WASANII WAHIMIZWA KUTUMIA LUGHA YA KISWAHILI KIBIASHARA

  Wasanii wa filamu na maigizo nchini wametakiwa kutumia Lugha ya kiswahili kama fursa ya kibiashara kimataifa ili kuongeza tija itokanayo na filamu hizo katika kujiongezea kipato chao Rai hiyo imetolewa na Dkt Godwin Maimu ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa tamasha la kimataifa la filamu za kiswahili (ISFF) wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini…

Read More

Athari za mzazi kupuuza kipaji cha mwanawe

Katika jamii nyingi, wazazi huwa na matarajio makubwa juu ya maisha ya watoto wao. Ni jambo la kawaida mzazi kutamani mtoto wake awe daktari, mwanasheria, au mhandisi, bila kujali kama mtoto huyo ana kipaji au mapenzi ya dhati kwa taaluma hizo. Hali hii imekuwa chanzo cha migogoro ya ndani kwa watoto wengi, na mara nyingi…

Read More

Dk Nchimbi awataka waimbaji wa Injili kuwakumbusha wanasiasa kuomba msamaha

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa wasanii wa Injili nchini kuwakumbusha wanasiasa wasijisahau katika matendo yao na waombe  msamaha wakikosea hususani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Dk Nchimbi amesema wanasiasa wapokuwa wamesimama kwenye kipaza sauti huwa wanajisahau, hivyo hujutia baada ya…

Read More