Admin

CCM Geita yazindua kampeni zake, mshikamano ukisisitizwa

Geita. Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita,  Jumanne Septemba 2, 2025 kimezindua kampeni za kuinadi Ilani ya CCM 2025-2030 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Kampeni hizo zinazinduliwa wakati majimbo saba kati ya tisa na kata 92 kati ya 122 mkoani humo, wagombea wao wanasubiri kupigiwa kura za Ndiyo na Hapana. Akizungumza katika uzinduzi huo…

Read More

ZEC, vyama vya siasa na mustakabali wa uchaguzi

Hivi karibuni, vyama 18 vya siasa vilitia saini hati ya makubaliano ya kuendesha uchaguzi wa Zanzibar kwa misingi ya amani, uwazi na haki. Tukio hilo lilisimamiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Kazi. Mkataba huo unalenga kuhakikisha kwamba kampeni za uchaguzi mwaka huu zinazingatia maadili ya kisiasa kwa kutumia lugha ya…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: CUF 2025 inamtoa chozi Seif kaburini, Profesa Lipumba akishika tama

Agosti 31, 2025, Viwanja vya Furahisha, Mwanza, ulifanyika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo. Hali ya mkutano inatafakarisha. Inasikitisha. Mahudhurio ya watu yalikuwa kidogo. Hadhira ilitosha hema moja. Kila kitu kilidhihirisha jinsi chama hicho kilivyo na uhaba wa rasilimali. Mtu mgeni na asiyejua historia, angeadhani…

Read More

Nyaishozi Mfano wa shule Bora zinazotangaza ushirika kielimu

Na Diana Byera,Karagwe Wamiliki wa shule binafsi wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wametakiwa kuzingatia lengo kuu la kuanzisha shule,ambalo ni kutoa huduma ya elimu badala ya kuzigeuza shule hizo kuwa chanzo cha biashara na faida kubwa.  Wito huo umetolewa kufuatia ongezeko la malalamiko kutoka kwa jamii kuhusu gharama kubwa na michango mingi isiyoelezeka katika baadhi ya…

Read More

Nangu, Yakoub wapata warithi jeshini

BAADA ya JKT Tanzania kutangaza kuachana na kipa Yakoub Suleiman na beki Wilson Nangu waliojiunga na Simba, kocha wa timu hiyo, Ahmad Ally amesema ameshapata mbadala wao. Nangu na Yakoub wamesajiliwa Simba kila mmoja akisaini mkataba wa miaka mitatu, jambo ambalo Ally limemfurahisha akiona kwamba vijana wake wamewapa heshima kubwa JKT Tanzania. Alisema katika nafasi…

Read More

Mtumbuka: Ni muda wa kung’ara Tanzania Prisons

BAADA ya kushindwa kung’ara msimu uliopita akiwa na kikosi cha Mashujaa, winga Emmanuel Mtumbuka amesema ni wakati wa kufanya vizuri na kuonyesha uwezo wake baada ya kutimkia Tanzania Prisons ya Mbeya. Mtumbuka aliyedumu Mashujaa kwa mwaka mmoja baada ya kujiunga nayo msimu uliopita akitokea Stand United ya Shinyanga, alishindwa kupata uhakika wa namba na sasa…

Read More