Shetta: Sitakuwa Meya wa mtu

Dar es Salaam. Meya mpya wa Jiji la Dar es Salaam, Nurdin Juma, maarufu Shetta amesema katika uongozi wake atahakikisha kila mmoja anapata haki yake inayostahiki na hakuna atakayependelewa. Diwani huyo wa Mchikichini katika kuhakikisha hilo amesema yeye siyo meya wa mtu bali ni wa Jiji la Dar es Salaam. Shetta amesema hayo leo Desemba…

Read More

JAMII IWALINDE, KUWEZESHA WENYE ULEMAVU- WAKILI MPANJU

Naibu Katibu Mkuu  Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju ameitaka jamii kuwawezesha watu wenye ulemavu ili waweze kuishi kwa amani na kushiriki katika maendeleo na kuzifikia haki zao za msingi. Wakili Mpanju ameyasema hayo tarehe 3 Desemba 2025 katika Maadhimisho ya Siku ya Watu wenye Ulemavu Kitaifa yaliyofanyika…

Read More

Elimu si uvumbuzi, bali uvumbuzi ni elimu

Leo namkumbuka mwamba wa kuitwa Abunuwasi. Kwa taarifa tulizonazo jamaa alikimbia umande, lakini alikuwa na akili zaidi ya mchwa. Alichemsha vichwa vya wanazuoni na wanasheria kwa mawazo yake mapya wakati wa mijadala na hukumu za mashauri mbalimbali. Katika moja ya vituko vyake, alitumia hesabu ndefu katika mchanganuo wa kutekeleza hukumu dhidi ya baba mkwe wake,…

Read More

Mchuano kusaka mameya CCM | Mwananchi

Dar es Salaam. Kesho macho na masikio yatakuwa kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchi nzima, wanaotarajiwa kupiga kura za maoni katika mchuano wa kusaka majina ya mwisho yawatakaowania umeya wa majiji matano na uenyekiti wa manispaa na halmashauri nchini. Hatua hiyo ni baada ya Kamati Kuu ya CCM kukamilisha mchujo kwa wagombea wote…

Read More

‘Dk Mapana ni chachu ya mabadiliko kwa vijana’

Dar es Salaam. Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumteua Dk Kedmon Mapana kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, wadau wameeleza namna kiongozi huyo alivyosaidia vijana kimaendeleo. Kabla ya uteuzi huo, Dk Mapana alikuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) na alijulikana kwa karibu na…

Read More

Ubunge wa Baba Levo wapingwa kortini

Kigoma. Haijaisha mpaka imalizike. Ni usemi unaoweza kuelezea hatua ya wapigakura wanne wa Jimbo la Kigoma Mjini kufungua shauri la uchaguzi wakipinga ushindi wa mbunge wa jimbo hilo (CCM), Clayton Chipando maarufu Baba Levo. Wapigakura hao wamewasilisha sababu 35 kuthibitisha kile wanachodai kuwa ubunge wa Baba Levo ni batili, hivyo ufanyike uchaguzi mdogo huku wakiwataja…

Read More

Polisi yamshikilia Clemence Mwandambo kwa tuhuma za uchochezi

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali ya ‘Saint Clemence’, Clemence Mwandambo mkazi wa Uzunguni A jijini humo kwa tuhuma za uchochezi.  Mwandambo ambaye amekuwa maarufu mitandaoni kwa maneno yake ikiwano maarufu la ‘Nachoka baba yenu Clemence Mwandambo’  inaelezwa alikamatwa na Jeshi la Polisi jana Novemba 21. Mwandambo ambaye ni…

Read More