Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Burudani

  • Home
  • Burudani
  • Page 10
Burudani

NIKWAMBIE MAMA: Tuipeleke Tanzania duniani

March 26, 2025 Admin

Kwanza nikupe kongole kwa jitihada za kimkakati za kumtua mama ndoo kichwani. Jitihada hizi zinaweza kuzaa matunda mapema kama zitaunganishwa na zile za kumkwamua mama

Read More
Burudani

Kwenye hili dunia inawaonea sana wasanii

March 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Nimewahi kukutana na washkaji ambao walifanya makosa makubwa sana kwenye maisha yao, makosa ambayo yaliwagharimu kila kitu walichokuwa nacho, walipoteza kazi, pesa,

Read More
Burudani

Sanaa ya Marekani inavyowateka watu kwa namba 911 

March 25, 2025 Admin

Dar es Salaam. Usishangae ukichukua Watanzania 10 ambao hawajahi kufika Marekani hata siku moja, ukawaambia wakutajie namba ya simu ya dharura ya kupiga ukiwa Marekani,

Read More
Burudani

Mikopo ya asilimia 10 yapatiwa mwarobaini

March 24, 2025 Admin

Shinyanga. Ofisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga, Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya vikundi 19 vimepewa mafunzo ya matumizi na usimamizi wa mikopo ya

Read More
Burudani

50 BORA KUZINDULIWA SIKU YA EID PILI

March 24, 2025 Admin

DENIS MLOWE, IRINGA Baada ya kuhairishwa uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Vunja bei Machi 19 sasa rasmi ku,zinduliwa Eid Pili (April 2) katika kiwanja

Read More
Burudani Michezo

Yanayosubiriwa uzinduzi uwanja wa Singida

March 24, 2025 Admin

LEO Jumatatu, Machi 24, 2025, ni siku ya kihistoria kwa wapenda soka wa Mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla, kwani klabu ya Singida Black

Read More
Burudani

Cosota ilivyokabiliana na migogoro 136 ya hakimiliki

March 22, 2025 Admin

Dodoma. Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) imesema imepokea jumla ya migogoro 136 inayohusiana na masuala ya hakimiliki ambapo migogoro 118 imefanyiwa kazi na kumalizika, migogoro

Read More
Burudani Michezo

Mastaa wafunika Ramadhani Star Ligi

March 18, 2025 Admin

Wachezaji watatu, Fotius Ngaiza, Omary Sadiki na Jimmy Brown walikuwa kivutio, katika mashindano ya Ramadhani Star Ligi kutokana na uwezo wao. Ngaiza anayecheza nafasi ya

Read More
Burudani

Kariakoo saa 24 yasuasua, kamera na taa vikitajwa

March 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimepita siku 12 tangu kuanza kwa biashara saa 24 eneo la Kariakoo, bado ufanyaji biashara usiku unasuasua, huku usalama ukitajwa

Read More
Burudani

Aliyeua mke, mtoto kuwafukia shambani ahukumiwa kifo

March 11, 2025 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Haridi Ntamoye, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mke pamoja na mtoto

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 9 10 11 … 50 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.