kuhusika na vurugu za Oktoba 29,2025  zilizosababisha vifo na majeruhi wawajibishwe. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Jumanne  Machi 10,2026 Chadema,…

Read More