Msimamo wa Mdee kuelekea uchaguzi ‘tungo tata’

Dar es Salaam. Wakati Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee, akitoa msimamo wake kuhusu Chadema kususia uchaguzi na kueleza mwelekeo wa alichoamua katika kugombea ubunge, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa wamekuwa na mtazamo tofauti. Mdee ametoa msimamo wake huo jana, Ijumaa Mei 23, 2025, katika mahojiano yake maalumu na Shirika la Utangazaji la…

Read More

Vijana wabunifu wapigwa msasa | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuendeleza na kulinda ubunifu nchini, Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF), kwa kushirikiana na kampuni ya sheria ya NexLaw, imeendesha mafunzo maalumu kuhusu miliki bunifu kwa vijana kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania. Mafunzo hayo yaliyofanyika leo Alhamisi, Mei 22, 2025, jijini Dar es Salaam, yamelenga kuwawezesha vijana kulinda…

Read More

DIAMOND NA PEPSI WAENDELEZA HARAKATI ZA KITAIFA ZA VIJANA

::::::::: PEPSI Tanzania, inayozalishwa na kusambazwa na SBC Tanzania Ltd, kampuni ambayo imekuwa ikiburudusha na kukata kiu ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 24,imetangaza kuendeleza ushirikiano wake wa kibiashara na Diamond Platnumz, Supa-Staa wa muziki Tanzania na Nyota wa kimataifa.  Ushirikiano huo kati ya SBC na mwanamuziki maarufu katika muziki wa Bongo Fleva ulioanza mwaka…

Read More

Bodi ya Ithibati rasmi kuanza kutoa vitambulisho kwa waandishi wa habari

Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa habari imetangaza kuanza rasmi  kutoa kitambulisho cha ithibati  kwa waandishi kuanzia leo, huku ikionya wadanganyifu ambao hawajasomea fani hiyo.  Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 19,2025 na Mwenyekiti wa bodi hiyo,Tido Mhando alipozungunza na waandishi wa habari kuhusu hatua iliyofikia bodi hiyo katika utoaji ithibati. Mhando ambaye…

Read More

Sababu Padri Nkwera kuzikwa na Kanisa Katoliki

Dar es Salaam. Padri Anthony Mamsery, aliyeoongoza misa kumuombea muasisi wa kituo cha sala na maombezi cha Mama Bikira Maria (Marian Faith Healing), Padri Felician Nkwera (89), ameeleza sababu za mtumishi huyo wa Mungu kuzikwa na Kanisa Katoliki. Padri Nkwera alifariki dunia Mei 8, 2025 katika hospitali ya TMJ alikokuwa akipatiwa matibabu. Maziko yake yamefanyika…

Read More

SANAA INAMCHANGO MKUBWA KATIKA KUKUZA UCHU

……………. _▪️Awataka wasanii wawekeze zaidi katika sanaa ili kuongeza wigo wa ajira_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema sekta ya utamaduni na Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wasanii na Taifa, kuongeza fursa za ajira, kurasimisha kazi za sekta sambamba na kuimarisha maadili ya jamii. Waziri Mkuu ametoa wito kwa wasanii nchini waweke kipaumbele…

Read More

Majaliwa: Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema sekta ya utamaduni na sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wasanii na Taifa, kuongeza fursa za ajira, kurasimisha kazi za sekta sambamba na kuimarisha maadili ya jamii. Waziri Mkuu ametoa wito kwa wasanii nchini waweke kipaumbele cha kuwekeza mapato yatokanayo na kazi zao katika shughuli…

Read More

Dar City, Pazi BDL kama Simba, Yanga

LICHA ya juzi kuchezwa mechi tofauti za Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) iliyokuwa na mvuto, msisimko na kujaza mashabiki katika viwanja vya  Don Bosco Upanga ni ile iliyohusisha Dar City na Pazi. Timu hizo zina wachezaji mastaa wa ndani na nje mfano Dar City kati ya waliocheza alikuwepo Hasheem Thabeet aliyecheza…

Read More