Admin

Matumizi ya Nishati Safi Kupikia Yapata Msukumo Mpya

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya “Gesi Yente” inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na matumizi ya gesi ya kupikia. Hafla ya kukabidhi zawadi hizo imefanyika leo Septemba 2, 2025…

Read More

Deusdedity Okoyo mbioni kujiunga na Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City upo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Deusdedity Okoyo aliyekuwa akiichezea KMC msimu uliopita ili kuongeza nguvu kwenye eneo la kiungo cha kati. Kama uhamisho wa Okoyo utakamilika atakutana na ushindani wa wachezaji wengine wanaotajwa kujiunga na kikosi hicho Omary Chibada anayedaiwa kutokea Kagera Sugar, Jeremie Ntambwe Nkolomoni ambaye ni…

Read More

Gamondi  aanza na sare Kagame 

KOCHA Miguel Gamondi ameanza na sare akiwa na Singida Black Stars kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Katika mechi hiyo ya kwanza ya kimashindano kwa kocha huyo aliyewahi kuifundisha Yanga, tangu apewa mikoba ya kuongoza kikosi hicho, Singida BS ilionekana kutokuwa na makali katika…

Read More

FLATEI ATIMKA AVT, AREJEA CCM KUMUOMBEA KURA RAIS DK. SAMIA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira akiwa pamoja na Aliyekuwa Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Gregory Massay, aliporudi rasmi katika chama cha mapinduzi (CCM) akitokea ACT Wazalendo alipokua amejiunga hivi karibuni. ……………… ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Mbulu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Flatei Maasai ametangaza kurejea CCM akitokea ACT Wazalendo…

Read More

Mahakama yaridhia Exim kumshtaki Gavana BoT

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeiruhusu Benki ya Exim kufungua shauri dhidi ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupinga uamuzi wa kuirejeshea isivyo halali Kampuni ya Swiftline Logistics Limited Dola 224,000 za Marekani zilizochukuliwa kwenye akaunti. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Awamu Mbagwa, katika shauri la Exim la…

Read More

Guterres inataka kuimarisha multilateralism katika anwani kwa Shirika la Ushirikiano wa Shanghai – Maswala ya Ulimwenguni

Bloc ya Eurasian, inayojumuisha nchi wanachama 10, ndio shirika kubwa zaidi ulimwenguni na idadi ya watu na jiografia. Bwana Guterres aliwaambia viongozi kwamba “tunaelekea kwenye ulimwengu wa anuwai”, ambayo ni ukweli na fursa. Alisema uchumi unaoibuka ni biashara ya kufanya kazi tena, diplomasia na maendeleo lakini wakati huo huo, ukosefu wa haki na mgawanyiko unaongezeka….

Read More

Sakata La Muuguzi Kibondo Mganga Mkuu Wa Serikali Atoa Tamko – Global Publishers

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na Askari wakivutana katika Hospitali ya Halmashauri ya Kibondo huku ikidaiwa askari kuvamia chumba cha kujifungulia, jambo ambalo amesema sio kweli na likiwa na nia ovu ya kuichonganisha Serikali na wananchi. Dkt. Magembe ametoa ufafanuzi huo…

Read More