Admin

Dk Nchimbi aeleza sababu Samia kuwa chaguo sahihi

Itilima. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema kazi kubwa aliyoifanya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais Samia Suluhu Hassan inawapa ahueni ya kuomba kura. Aidha Dk Nchimbi amesema Rais Samia ameboresha mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mbalimbali hali inayochagiza kuvutia zaidi uwelezaji. Ameikamilisha miradi ya kimkakati iliyoachwa na…

Read More

CCM KUENDELEA NA KAMPENI SONGWE KESHO

…………. Wananchi na wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kwa wingi kuonesha imani yao kwa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea kote nchini ambako kesho anatarajia kufanya Kampeni katika mkoa wa Songwe.  

Read More

RAIS MWINYI: AMANI CHACHU YA MAENDELEO

………. Zanzibar | 02 Septemba 2025 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa ya maendeleo yaliyopatikana katika uongozi wa Awamu ya Nane yamechangiwa na kudumu kwa amani, mshikamano na utulivu nchini. Akizungumza na jopo la wahariri na waandishi wa habari Ikulu Zanzibar, Rais Dkt. Mwinyi…

Read More

Dk Mwinyi aahidi akiondoka madarakani hataacha madeni serikalini

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ametaja kinachompa ujasiri wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo ni kutokana na kufungua akaunti maalumu ya kulipa madeni, akisisitiza kuwa iwapo akiondoka madarakani hataacha deni lolote la Serikali. Dk Mwinyi amesema baada ya kuona kuna haja ya kutekeleza miradi kupitia utaratibu wa mikopo, alifungua akaunti maalumu ambayo kila…

Read More

Mgaza atupia mbili Dodoma Jiji ikiibonda Coastal Union

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza, ameendeleza moto wa kucheka na nyavu katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Coastal Union. Mgaza ambaye amefikisha mabao matatu na kuwa kinara wa ufungaji kwenye michuano hiyo, alianza kuziona nyavu za Coastal Union mapema tu dakika ya pili akiitumia vizuri pasi ya…

Read More

Mgombea mwenza Chaumma akerwa utitiri wa kodi, ushuru kwenye mazao, aahidi neema

Morogoro. Mgombea mwenza urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amewahakikishia Watanzania endapo chama hicho kitaingia madarakani kero ya tozo za mazao ya kilimo na utitiri wa kodi kwa wafanyabiashara zitaondolewa. Amesema Serikali ilipaswa kuwawezesha wakulima kwa zana bora za kilimo  na sio kusubiri wakulima kuteseka kulima, kuvuna na baadae kudaiwa ushuru….

Read More