Admin

Mkataba mpya wa Marekani waanza kuing’ata Kenya

Dar es Salaam. Mahakama ya Kenya imesitisha utekelezaji wa mkataba wa msaada wa afya wenye thamani ya Dola 2.5 bilioni za Marekani (Sh6.13 trilioni) uliosainiwa na Marekani wiki iliyopita, kutokana na hofu kuhusu faragha ya data. Hatua hiyo inatokana na kesi iliyofunguliwa na kundi la watetezi wa haki za watumiaji likitaka kuzuia kile kinachodaiwa kuwa…

Read More

Zelensky atoa msimamo kuhusu kujiunga Nato

Dar es Salaam. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema nchi yake ipo tayari kuachana na azma ya kujiunga na Jumuiya ya Kujihami ya Mataifa ya Magharibi (Nato), iwapo itapatiwa dhamana madhubuti za usalama. Kauli hiyo ilitolewa kabla ya mkutano uliodumu kwa saa tano kati ya Zelensky na mjumbe maalumu wa Rais wa Marekani, Donald Trump,…

Read More

Mwanzilishi wa mazungumzo juu ya haki za binadamu katika umri wa dijiti – maswala ya ulimwengu

Digitalization inabadilisha jinsi tunavyojifunza, kufanya kazi na kushiriki katika maisha ya raia. UNDP inasaidia nchi zinazotafuta kuhakikisha kuwa mifumo ya dijiti inawawezesha watu na inashikilia haki zao. Mikopo: UNDP Trinidad na Tobago Maoni Na Daria Asmolova, Arindrajit Basu na Roqaya Dhaif (Umoja wa Mataifa) Jumatatu, Desemba 15, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa…

Read More

Waasi wa M23 watishia kupanua mashambulizi Kivu Kusini

Dar es Salaam. Kundi la waasi la M23, linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, limedhibiti mji wa Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kutishia kuendeleza mashambulizi yake nje ya Mkoa wa Kivu Kusini. Kauli hiyo imetolewa na Gavana wa mkoa huo, Emmanuel Rwihimba, wakati wa mkutano na waandishi wa habari, akisema kundi…

Read More