Dickson Job mambo magumu Yanga, daktari afafanua
UNAWEZA kusema nahodha msaidizi wa Yanga, Dickson Job, ni kama ameumaliza msimu kutokana na jeraha la goti alilopata huku taarifa zikibainisha, hadi kupona kwake na kurejea uwanjani akiwa fiti, itamchukua miezi miwili hadi mitatu. …