Hii hapa msingi ya elimu ya mababu zetu
Arusha. Nimepata bahati na fursa ya kufanya utafiti kuhusu desturi za mababu zetu wa Kiafrika hususan wale wa kabila langu na makabila mengine ya Afrika ya Mashariki kwa ujumla. Pia nimeendelea kujifunza kuhusu somo hili na kuhusu falsafa za mababu zetu na za mataifa mengine. Ninaendelea kufanya tafakari juu ya yale yote niliyojifunza na ninayojifunza…