Rais Trump ameitishia Umoja wa Ulaya kwa asilimia 200 kwenye mvinyo
Rais wa Marekani Donald Trump leo aliitishia Umoja wa Ulaya kwa ushuru wa asilimia 200 kwenye mvinyo, Champagne na aina nyingine ya pombetengenezwa katika nchi 27 wanachama wa umoja huo, baada ya EU kuweka ushuru wa asilimia 50 kwa Whisky ya Marekani. Trump aliandika kwenye mtandao wake wa kijamii wa Truth Social kwamba EU ni…