Bruce Melodie agonga kolabo na Diamond Platnumz
Last updated Jan 19, 2026 Na MWANDISHI WETUMSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM. Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga kolabo na wasanii wakali Afrika, Diamond Platnumz kutoka hapa Bongo na Joel Brown wa Nigeria. Kazi hii iliyotolewa na 1:55 AM Entertainment, ni mchanganyiko wa…