Admin

Waliokuwa watumishi Kigamboni wapandishwa kizimbani

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Fedha na Mhasibu wa Manispaa ya Kigamboni, Jonathan Manguli (38) na wenzake 12, wakiwamo wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 10, yakiwamo ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni. Washtakiwa wengine waliokuwa watumishi wa manispaa hiyo ni mhasibu Godfrey Martiny (44), mkuu…

Read More

Mgombea urais Chaumma aahidi pensheni kwa wazee wote akiwa rais

Tanga. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kuanzisha mpango wa pensheni ya kila mwezi kwa wazee wote nchini, iwapo atachaguliwa kuwa rais katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Mwalimu amesema wazee ni rasilimali muhimu kwa taifa na mchango wao haupaswi kusahaulika. Amesema ili kutambua mchango huo, akipatiwa…

Read More

Mfanyabiashara wa mkaa akutwa amefariki dunia pembezoni mwa tanuru

Pangani. Mfanyabiashara wa mkaa, Michael Yohana (43), amekutwa amefariki dunia pembezoni mwa tanuru la mkaa wakati akiendelea na shughuli za kuandaa tanuru hilo kwa ajili ya uzalishaji. Akisimulia tukio hilo wakati wa shughuli za mazishi yaliyofanyika leo, Jumatano Septemba 3, 2025, katika Kijiji cha Langoni wilayani Pangani, mke wa marehemu, Sophia Marandu, amesema tukio hilo…

Read More

Zaidi ya Ubashiri, Ni Burudani, Ushindi na Teknolojia Mpya – Global Publishers

Bingwa wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, ameleta promosheni kabambe inayowapa wachezaji wake nafasi ya kipekee ya kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Promosheni hii, ambayo imeanza rasmi tarehe 1 Septemba 2025 na itaendelea hadi 30 Septemba 2025, inalenga kuongeza msisimko kwa wachezaji kwa kuwapa zawadi…

Read More

Mwanahabari mwingine afariki dunia Dodoma

Dodoma. Tasnia ya habari mkoani Dodoma imepata pigo lingine katika kipindi kifupi kufuatia kifo cha mwanahabari, Kadala Komba ambaye amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Komba amefariki dunia ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kifo cha Sharon Sauwa, mwanahabari mwandamizi aliyekuwa anatumikia vyombo vya Kampuni ya…

Read More

WAGOMBEA UBUNGE MAJIMBO YA MKOA WA SONGWE WAJIVUNIA YALIYOFANYWA NA RAIS SAMIA “OKTOBA WOTE TUNATIKI KWA SAMIA”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAGOMBEA ubunge wa majimbo yaliyopitishwa katika Mkoa wa Songwe wametaja mafanikio lukuki yaliyofanywa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne na nusu ya uongozi wake huku wakitumia nafasi hiyo kuahidi kwa niaba ya wananchi wakiahidi kumpigia kura Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Akizungumza leo…

Read More

NI MAELFU KWA MAELFU YA WANANCHI SONGWE…RAIS DK. SAMIA AAHIDI MAKUBWA

 *Aweka wazi mpango wa kumaliza msongamano wa malori Tunduma mkoani Songwe *Agusia maboresho reli ya TAZARA,maegesho ya kisasa kuepusha malori barabarani Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tunduma  NI maelfu ya wananchi,ni maelfu ya wananchi, ni maelfu ya wananchi ! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea maelfu ya wananchi wa Tunduma katika Mkoa wa Songwe wamejitokeza kwa wingi  katika mkutano…

Read More