Bei ya Mafuta Yashuka Baada ya Trump kusema Vita vya Iran Vinaelekea Mwisho
Rais wa Marekani Donald Trump Rais wa Marekani Donald Trump amesema vita dhidi ya Iran vimekaribia kukamilika kabisa, akidai kuwa Iran ilikuwa inapanga kuishambulia Marekani ndani ya wiki moja, kwa asilimia 100. Rais huyo alisema mashambulizi ya Marekani na Israel yaliyodumu kwa siku 10 yameharibu kabisa jeshi la majini, jeshi la anga pamoja na mifumo…