Admin

Mvutano wazuka mabasi kuhamishiwa kituo cha Kange Tanga

Tanga. Mvutano umeibuka katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Tanga (RCC) baada ya wajumbe kutofautiana kuhusu mpango wa kuhamishia mabasi ya abiria yanayokuwa katikati ya jiji kwenda kwenye kituo kikuu cha mabasi cha Kange. Kikao hicho kilikuwa kikijadili mapendekezo ya makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027. Katika mitazamo miwili tofauti,…

Read More

ZFF yataja mikakati ya kuinua soka Zanzibar

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF), Hussein Ahmada Vuai amesema shirikisho hilo linaendelea na jitihada za kuleta mabadiliko katika Ligi Kuu Soka Zanzibar ili kutambulika zaidi Afrika. Alisema mbali na ubora wa wachezaji, ligi hiyo inanufaika kwa kuboreshwa kwa miundombinu ya michezo na makocha wazoefu ambao wamewahi kufanya kazi kwenye baadhi ya klabu…

Read More

Matumaini, mashaka ziara ujumbe UN Tanzania

Dar es Salaam. Ujumbe wa Umoja wa Mataifa (UN), umeanza vikao vya mazungumzo na vyama vya siasa kuhusu demokrasia na utawala bora nchini, huku baadhi ya vyama vikishindwa kutoa msimamo iwapo vitashiriki au havitashiriki. Lakini, ziara ya Parfait Onanga-Anyanga, mwakilishi wa Katibu Mkuu wa UN, imewagawa wadau, wengine wanapongeza na wengine wanatilia shaka, wakisema hawataki…

Read More