Mzee Bichuka Apokea Shilingi Milioni 10 Kutoka kwa Rais Samia Kupitia Naibu Waziri
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, amemtembelea na kumjulia hali mwanamuziki nguli Mzee Hassan Rehani Bichuka nyumbani kwake Sinza Mori, jijini Dar es Salaam. Mwinjuma alimtembelea mwanamuziki huyo Machi 9, 2026 na kufikisha salamu kutoka kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambapo alisema Rais Samia…