Admin

Wazazi wapewa rungu kudhibiti watoto wao kutumia ChatGPT

Dar es Salaam. Baada ya kuripotiwa kwa baadhi ya kesi zinazohusu matumizi mabaya ya teknolojia ya Akili Unde (AI) ya ChatGPT kwa watoto ikiwemo kusababisha madhara kama kifo. Kampuni ya teknolojia ya OpenAI inayomiliki Akili Unde hiyo ya ChatGPT imetangaza kuja na mfumo wa udhibiti wa wazazi utakaowapa uwezo wa kuunganisha akaunti zao na za…

Read More

Na koti la begi la shule, vyumba vya madarasa vimekuwa malazi – maswala ya ulimwengu

“Tunabeba begi la nguo badala ya begi la shule,” aliiambia Habari za UN. Diana na wanafunzi wengine walishiriki hamu yao ya kurudi darasani, wakizungumza kutoka shule ambazo zimebadilishwa kuwa malazi ya makazi ya Gaza, ambapo wakaazi wengi wa Palestina milioni 2.3 wamelazimishwa kusonga mara kadhaa wakati wa vita vya karibu vya miaka mbili vilivyosababishwa na…

Read More

Kibonde: Kumnyima kijana elimu ni sawa na kumfunga maisha

Dar es Salaam. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Makini, Coaster Kibonde, amesema wakipata ridhaa ya wananchi na kuingia Ikulu, watasimamia vipaumbele vitatu vya elimu, kilimo na afya. Kibonde ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho amesema ametembea mikoa 10 katika kusaka wadhamini na amebaini vipaumbele hivyo vitatu Watanzania wamevikubali na hawatakuwa na sababu ya…

Read More

KITI CHA URAIS ZANZIBAR: Ahadi za watiania na kipimo cha vilio, kero kwa wananchi

 Dar es Salaam. Safari ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika uchaguzi visiwani Zanzibar haikuwahi kuisha ahadi, zikiwamo zenye vituko na mbwembwe ndani yake. Ukiacha ile ya kuwanunulia wanahabari pikipiki za magurudumu matatu ‘bajaji’ kutoka India iliyotolewa katika uchaguzi wa mwaka 2020, sasa imeibuka nyingine ya ruhusa ya kilimo cha bangi ili kuukwamua uchumi wa…

Read More

CCM Geita yazindua kampeni zake, mshikamano ukisisitizwa

Geita. Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita,  Jumanne Septemba 2, 2025 kimezindua kampeni za kuinadi Ilani ya CCM 2025-2030 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Kampeni hizo zinazinduliwa wakati majimbo saba kati ya tisa na kata 92 kati ya 122 mkoani humo, wagombea wao wanasubiri kupigiwa kura za Ndiyo na Hapana. Akizungumza katika uzinduzi huo…

Read More