Kibarua kinachomkabili Shetta Jiji la Dar es Salaam
Dar/mikoani. Wadau wa siasa wametaja mambo manne yanayomkabili meya mpya wa Jiji la Dar es Salaam, Nurdin Bilal maarufu Shetta, aliyechaguliwa jana Alhamisi, Desemba 4, 2025, kushika wadhifa huo kwa miaka mitano ijayo. Mambo hayo ni pamoja na kurejesha mali na hadhi ya jiji hilo, kubadilisha muundo wa sasa wa jiji, ambalo mwaka 2021 lilivunjwa…