Rais Samia Amuasili Mtoto Mchanga Aliyetelekezwa Tabora
Bakari Mahundu March 11, 2026 0 Comments Picha ya Rais Samia Suluhu Hassan Akiwa na Mtoto Aliyemuasili Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma. Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu, alitelekezwa mjini…