
AGGYBABY ATEULIWA KUWANIA TUZO ZA KIMATAIFA – EAEA TANZANIA 2025
iikm Mrembo mahiri, maarufu na mwenye vipaji lukuki, Agness Suleiman almaarufu Aggy baby, ameandika historia mpya katika tasnia ya burudani na jamii baada ya kutangazwa rasmi kuwa miongoni mwa wateule wa Tuzo kubwa za Kimataifa za Africa Arts Entertainment Awards (EAEA) 2025, zinazotarajiwa kufanyika hapa nchini Tanzania. Kupitia ukurasa wake rasmi wa mitandao ya…