Admin

Maximo aanza Kagame Cup 2025, APR kicheko

KMC inayonolewa na kocha Marcio Maximo imeanza vyema michuano ya Kombe la Kagame 2025 kwa kuifumua Mlandege ya Zanzibar kwa mabao 3-2. Ushindi huo umeifanya KMC kuwa timu ya kwanza Bara kuzoa pointi zote tatu, baada ya jana Singida Black Stars kubanwa na Coffee ya Ethiopia iliyomaliza pungufu na kutoka suluhu jana kwenye Uwanja wa…

Read More

Upelelezi bado kesi ya polisi kupora bodaboda ‎

‎‎Moshi. Jamhuri imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kuwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro bado linaendelea na upelelezi wa kesi ya wizi wa pikipiki kwa kutumia silaha inayowakabili askari wanne wa Kitengo cha Intelijensia. ‎‎Taarifa hiyo imetolewa leo Jumatano, Septemba 3, 2025 na mwendesha mashtaka katika kesi hiyo, Wakili wa Serikali Jackson Matowo, wakati…

Read More

Jalada kesi ya bosi wa Jatu, linapitiwa na kusomwa upya

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa jalada la kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu  wa Kampuni ya Jatu  PLC, Peter Gasaya (33), linapitiwa na kusomwa na timu kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka( NPS), makao makuu Dodoma. Baada ya kupitiwa na kusomwa upya kwa jalada hilo, timu hiyo italitolea…

Read More

Cheza Aviator na Ujishindie Samsung A25 na Meridianbet

MABINGWA wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wameleta furaha kubwa kwa wateja wao. Kupitia mchezo maarufu wa kindege cha Aviator, sasa unaweza kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 huku ukiendelea kuingiza faida ya pesa. Hii si promosheni tu, bali ni fursa ya kipekee ya kuongeza msisimko wakati wa kucheza. Mchezo wa…

Read More