Admin

KIBAHA KUANZA KILIMO CHA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

Na Khadija Kalili, Kibaha WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amesema Mkoa wa Pwani unatarajia kuanza mradi wa kilimo cha mbogamboga na matunda katika eneo lenye ukubwa wa ekari 200 lililopo Ruvu Stesheni, Kibaha Vijijini. Akizungumza leo Machi 16, 2026 wakati akikagua eneo hilo, Mhe. Chongolo alisema ameridhishwa na mandhari ya eneo hilo na kusisitiza…

Read More

Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

Dar es Salaam. Mashahidi 43, akiwemo Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele, wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kughushi vibali vya kumiliki silaha inayowakabili watu tisa, wakiwemo maofisa sita wa Jeshi la Polisi. Wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling’i, ameieleza Mahakama…

Read More

Bahati Yako Ipo Meridianbet Leo

JE unajua kuwa bahati yako ipo Meridianbet siku ya leo? Wakali hawa wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa ingia kwenye akaunti yako, weka dau na ubashiri mechi za leo uibuke na Mamilioni. Ligi pendwa Duniani EPL, kurindima simu ya leo Crystal Palace atumana vikali dhidi ya Leeds United huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa…

Read More

ODDS za Kishua Zipo Meridianbet

KAMA unataka ODDS za kishua njoo Meridianbet?. Safari yako ya ushindi ipo hapa pekee hivyo changamkia nafasi hii leo. Machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana kwa kila mechi. CHAMPIONSHIP Uingereza kuna mchezo mmoja ambao utaendelea kati za Portsmouth dhidi ya Derby Country ambao wapo nafasi ya 8 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 19 kwenye msimamo…

Read More

Kilichotokea dakika 90, Mnyupe alivyoimaliza Dar Derby

ILE Dar es Salaam Derby kati ya Azam dhidi ya Yanga, imelizika kinyonge sana kwa timu hizo zikitoka bila kupatikana mshindi huku changamoto za waaamuzi zikiendelea kushika nafasi kwenye michezo hiyo mikubwa nchini. Mchezo huo uliopigwa Jumapili Machi 15, 2026 pale Benjamin Mkapa jijini Dar, umezifanya timu hizo ndani ya dakika 90 kushindwa kuonyesha mambo…

Read More

SOMBA AANZA KAZI NA TPBRC

****** Afisa habari wa chama cha makocha wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania TPBCA, Dauka Somba amefanya kikao na makamu mwenyekiti wa kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania, TPBRC, Jacob Mbuya. Somba na Mbuya wamefanya kikao hiko leo katika ofisi za TPBRC zilizopo Ilala jijini Dar es salaam lengo likiwa ni kuandaa mikakati ya kuboresha…

Read More

Wawili waliohukumiwa kifo kwa mauaji, kujaribu kuua waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa waliyohukumiwa watu wawili, baada ya kubaini kuwa ushahidi uliotumika kuwahukumu haukuthibitisha hatia yao bila kuacha shaka. Walioachiwa huru ni Emmanuel Sayi na Yohani Emmanuel, ambao awali, wao na watu wengine watano, walikutwa na hatia ya kumuua Ester Kondela na kujaribu kumuua Leticia Daud. Hukumu iliyowaachia…

Read More

Mghana aingia anga za Singida BS

MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza kumfuatilia kiungo mshambuliaji wa Gor Mahia FC ya Kenya, Mghana, Enock Morrison, ambaye hadi sasa hakuna mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya huko alipo, baada ya huu wa sasa kufikia tamati mwishoni mwa msimu huu. Chanzo kutoka ndani ya timu hiyo, kimeliambia Mwanaspoti, Enock ni miongoni mwa wachezaji wanaofuatiliwa kwa…

Read More