Hatimiliki za ardhi 1,176 zatolewa Sabasaba

Dar es Salaam. Jumla ya hatimiliki 1,176 zimetolewa katika Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yaliyofikia tamati Julai 13, 2025 jijini hapa. Hatimiliki hizo zimetolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Fahari ya Tanzania”. Akizungumza baada ya kufungwa kwa maonyesho…

Read More

HATI MILKI ZA ARDHI 1,176 ZATOLEWA MAONESHO YA SABASABA

Na Munir Shemweta, WANMM Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa jumla ya Hati Milki za Ardhi 1,176 wakati wa Maonesho ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yaliyomalizika mwishoni mwa wiki. Katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Fahari ya Tanzania” Wizara ya Ardhi imetoa huduma mbalimbali ikiwemo hati milki za ardhi kwa wamiliki waliokamilisha…

Read More

Mrisho Mpoto Afiwa Na Mkewe – Global Publishers

Mrisho Mpoto, msanii wa sanaa za maonesho na kughani Mrisho Mpoto, msanii wa sanaa za maonesho na kughani, kupitia akaunti yake ya Instagram ametoa taarifa za kufiwa na mkewe ambaye alikuwa akiugua. Akizungumza na mwandishi wa Global TV, Mpoto amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa alikuwa akisumbuliwa na presha kwa muda mrefu….

Read More

Nandy: Made in Tanzania inatuvutia kuanzisha viwanda

Dar es Salaam. Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga maarufu Nandy, amesema kuzinduliwa rasmi kwa nembo ya Made in Tanzania ni ishara kuwa kama nchi inaweza kufanya vitu vikubwa, ikiwemo uzalishaji wa bidhaa. Nandy ambaye pia ni mfanyabiashara wa bidhaa mbalimbali za ngozi zilizopewa jina la Shushi, kwa sasa anatengeneza bidhaa zake nchi za nje…

Read More