Bruce Melodie agonga kolabo na Diamond Platnumz

Last updated Jan 19, 2026 Na MWANDISHI WETUMSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM. Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga kolabo na wasanii wakali Afrika, Diamond Platnumz kutoka hapa Bongo na Joel Brown wa Nigeria. Kazi hii iliyotolewa na 1:55 AM Entertainment, ni mchanganyiko wa…

Read More

Mandawa anaposahau kumbakishia Mstaafu | Mwananchi

Siku chache zilizopita Mstaafu wetu ambaye hupenda kujinasibu kuwa macho yake yameshaona kila kitu hata yale yasichopaswa kuona. Amesoma habari kwenye mitandao yetu ya kijamii ambayo imemfanya akiri kuwa mimacho yake ya kizee hakika bado haijaona kitu kabisa! Labda inawezekana kuwa macho yake yameishazeeka au pensheni yake ya laki moja elfu hamsini kwa mwezi haijamwezesha…

Read More

Wananchi milioni 21.6 kupiga kura kumchagua Rais wa Uganda leo

Uganda. Wapigakura milioni 21.6  wanatarajiwa kupiga kura  katika uchaguzi mkuu wa kumchagua rais wa awamu ya saba wa  Uganda leo. Nchi hiyo inafanya uchaguzi mkuu leo Alhamisi Januari 15, 2026, huku kukiwa na mjadala kutokana na hatua ya serikali kuzima  intaneti jambo ambalo  upinzani unahoji mazingira ya kuwepo uchaguzi huru na  haki. Mtandao wa TaifaLeo umeripoti…

Read More

Rais Mwinyi auzindua rasmi Uwanja wa Gombani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi Zanzibar, leo Januari 13, 2026 amezindua rasmi viwanja vya michezo vya Gombani vilivyopo Wilaya ya Chake Chake katika mkoa wa Pemba Kusini. Katika uzinduzi huo, Dk Mwinyi ameongozana na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) akiwamo Makamu wa Pili…

Read More

Maeneo yatakayoamua urais wa Museveni, Bobi Wine

Dar es Salaam. Joto la kisiasa nchini Uganda linazidi kupanda huku maeneo haya  yanatarajiwa kuamua kati ya Rais Yoweri Museveni na Robert Ssentamu, maarufu Bobi Wine nani kuibuka na ushindi kwenye uchaguzi huo utakaofanyika Alhamisi ijayo. Kampeni za urais zilianza Septemba 29, 2025 huku za wabunge zikianza Novemba 10 na zinahitimishwa leo Jumanne, Januari 13,…

Read More