
Dk Nchimbi aeleza sababu Samia kuwa chaguo sahihi
Itilima. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema kazi kubwa aliyoifanya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais Samia Suluhu Hassan inawapa ahueni ya kuomba kura. Aidha Dk Nchimbi amesema Rais Samia ameboresha mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mbalimbali hali inayochagiza kuvutia zaidi uwelezaji. Ameikamilisha miradi ya kimkakati iliyoachwa na…