Huyu Ndiye Damon Dash (77 Dash) na Sifa Zale Lukuki – Global Publishers
Last updated Aug 23, 2025 Jina la Damon Dash, maarufu kama 77 Dash, si geni katika tasnia ya muziki wa Tanzania, alianza kujizolea umaarufu kuanzia mwaka 2014 alipoanzisha na kusimamia kundi la Hip Hop lililojulikana kama BOB na Micharazo. Kundi hili liliwakutanisha wasanii wanane wenye vipaji tofauti ambao ni Mr. Blue, Nyandu Tozzy, Becka…