Admin

TANESCO KUFANYA MABORESHO YA MFUMO WA LUKU

 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kutakuwa na maboresho ya mfumo wa manunuzi ya umeme (LUKU) yatakayofanyika kesho Jumatano usiku kuamkia Alhamisi kuanzia saa 6:00 usiku hadi saa 8:00 usiku (masaa mawili). Kutokana na maboresho hayo, huduma ya kununua umeme kupitia mfumo wa LUKU haitapatikana kwa muda huo. Hivyo, TANESCO inawashauri wateja…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT .NCHIMBI ATOA WITO KWA WIZARA NA SEKTA ZA MAZINGIRA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwa na mpango wa pamoja utakaowezesha uhifadhi endelevu wa mazingira. Makamu wa Rais ametoa wito huo, wakati akifanya mazungumzo na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji,…

Read More

Rostam ainunua Nation Media Group

Dar es Salaam/Nairobi. Mfanyabiashara wa Afrika Mashariki, Rostam Azizi, kupitia kampuni yake ya Taarifa Ltd amenunua hisa zote zilizokuwa zikimilikiwa na Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited, hatua inayomfanya kuwa mbia mkuu wa Nation Media Group (NMG). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 10, 2026, inaeleza…

Read More

MBUNGE CHATO AWANANGA WALIOSHANGILIA KUKAMATWA NA TAKUKURU

……… CHATO MBUNGE wa Jimbo la Chato Kaskazini, Cornel Magembe, amewananga baadhi ya wananchi walioshangilia kukamatwa kwake na Taasisi ya kuzuia na Kupambana na rushwa(Takukuru) kisha kufikishwa mahakamani kwa makosa ya rushwa. Hata hivyo amesema yupo tayali kuendelea kupambana na kesi hiyo wala hawezi kutetereshwa na nia ovu ya baadhi ya watu wenye lengo la…

Read More

WANAWAKE WA UWT KIBAHA MJI WAANZA KUTEMA CHECHE BAADA YA USHINDI WA KISHINDO KATIKA UCHAGUZI MKUU

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT)  Wilaya  ya  Kibaha mjini katika kukiimarisha chama imeamua kufanya ziara maalumu yenye lengo la kuwashukuru  na kuwapongeza  wanawake kwa umoja wao na mshikamao waliouonyesha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupelekea chama cha mapinduzi (CCM)  kuweza  kushinda kwa kishindo katika nafasi za Udiwani, Ubunge pamoja…

Read More

Maafisa wa Mrekani na Ukraine wameanza mazungumzo nchini Saudi Arabia

Maafisa wa Marekani na Ukraine wameanza mazungumzo leo Jumanne nchini Saudi Arabia huku upande wa Ukraine ukitarajiwa kuwasilisha sehemu ya mpango wa kusitisha mapigano na Russia. Mpango wa Ukraine unajumuisha kusitisha mafanikio ya makombora ya masafa marefu na sitisho la linalohusisha Black Sea. Hata Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy hakushiriki katika mikutano ya Jumanne, huku…

Read More

Ukraine yakubaliana na mpango wa Marekani wa kusitisha mchezo

ya pamoja baada ya mazungumzo imesema, “Ukraine imeeleza iko tayari kukubali pendekezo la kutekeleza kutekeleza mara moja sitisho la taarifa kwa siku 30, ambalo itabidi likubaliwe na pande zote, ambalo pia lazima litekelezwe na Russia. Imeomba kwamba Marekani itaondoa mara moja hatua ya kusitisha taarifa kijasusi na kuanza kutoa misaada ya kiusalama kwa Ukraine. Waziri…

Read More