Kwanza nikupe kongole kwa jitihada za kimkakati za kumtua mama ndoo kichwani. Jitihada hizi zinaweza kuzaa matunda mapema kama zitaunganishwa na zile za kumkwamua mama
Category: Burudani

Dar es Salaam. Nimewahi kukutana na washkaji ambao walifanya makosa makubwa sana kwenye maisha yao, makosa ambayo yaliwagharimu kila kitu walichokuwa nacho, walipoteza kazi, pesa,

Dar es Salaam. Usishangae ukichukua Watanzania 10 ambao hawajahi kufika Marekani hata siku moja, ukawaambia wakutajie namba ya simu ya dharura ya kupiga ukiwa Marekani,

Shinyanga. Ofisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga, Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya vikundi 19 vimepewa mafunzo ya matumizi na usimamizi wa mikopo ya

DENIS MLOWE, IRINGA Baada ya kuhairishwa uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Vunja bei Machi 19 sasa rasmi ku,zinduliwa Eid Pili (April 2) katika kiwanja

LEO Jumatatu, Machi 24, 2025, ni siku ya kihistoria kwa wapenda soka wa Mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla, kwani klabu ya Singida Black

Dodoma. Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) imesema imepokea jumla ya migogoro 136 inayohusiana na masuala ya hakimiliki ambapo migogoro 118 imefanyiwa kazi na kumalizika, migogoro

Wachezaji watatu, Fotius Ngaiza, Omary Sadiki na Jimmy Brown walikuwa kivutio, katika mashindano ya Ramadhani Star Ligi kutokana na uwezo wao. Ngaiza anayecheza nafasi ya

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimepita siku 12 tangu kuanza kwa biashara saa 24 eneo la Kariakoo, bado ufanyaji biashara usiku unasuasua, huku usalama ukitajwa

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Haridi Ntamoye, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mke pamoja na mtoto