Admin

Namna ya kurejesha hofu ya Mungu ndani ya familia

Bwana Yesu asifiwe, ni siku nyingine ya Baraka Mungu ametupa mimi na wewe ili tuweze kumwabudu yeye. Katika somo lilipita nilifundisha “Kwanini kizazi cha sasa kimepoteza Hofu ya Mungu”. Miongoni mwa sababu za msingi nilizofundisha zilikuwa ni Kukosekana kwa Misingi Bora ya Kiroho katika Familia zetu.Leo hii nitafundisha Namana ya Kurejeza hofu ya Mungu katika…

Read More

TGNP NA UNWOMEN WAWEZESHA MAGEUZI YA KIJAMII GONGO LA MBOTO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAWAKE wa Kata ya Gongo la Mboto wamehamasishwa kushiriki katika nafasi za uongozi na kujiimarisha kiuchumi kupitia Kituo cha Taarifa na Maarifa (KC) baada ya kufanya tathimini ya mradi wa Women’s Leadership and Economic Rights (WLER) unaoratibiwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na UNWOMEN Akizungumza na waandishi…

Read More

Mwalimu atua kwa Mpina, apokea malalamiko bei ya mazao

Meatu. Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, ametua katika Jimbo la Kisesa, Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, jimbo lililowahi kuongozwa na Luhanga Mpina. Akiwa katika mkutano wake, wananchi wamemwomba kwamba iwapo atachaguliwa kuwa Rais, achukue hatua za haraka kushughulikia kuporomoka kwa bei ya mazao ya choroko, mbaazi na pamba, hali…

Read More

Mzimu wa ajali waliibua kanisa Katoliki Same

Same. Askofu wa Jimbo Katoliki Same, Rogatius Kimaryo amewaongoza waumini wa kanisa hilo katika ibada maalumu kuombea barabara kuu ya Dar es Salaam–Same–Mwanga–Arusha, kutokana na uwepo wa ajali zinazogharimu maisha ya watu. Mbali ya ibada hiyo, kanisa limeweka wakfu eneo maalumu katika Kata ya Njoro, kutakakojengwa Groto ya Bikira Maria kwa ajili ya sala na…

Read More