Admin

Matumaini, mashaka ziara ujumbe UN Tanzania

Dar es Salaam. Ujumbe wa Umoja wa Mataifa (UN), umeanza vikao vya mazungumzo na vyama vya siasa kuhusu demokrasia na utawala bora nchini, huku baadhi ya vyama vikishindwa kutoa msimamo iwapo vitashiriki au havitashiriki. Lakini, ziara ya Parfait Onanga-Anyanga, mwakilishi wa Katibu Mkuu wa UN, imewagawa wadau, wengine wanapongeza na wengine wanatilia shaka, wakisema hawataki…

Read More

Wananchi Kalambo wamtaka DC Lijualikali mbele ya Dk Mwigulu

Dar es Salaam. Wananchi wa Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa wameonyesha wazi imani yao kwa Mkuu wa Wilaya (DC) anayekaimu, Peter Lijualikali, wakitaka aendelee kubaki katika nafasi hiyo baada ya kuonekana kushughulikia changamoto za wananchi ndani ya muda mfupi tangu aanze kuiongoza wilaya hiyo. Sauti hiyo ya wananchi ilisikika wazi wakati wa mkutano wa…

Read More