Admin

Sababu TPA kuja na ada mpya, kuziahirisha

Dar es Salaam. Siku moja baada ya ada mpya ya uendelezaji wa miundombinu ya bandari (PID) kulalamikiwa, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeeleza sababu za kuianzisha na kuisogeza hadi Julai mosi mwaka huu. Ada hizo mpya zilipaswa kuanza kutumia Machi 8, 2026 lakini baada ya kutangazwa na kuibua mjadala mkubwa miongoni mwa wadau…

Read More

Mradi wa KKKT wazalisha umeme, wanufaisha vijiji saba Makete

Njombe. Wananchi wa vijiji saba wilayani Makete mkoani Njombe wananufaika na upatikanaji wa umeme wa uhakika kufuatia mradi wa uzalishaji umeme wa Ijangala uliofadhiliwa na Wakala wa Umeme Vijijini (Rea). Umeme unaozalishwa katika mradi huo unatajwa kusaidia kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika pamoja na kutoa ajira kwa wananchi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa leo…

Read More

Vifaa vya Sh10 milioni kuwainua wakulima wanawake Tabora

Tabora. Wanawake wanaojishughulisha na kilimo mkoani Tabora wamepewa zana za kilimo na pembejeo, pamoja na ufuatiliaji wa kilimo chenye tija, kwa lengo la kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Zana vilivyotolewa ni pamoja na pampu za unyunyiziaji wa dawa, mabomba na pampu za maji kwa ajili ya umwagiliaji pale panapokua changamoto ya upatikanaji wa maji, pamoja na buti…

Read More

Dhamira ya mwanaharakati mchanga wa Kijapani kushiriki hadithi za walionusurika kwenye bomu la atomiki – Masuala ya Ulimwenguni

Suzuka Nakamura kutoka mji wa kusini mwa Japani wa Nagasaki, ambao pamoja na Hiroshima, ulilengwa na bomu la atomiki mwishoni mwa Vita vya Kidunia vya pili, amedhamiria kuunda jumba la makumbusho kuleta hadithi za hibakusha (walionusurika kwenye bomu la atomiki) kwa jamii zilizo mbali zaidi ya miji hiyo miwili. Bi. Nakamura, ambaye bibi yake alikuwa…

Read More

Wanaharakati wataka uchunguzi madai ya Teresia mbele ya Waziri Mkuu

Dar es Salaam. Muungano wa mashirika yanayotetea haki za wanawake na wasichana, Tanzania Dadas Rise Coalition (TDRC), umeeleza wasiwasi mkubwa kuhusu upatikanaji wa haki kwa Teresia Teofili aliyeeleza kufanyiwa unyanyasaji wa kijinsia mbele ya hadhara na kuishia kuchekwa. Muungano huo unaojumuisha viongozi vijana wanawake na wakurugenzi wa mashirika 48 yasiyo ya kiserikali nchini, umeeleza kuwa…

Read More

Daraja la Sh9.4 bilioni kuondoa adha kwa wananchi  Magu

Magu. Wananchi wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, wameeleza adha wanazokumbana nazo wakati wa kuvuka Daraja Sukuma, ikiwamo ya kusombwa na maji nyakati za mvua. Wamesema daraja hilo ndiyo njia pekee inayowaunganisha wananchi wa Kata ya Vaya na Magu Wilayani, ambalo nyakati za mvua hukata mawasiliano. Wameyaeleza hayo leo Jumanne, Machi 10, 2026 wakati Katibu…

Read More

Zigo la migogoro ya ardhi lashushwa kwa AG, mawaziri

Dar es Salaam. Baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi kuhusu migogoro ya ardhi nchini, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka viongozi na mawaziri wa kisekta kutafakari na kupendekeza mbinu itakayoleta suluhu ya kudumu. Waliopewa jukumu hilo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Hamza Johari, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…

Read More