
BALOZI MULAMULA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA KATIBU MKUU WA UN BALOZI XIA HUANG
:::::: Mjumbe Maalum wa Masuala ya Wanawake Amani na Usalama Barani Afrika, Mhe. Balozi Liberata Mulamula amekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Amani na Usalama wa Kanda ya Maziwa Makuu( UN Special Envoy on the Great Lakes Region), Balozi Xia Huang katika mazungumzo maalumu ya kubadilishana uzoefu…