Usijaribu kuoa kisa huruma kwa mwanamke

Dar es Salaam. Ukisoma kozi za utengenezaji wa filamu, moja ya misemo ambayo utaisikia mara kwa mara ni ‘prodyuza’ na ‘dairekta’. Hii  ni kama mke na mume, uhusiano wao ni kama  wa kindoa kabisa. ‘Dairekta’ au kwa kiswahili tunaita muongozaji ni mtu mwenye jukumu la usamimizi mkuu wa nyanja zote za kisanii kwenye filamu. Yeye…

Read More

AGGY BABY AZINDUA RASMI EP “FIRST LOVE”

  Msanii maarufu wa muziki, mwigizaji, na mwanaharakati wa kijamii kutoka Tanzania, Agness Suleiman, anayefahamika zaidi kwa jina la kisanii Aggy Baby, amezindua rasmi EP (Album) yake ya kwanza iitwayo “First Love”. EP hii inaonyesha mchanganyiko wa mitindo ya muziki kama Bongo Fleva, Amapiano na Kompa, ikiwakilisha sauti mpya ya muziki wa Afrika Mashariki. EP…

Read More

Chatanda ashuhudia utiaji saini wa Bilioni 13.3 kuboresha miundombinu Rufiji

-Mhe. Mchengerwa azindua Ligi ya ”Mchengerwa Mtu Kazi”. Na John Mapepele Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitano ya bilioni 13.3 zilizotolewa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ili kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja wilayani Rufiji, huku Mhe. Mchengerwa akizindua rasmi Ligi ya ”Mchengerwa Mtu Kazi” inayoanza…

Read More

Dabi ya Kariakoo yawaibua wabunge, wataka uwazi

Wabunge wameishukia Wizara ya Habari,Sanaa, Utamaduni na Michezo wakitaka itoe majibu ya kina katika mambo matatu likiwemo la kuifanya Bodi ya Ligi (TPLB) ijitegemee badala ya kuwa chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Mengine ni kutaka uwazi wa nini kinachoendelea kuhusu mazungumzo ya viongozi wa Timu za Simba na Yanga pamoja na…

Read More