Admin

Gamondi amtaja Tchakei, suluhu ya Wahabeshi

BAADA ya kuambulia pointi moja kupitia suluhu ya mechi ya kwanza ya michuano ya Kombe la Kagame 2025, kocha Miguel Gamondi amesema walikosa mchezaji mbunifu wa kufungua ukuta wa wapinzani wao, Coffee ya Ethiopia huku akimtaja Marouf Tchakei. Singida ilipata suluhu ya mechi za Kundi A ya michuano hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali…

Read More

Tabora United yasaka kipa, Chilunda ndani

UONGOZI wa Tabora United umeingia sokoni kusaka kipya mpya baada ya tegemeo namba moja, Fikirini Bakari, kuvunjika taya katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga iliyowafunga mabao 4-0 katika Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam. Chanzo cha Mwanaspoti kimesema Bakari aliyemaliza akiwa na ‘clean sheet’ moja aliyoipata akiwa Fountain Gate kabla ya kujiunga wakati dirisha…

Read More

Wanne waliofunika robo fainali Ligi ya Kikapu Dar

WACHEZAJI wanne kutoka JKT, Dar City, Tausi Royals na DB Troncatti walikuwa kivutio katika robo fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kutokana na kuwa na uwezo mzuri wa kucheza na kuchezesha timu katika nafasi zao, mambo ambayo yalizibeba na kuziwezesha kushinda. Wachezaji hao Omary Sadick (JKT), Amin Mkosa (Dar City),…

Read More

Ndayiragije azitamani poini tatu za Singida BS

POLISI Kenya imeanza kwa kishindo michuano ya Kombe la Kagame 2025 kwa kuifumua Garde Cotes ya Djibouti kwa mabao 4-0, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Etienne Ndayiragije amesema kwa sasa hesabu zake amezielekeza kesho Ijumaa watakapoikabili Singida Black Stars ya Tanzania. Mabingwa hao wa Kenya ambao watakashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, walianza kwa kishindo…

Read More

BALOZI DKT. NCHIMBI AAGANA NA SIMIYU KWA KISHINDO AKIELEKEA SHINYANGA KUSAKA KURA ZA USHINDI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi wakati akiwahutubia kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Jumatano Septemba 3,2025,wakati akimalizia mkutano wake wa mwisho wa Kampeni mkoani Simiyu. Katika mkutano huo wa kampeni,Balozi Dk.Emmanuel Nchimbi aliwanadi Wabunge wa Mkoa…

Read More

BEI ZA MAFUTA MWEZI SEPTEMBA 2025 ZAENDELEA KUSHUKA

 Picha na Mtandaoni  ,::::::::::  Bei za mafuta zinazotumika nchini kuanzia leo Septemba 3, 2025, zimeonesha kupungua kwa kwa shilingi 36 kwa petroli na shilingi 23 kwa dizeli kwa mafuta yaliyopokelewa bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara mtawalia.

 Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dkt…

Read More

Wanawake wagombea wapewa mbinu kukabiliana na vikwazo

Unguja. Wakati mchakato wa uchaguzi ukiendelea katika hatua za kuchukua na kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa, wanawake watakaogombea nafasi za urais, uwakilishi na udiwani kupitia vyama mbalimbali kisiwani hapa wamepewa mbinu za kuzungumza na hadhira na kutokatishwa tamaa na maneno ya kejeli na vikwazo vya kiuchumi. Akizungumza katika mafunzo hayo leo, Jumatano, Septemba 3, 2025,…

Read More

Nyenzo utekelezaji sera ya maendeelo watoto yapatikana

Unguja. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Abeida Rashid Abdallah amesema kuwa mpango jumuishi wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wa miaka mitano, ni nyenzo katika utekelezaji wa sera za maendeleo ya watoto pamoja na kufanikisha malengo ya kitaifa na kimataifa. Kauli hiyo ameitoa alipokuwa akifungua…

Read More

CCM na mkakati wa kutibu majeraha kura za maoni

Dar es Salaam. Katikati ya vinyongo vya baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutokana na kuenguliwa katika michakato ya uteuzi wa kuwania nafasi mbalimbali, chama hicho kimeanza mkakati wa kutibu majeraha. Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira, ndiye aliyekabidhiwa kibarua hicho, akifanya ziara katika mikoa mbalimbali, hasa maeneo ambayo kumeibuka manung’uniko…

Read More