Dkt. Samia Azungumza na Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa AU – Global Publishers
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AUEOM), ulioongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana, Mokgweetsi Masisi, ambaye pia ni Kiongozi wa Misheni hiyo. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ikulu Ndogo ya…