SAMIA KINGS WAHAMASISHA MATUMIZI YA BIDHAA ZA NDANI SABASABA 2025
WASANII mahiri wa muziki wa Bongo Fleva, Chege Chigunda na Madee, wanaofahamika kwa jina la kisanii Samia Kings, wamevutia umati wa mashabiki na washiriki wa Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kwa ujumbe mahiri wa kuhamasisha Watanzania kuenzi na kutumia bidhaa zenye nembo ya Made in Tanzania. Wasanii hao…