No reforms No Election yashika mitandao, Serikali yatoa neno

Dar es Salaam. Sasa unaweza kusema kampeni maarufu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya No Reforms, No Election (Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi) sasa imechukua sura mpya baada ya kutawala katika mitandao ya kijamii maarufu hapa nchini. Katika mitandao ya kijamii makundi mbalimbali yanahamasisha kupaza sauti za kampeni hiyo kwa kuchapisha ujumbe na kutoa…

Read More

No reform No Election yashika mitandao, Serikali yatoa neno

Dar es Salaam. Sasa unaweza kusema kampeni maarufu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya No Reforms, No Election (Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi) sasa imechukua sura mpya baada ya kutawala katika mitandao ya kijamii maarufu hapa nchini. Katika mitandao ya kijamii makundi mbalimbali yanahamasisha kupaza sauti za kampeni hiyo kwa kuchapisha ujumbe na kutoa…

Read More

The Ngoma Africa Band aka FFU Ughaibuni Kutumbuiza katika International African Festival Tubingen Juni 7,2025 Ujerumani

BENDI maarufu ya muziki ya dansi barani ulaya The Ngoma Africa band yenye makao yake nchini ujerumani inayoongozwa na mwanamuziki nguli Kamanda Ras Makunja inatalajiwa kutingisha jukwaa la maonyesho makubwa ya International Afrika Festival Tubingen yatakayoanza siku ya tarehe 5 hadi 8 Juni 2025 katika mji wa Tubingen uliopo kusini mwa Ujerumani ambapo Ngoma Africa…

Read More