KIBAHA KUANZA KILIMO CHA MBOGAMBOGA NA MATUNDA
Na Khadija Kalili, Kibaha WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amesema Mkoa wa Pwani unatarajia kuanza mradi wa kilimo cha mbogamboga na matunda katika eneo lenye ukubwa wa ekari 200 lililopo Ruvu Stesheni, Kibaha Vijijini. Akizungumza leo Machi 16, 2026 wakati akikagua eneo hilo, Mhe. Chongolo alisema ameridhishwa na mandhari ya eneo hilo na kusisitiza…