Athari za nchi wanachama kutoipa kipaumbele EAC
Dar es Salaam. Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), inasuasua kutokana na baadhi ya nchi wanachama kutoipa nafasi kubwa kama chombo chenye manufaa kwao katika masuala tofauti ikiwamo ya kiuchumi na kidiplomasia. EAC inapoteza mvuto na nguvu ya ushawishi kwa wanachama wake na ni sahihi kusema wanachama wenyewe ndiyo wanaiua kutokana na kutoitunza na kuipa nafasi…