Tvbet Yaja Kutikisa Dunia Ya Burudani, Sasa Ipo Meridianbet
Tvbet Yaja Kutikisa Dunia Ya Burudani, Sasa Ipo Meridianbet – Global Publishers Home Burudani Tvbet Yaja Kutikisa Dunia Ya Burudani, Sasa Ipo Meridianbet
Tvbet Yaja Kutikisa Dunia Ya Burudani, Sasa Ipo Meridianbet – Global Publishers Home Burudani Tvbet Yaja Kutikisa Dunia Ya Burudani, Sasa Ipo Meridianbet
Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Afanya Ufungaji wa Mkutano wa Makamanda – Global Publishers Home Habari Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Afanya Ufungaji wa Mkutano wa Makamanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga kwa ajili ya kufungua mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Makamanda, tarehe 15 Desemba, 2025.
Mtangazaji wa Global TV Irene Kilango Afunga Ndoa, Ashukuru Mungu na Wadau – Global Publishers Home Habari Mtangazaji wa Global TV Irene Kilango Afunga Ndoa, Ashukuru Mungu na Wadau
Vumbi Kuendelea Leo: Mechi Kibao Kutikisa Ligi Kuu za Ulaya – Global Publishers Home Michezo Vumbi Kuendelea Leo: Mechi Kibao Kutikisa Ligi Kuu za Ulaya
Waziri Mkuu Nchemba Awali Songea Kushiriki Ibada ya Heshima za Mwisho Jenista Mhagama Peramiho – Global Publishers Home Habari Waziri Mkuu Nchemba Awali Songea Kushiriki Ibada ya Heshima za Mwisho Jenista Mhagama Peramiho
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 15,2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma,ambako atashiriki Ibada ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Jenista Mhagama aliyekuwa Mbunge wa Peramiho na Waziri Mstaafu, inayofanyika katika Kanisa Katoliki Peramiho. Jenista Mhagama alifariki Desemba 11, 2025 kwa maradhi ya moyo.
Mkuu wa kitengo cha Mifumo Mbadala ya Kidijitali wa Benki ya Exim Bw. Silas Matoi, akizungumza na mmoja wa washindi wakati wa droo ya kwanza ya kampeni ya Chanja Kijanja, Dili ndio hili iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Kupitia kampeni hii, wateja wanaotumia kadi za Exim kulipia bidhaa au huduma wanapata nafasi ya kushinda zawadi…
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, amemtaka Mkandarasi wa COMFIX & ENGINEERING kuongeza kasi ya ujenzi wa miundombinu ya Mradi wa Kujenga Ujuzi na Ushirikiano Afika Mashariki (EASTRIP ) katika Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) Kampasi ya Mwanza, ili ikamilike kwa wakati kulingana na maktaba. Naibu Waziri huyo,…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema Tanzania imeendelea kuwa kielelezo cha amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na Duniani, akisisitiza kuwa dunia inalitazama Taifa hilo kama mfano wa kuigwa. Guterres ameyasema Desemba 14,2025, alipokuwa akipokea ujumbe maalumu wa Tanzania uliotoka kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuwasilishwa na Waziri wa…