Jamhuri yaomba kufanya mabadiliko kesi ya silaha inayomkabili Mkaguzi wa Polisi
Dar es Salaam. Jamhuri katika kesi kukutwa na silaha inayomkabili, umeiomba Mahakama kufanya mabadiliko ya hati ya mashtaka, kabla ya kuendelea na hatua nyingine. Maombi hayo yamewasilishwa leo Jumanne, Machi 10, 2026 na wakili wa Serikali Mwandamizi, Theresia Mtao wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Malekela kutoka Kambi ya Polisi Kilwa Road, anakabiliwa…