
Mwalimu aahidi kurejesha viwanda Tanga, petroli na dizeli kuuzwa chini ya Sh1,500
Tanga. Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kurejesha heshima ya kihistoria ya mikoa ya Tanga na Morogoro kwa kuifanya kuwa maeneo tegemeo ya viwanda na uchumi wa Taifa, yatakayochochea ajira na maendeleo ya watu huku akiahidi petroli na dizeli kuuzwa chini ya Sh1,500. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika…