ACT – Wazalendo yafikisha kilio cha demokrasia UN
Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, ameeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kisiasa uliojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 29, mwaka jana. Katika mazungumzo hayo na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika, Parfait Onanga-Anyanga, yaliyofanyika leo Jumanne Machi 10, 2026 jijini Dar es…