Admin

Mkuu wa Umoja wa Mataifa anajibu maswali magumu katika ukumbi wa townhall pamoja na mashirika ya kiraia ya wanawake – Global Issues

“Ninyi ni watikisa msingi,” UN Katibu Mkuu Antonio Guterres aliuambia mkutano wa kila mwaka wa townhall na watetezi wa haki za wanawake – ambao unaendelea hadi 19 Machi – “na unatikisa haki, utu na usawa kwa jamii kote ulimwenguni.” Akiangazia kukosekana kwa usawa wa madaraka, ikiwa ni pamoja na katika siasa, uchumi na teknolojia zinazoibukia…

Read More

Onyo la ‘mvua ya sumu’ kutoka kwa bohari ya mafuta huku kukiwa na vita vinavyoendelea vya Mashariki ya Kati – Global Issues

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, msemaji wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Kibinadamu Ravina Shamdasani ameeleza wasiwasi wake kuhusu madhara ya kiafya na kimazingira ya mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya maghala ya mafuta mjini Tehran huku uchafuzi wa sumu ukienea angani. Alisema kuwa athari hizi zinazua “maswali mazito…

Read More

Kwa hali hii matumizi ya gesi yetu hayaepukiki

Niliwahi kuulizwa na rafiki wa Kijerumani: “kinywaji chenu asilia ni kipi? Tulikuwa katika mapumziko nje ya Motel Agip. Ili kumjibu haraka nilimuita muuza madafu. “Mchongee moja laini huyu mgeni wangu.” Muuza madafu alitomasa bidhaa zake, akauliza, “maji au nyama?” Nilimwambia maji maana mgeni huyu hakuuliza chakula, bali kinywaji. Akachongewa dafu na kuyafurahia maji yake. Wakati…

Read More

Kwa nini watoi wanaonewa bure?

Japo sijui umri wala sura zenu, kwa walengwao mjijuao, nitakuiteni waheshimiwa msiojulikana mnaofanya mambo yanayojulikana tena ya kuudhi. Nawapa shikamoo kama ishara ya heshima ila siyo kuwazeesha bali kuwasifia na kuwafurahisheni msiniteke, kunipoteza, hata kunidedisha kama wale wenzangu. Juzi, nilisikitika sana na kushangaa. Nilihuzunika na kuchukia namna wengine wanavyokasirika na kufyatuka kiasi cha kupayuka na…

Read More

Mchakamchaka siku 12 za mashambulizi Mashariki ya Kati

Leo zimetimia siku 12 tangu kuanza kwa mashambulizi ya anga Mashariki ya Kati, baada ya Marekani na Israel  kuishambulia Iran, taifa la Kiislamu lenye utajiri wa mafuta katika ukanda huo. Mashambulizi hayo yalianza Februari 28, 2026, pale Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei alipoteza maisha siku hiyo sambamba na viongozi wengine waandamizi Zaidi ya…

Read More