WanaCCM Same Mashariki watakiwa kuvunja makundi

Same. Mgombea mteule wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Bushiri, amewataka wanachama wa chama hicho katika Jimbo la Same Mashariki kuvunja makundi na kuungana kwa pamoja ili kuhakikisha wagombea wa CCM wanashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Bushiri ametoa wito huo alipozungumza katika mkutano…

Read More

Folz ana jambo lake Yanga

YANGA wameliamsha wakianza rasmi leo safari kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi, lakini kule kambini Kocha Romain Folz akipunguza dozi kidogo huku mastaa wa timu hiyo wakipelekwa kambi moja ya jeshi. Takriban wiki mbili nyuma kule kambini, Yanga ilikuwa ni mwendo wa dozi kali za mazoezi yakifanyika mara mbili kwa siku – kama sio kuanzia…

Read More

Yanga kuzindua ‘Tunapiga kichwani’ kesho Dar

Yanga itazindua tamasha la Wiki ya Mwananchi kesho katika Viwanja vya Zakhem vilivyopo Mbagala jijini Dar es Salaam huku ikithibitisha kuwa baadhi ya tiketi zimeisha. Meneja wa Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amesema katika uzinduzi huo watataja majina ya wasanii watakaonogesha kilele Cha tamasha hilo litakalofanyika Septemba 12. Kamwe amesema wamefanya maboresho makubwa kuelekea kilele…

Read More

HUSTLERS WAUNGANA UZINDUZI CHROME GIN KWA SGANGWE LA KIPEKEE

 :::::::::  Dar es Salaam ilishuhudia usiku wa burudani na sherehe zisizosahaulika pale Tanganyika Packers – Kawe, wakati wa uzinduzi wa Chrome Gin, kinywaji kipya kinacholenga kusherehekea hustlers wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza, hustlers kutoka maeneo mbalimbali ya jiji waliunganishwa pamoja – kuanzia Manzese, Kariakoo hadi Kinondoni – wote wakija kusherehekea ushindi wao, mdogo au…

Read More

Chan 2024: Morocco v Madagascar Fainali ya kibabe

MASHINDANO ya (CHAN) PAMOJA 2024 yanafikia kilele chake leo Jumamosi, jijini Nairobi, Kenya wakati mabingwa mara mbili wa michuano hiyo, Morocco watakapovaana na Madagascar kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi Kasarani, baada ya jana Ijumaa kushuhudia mechi ya mshindi wa tatu ikipigwa jijini Kampala, Uganda kati ya Sudan dhidi ya Senegal. Fainali hii…

Read More