Dar es Salaam. Wakati kilele cha Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu Sabasaba, kikitarajiwa kufanyika kesho Julai 7,
Category: Burudani

Rajab Ally Samatta, mtoto wa kwanza wa marehemu Mzee Ally Samatta Rajab Ally Samatta, mtoto wa kwanza wa marehemu Mzee Ally Samatta,

Kigoma/Katavi. Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka Watanzania kuwa makini na watu wanaosaka ubunge akisema imefikia hatua wachekeshaji, wasanii na watangazaji

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maagizo kwa kamati za siasa za chama hicho kutenda haki na wasionee watu katika vikao vya mchakato

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejikusanyia zaidi ya Sh3.5 bilioni kutoka kwa watia nia wa udiwani, wabunge na uwakilishi katika kinyany’anyiro cha kupata

Msanii maarufu, Sean “P. Diddy” Combs Msanii maarufu, Sean “P. Diddy” Combs, ameondolewa hatiani kwenye mashtaka mazito ya kuendesha mtandao wa kihalifu

Wakati mapato ya utalii nchini yakiongezeka kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wageni, wadau wa sekta hiyo wamehimiza umuhimu wa kupanua wigo wa

Kama mjuavyo, uchakachuaji, sorry, uchaguzi mkubwa umekaribia, na ninagombea urahis na lazima nitashinda hata kama ni kwa goli la mkono kama lile na Mapepe Tunaye.

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki siku moja kukamilika kwa mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania ubunge ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM),

Ni shamrashamra, burudani na furaha ya aina yake katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, ambapo mashabiki kwa maelfu wamefurika kusherehekea kilele cha paredi la