
Kipagwile ajishtukia Dodoma Jiji | Mwanaspoti
MFUNGAJI namba mbili katika kikosi cha Dodoma Jiji kwenye Ligi Kuu Bara msimu uliopita 2024-2025, Idd Kipagwile, amesema anajiona ana deni kubwa ndani ya kikosi hicho. Kipagwile anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji, msimu uliopita katika Ligi Kuu Bara, alifunga mabao saba na asiti nne akizidiwa bao moja na Paul Peter aliyekuwa kinara wa ufungaji kikosini…