Admin

TANZANIA NI KIELELEZO CHA AMANI NA MSHIKAMANO WA KIJAMII BARANI AFRIKA NA DUNIANI – KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema Tanzania imeendelea kuwa kielelezo cha amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na Duniani, akisisitiza kuwa dunia inalitazama Taifa hilo kama mfano wa kuigwa. Guterres ameyasema Desemba 14,2025, alipokuwa akipokea ujumbe maalumu wa Tanzania uliotoka kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuwasilishwa na Waziri wa…

Read More