Hii hapa msingi ya elimu ya mababu zetu

Arusha. Nimepata bahati na fursa ya kufanya utafiti kuhusu desturi za mababu zetu wa Kiafrika hususan wale wa kabila langu na makabila mengine ya Afrika ya Mashariki kwa ujumla.  Pia nimeendelea kujifunza kuhusu somo hili na kuhusu falsafa za mababu zetu na za mataifa mengine.  Ninaendelea kufanya tafakari juu ya yale yote niliyojifunza na ninayojifunza…

Read More

WAZIRI GWAJIMA KUZINDUA KAMPENI YA ‘BADILIKA’ TOKOMEZA UKATILI MKOANI KIGOMA

  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum- Dkt. Doroth Gwajima anatarajiwa kuzindua kampeni ya ‘Badilika, Tokomeza Ukatili’ yenye lengo la ukatili wa kijinsia mkoani Kigoma. Uzinduzi huo umepangwa kufanyika Jumatatu Julai 28, 2025 katika uwanja wa Mwanga Community Centre ambapo kampeni hiyo inatarajiwa kuleta hamasa makundi ya kijamii kuwa wanamabadiliko kupitia…

Read More

Vipaji vya mastaa Bara nje ya soka

NYAKATI za sayansi na teknolojia kama mtu anataka kipaji chake kiende mbali anahitaji ubunifu na kujua mashabiki wake wanahitaji kitu gani. Ndivyo ilivyo kwa baadhi ya wanasoka wanaoweza wakapata mamilioni nje ya kazi hiyo. Kupitia mitandao ya kijamii kama Instagram, TikTok, Facebook na mingineyo inaweza ikawatoa kwa kuziposti kazi zao ilimradi zipendwe na kupokewa na…

Read More

Hatari kwa wapenda intaneti ya bure

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, baadhi ya watu hupenda kutumia huduma ya mtandao wa intaneti ya bure (Free Wi-Fi) popote pale wanapoikuta, sababu ikitajwa ni kushindwa kumudu gharama za vifurushi au ni mazoea. Hata hivyo, imetahadharishwa kuwa, kuna hatari ya matumizi ya mtandao wa aina hiyo, hasa simu kupekuliwa bila mwenyewe kufahamu. Mwananchi imezungumza na…

Read More

‘Kila la kheri, hatukudai’ maneno ya mwisho kwa Zimbwe Msimbazi

KITENDO kilichofanywa na aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kuwaaga wanachama na mashabiki wa timu hiyo aliyoitumikia kwa miaka 11 kimeibua hisia za mashabiki hao na mastaa mbalimbali waliomtakia kila la kheri. Usiku wa kuamkia jana Tshabalala amewaaga wanasimba kuwa hatakuwa sehemu ya timu hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 11, ndipo walipoivamia akaunti yake…

Read More

Bangi ilivyo fupa gumu Tanzania

Dar es Salaam. Ripoti ya Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya Duniani ya mwaka 2024 imeonyesha bangi bado inaongoza kutumika zaidi duniani, takribani watu milioni 228 waliitumia mwaka 2022. Idadi hiyo ni sawa na asilimia nne ya watu wote duniani, ikiwa ni ongezeko la asilimia 28 katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Kwa mujibu…

Read More