
Gamondi autaka ubingwa Cecafa Kagame Cup
KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ametangaza kuwa lengo kubwa kwenye michuano ya Cecafa Kagame Cup 2025 ni kuipa timu yake ubingwa akiitumia pia kama sehemu ya maandalizi ya mashindano ya kimataifa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara. Gamondi, aliyewahi kuinoa Yanga, ameanza jana, Jumanne safari yake na Singida kwenye mchezo wa Kundi…