Bado elimu ni ufunguo wa maisha?

Dar es Salaam. Usemi elimu ni ufunguo wa maisha, umeibua mjadala wa makundi mawili yanayopingana. Lipo linalosema kuna matajiri wa shahada za elimu, lakini masikini wa maisha, huku lingine likisema wapo mafukara wa elimu wanaishi maisha bora. Upinzani huo umekwenda mbali zaidi na kuibua, mjadala mwingine kati ya wanaosema elimu si nyenzo ya kuyafungua maisha,…

Read More

Wananchi Wahimizwa Kujiunga na Hifadhi Skimu

Serikali imehimiza wananchi kujiunga katika na Hifadhi Skimu ili kujihakikishia usalama wa maisha yao ya sasa na baadaye ikiwemo kunufaika na mafao yanayotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Akizungumza katika hafla ya uhamasishaji wa kujiunga na hifadhi hiyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe….

Read More