Sauti Jasiri ya Kizazi Kipya – Global Publishers

Katika mitaa yenye shamrashamra ya Jiji la Dar es Salaam na kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii yanayoendelea kushika kasi Afrika Mashariki, jina moja limekuwa gumzo—Kamshange. Akitambulika kwa utu wake usio na woga, ukweli wake usio na kificho, na mvuto wake wa kipekee kwenye vyombo vya habari, Kamshange amejiwekea nafasi kama mmoja…

Read More

Hekaya za malevi: Akili mnemba kizibo cha akili – 2

Dar es Salaam. Siwezi kubishana na umati unaodai kuwa akili mnemba ni maendeleo. Hoja yangu ni lugha inayotumika  tukisema “Maendeleo ni kutoka mahala na kwenda mahala pengine”, haimaanishi kwenda kinyumenyume ni maendeleo. Hivyo nakusudia kusema kuwa matumizi ya akili mnemba bado hayajaeleweka sawasawa miongoni mwa watumiaji wake. Wanaiweka mbele wakidhani kuwa ina silika za ufundishaji….

Read More

Mboni Masimba amrudisha jukwaani Bi Mwanahawa Ally 

Mkurugenzi wa Kampuni ya Chocolate Princess,Mboni Masimba, amemrudisha jukwaani mkongwe wa Taarabu nchini, Mwanahawa Ally aliyetangaza kustaafu kuimba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mboni amesema,  anatarajia kufanya tamasha la mkesha wa muziki wa taarabu litakalohusisha wakali wasanii wa muziki huo nchini akiwemo Mwanahawa Ally, Agosti 28 kwenye Viwanja vya…

Read More

Hizi hapa fursa za kiuchumi za uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Ukiacha mbilinge za kisiasa, vijembe na vituko katika majukwaa ya kampeni kuelekea uchaguzi mkuu, tukio hilo limebeba pia fursa za kiuchumi na biashara kwa wananchi. Kwa mujibu wa wadau mbalimbali wa biashara, tukio la uchaguzi linapaswa kutazamwa kwa jicho mtambuka, kwani linabeba fursa za kiuchumi na kibiashara, ambazo zinaweza kuwakwamua watu. Kuchapisha…

Read More

Aliyeimba No reforms no election, kuzikwa kesho Songea

Dar es Salaam. Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za hamasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), George Mwingira aliyetamba na wimbo wa ‘No reforms no election’, anatarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi Agosti 16, 2025. Mwingira maarufu ‘MC Mwingira’ alikutwa na umauti huo baada basi alilokuwa akisafiria kupata ajali maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro, Jumapili Agosti…

Read More

Aliyeimba ‘No reforms, no election’ afariki dunia

Dar es Salaam. Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za mbalimbali za hamasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikiwemo ya ‘Tundu Lissu wapeleke mchakamchaka’, George Mwingira amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari. Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Kusini, Belle Ponera, Mwingira amefariki dunia Jumapili Agosti 10, 2025 maeneo…

Read More