Admin

Athari za nchi wanachama kutoipa kipaumbele EAC

Dar es Salaam. Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), inasuasua kutokana na baadhi ya nchi wanachama kutoipa nafasi kubwa kama chombo chenye manufaa kwao katika masuala tofauti ikiwamo ya kiuchumi na kidiplomasia. EAC inapoteza mvuto na nguvu ya ushawishi kwa wanachama wake na ni sahihi kusema wanachama wenyewe ndiyo wanaiua kutokana na kutoitunza na kuipa nafasi…

Read More

Mambo 7 yamkalia pabaya Pedro Yanga

YANGA inaendelea kugawa dozi kwenye mechi zake ikitoka kupata mshtuko wa kudondosha pointi mbili baada ya kulazimishwa sare dhidi ya Simba, mchezo ambao uliibua hoja mbalimbali juu ya kiwango cha kikosi hicho. Huo ulikuwa mchezo wa kwanza wa dabi timu hiyo ikiwa chini…

Read More

MCHAWI WA MWANAMKE SI MWANAMKE

Wanawake watumishi wa Mamlaka  Hifadhi ya Ngorongoro katika muendelezo wa  kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wamedhihirisha kwamba mchawi wa mwanamke si mwanamke  kwa kutembelea  shule ya Sekondari ya wasichana Ngorongoro na kuwapa tabasamu la  msaada wa vifaa mbalimbali Akiongea kwa Niaba ya Kamishna wa Uhifadhi, Afisa Uhifadhi Mkuu Sarah Lushu ameeleza kuwa vitu ambavyo Mamlaka…

Read More

WAZIRI MKUU AKAGUA BANDARI YA KASANGA MKOANI RUKWA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumanne (Machi 10, 2026) amekagua miundombinu na utendaji kazi wa Bandari ya Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo. TPA ilifanya upanuzi wa bandari ya Kasanga mwaka 2019 kwa kuongeza urefu wa gati kutoka mita 20 hadi 120 ya kina cha…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUJIDHATITI UDHIBITI WA MAGONJWA ADIMU

Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo katika Sekta ya Afya, inaendelea kujidhatiti kwa kuimarisha mifumo ya huduma za afya kupitia tafiti mbalimbali ili kuhakikisha wagonjwa wenye magonjwa adimu wanapata huduma stahiki kwa wakati. Hayo yamesemwa leo Machi 4, 2026 na Mganga Mkuu…

Read More