Admin

Kipagwile ajishtukia Dodoma Jiji | Mwanaspoti

MFUNGAJI namba mbili katika kikosi cha Dodoma Jiji kwenye Ligi Kuu Bara msimu uliopita 2024-2025, Idd Kipagwile, amesema anajiona ana deni kubwa ndani ya kikosi hicho. Kipagwile anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji, msimu uliopita katika Ligi Kuu Bara, alifunga mabao saba na asiti nne akizidiwa bao moja na Paul Peter aliyekuwa kinara wa ufungaji kikosini…

Read More

AFYA YA AKILI YASISIMUA MAAFISA MIPANGOMIJI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Maafisa Mipangomiji wanaoshiriki kikao kazi cha siku tatu mkoani Arusha wamejikuta katika msisimko wa hali ya juu kutokana na mada ya namna ya kulinda afya ya akili na umuhimu wa akili hisia katika maeneo ya kazi iliyowasilishwa wakati wa kikao hicho. Mada hiyo iliyowasilishwa na daktari bingwa mbobezi wa figo…

Read More

Maseke apewa miwili Coastal Union

TIMU ya Coastal Union imeendelea kuboresha kikosi chake kwa ajili ya kufanya vizuri msimu unaoanza Septemba 17, ambao mechi ya ufunguzi ya Ligi Kuu itakuwa mwenyeji wa Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Chanzo cha uhakika kililiambia Mwanaspoti, uongozi wa timu hiyo umemsainisha kipa Wilbol Maseke mkataba wa miaka miwili, ukiamini uzoefu wake utakuwa…

Read More

Bocco alamba shavu jeshini | Mwanaspoti

NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars, John Bocco aliyekuwa akikipiga JKT Tanzania katika Ligi ya msimu uliopita, amedaiwa kulamba shavu jipya kwa maafande hao, licha ya kwamba hatakuwa na kikosi hicho katika Ligi Kuu msimu wa 2025-26. Bocco aliyejijengea heshima akiwa na Azam FC aliyoipandisha Ligi Kuu mwaka 2007 na kutwaa nayo mataji…

Read More

Datius ajipa tumaini Mtibwa | Mwanaspoti

BAADA ya kupewa miaka miwili na Mtibwa Sugar, beki wa kulia Datius Peter amesema klabu hiyo itafufua matumaini mapya kwake ya kuendeleza kipaji alichonacho kwa kucheza soka la ushindani. Peter alijiunga na Mtibwa katika dirisha la usajili kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Kagera Sugar aliyodumu nayo tangu mwaka 2022, ambapo ameiacha baada ya kushuka…

Read More

WIZARA YA FEDHA YAJINOA UTOAJI WA TAARIFA KWA UMMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano ya Wizara ya Fedha ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja akiwataka wajumbe wa Kamati hiyo kushirikiana na Kitengo hicho katika kufanikisha utoaji wa taarifa kwa umma, wakati wa Kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma. Afisa Habari wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara…

Read More