Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Burudani

  • Home
  • Burudani
  • Page 16
Burudani

DC Mbozi afariki dunia, akumbukwa kwa uchapakazi

January 14, 2025 Admin

Mbeya/Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia, viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM), wakimkumbuka kwa uchapakazi. Waziri wa Nchi, Ofisi

Read More
Burudani

MEYA KUMBILAMOTO AZINDUA NYUMBA ZA KISASA MILANO

January 10, 2025 Admin

WAWEKEZAJI Nchini Wahakikishiwa Usalama na Amani ili wa Mali zao ili waweze Kufanya Uwekezaji wenye tija kwa Maslahi mapana ya Taifa . Akizungumza na Wanahabari

Read More
Burudani

NIKWAMBIE MAMA: Tatizo la ajira litufunze kujiajiri

January 8, 2025 Admin

Siku moja Mtemi Kimweri aliota ndoto ya kutisha sana. Ndotoni aliona watu weupe kama karatasi wakiteremka mashuani, wakaingia kwenye ardhi yake na kuanza kuyapinga yote

Read More
Burudani Michezo

Vita nzito kikapu la Daraja la Kwanza Dar

January 7, 2025 Admin

ILE Ligi ya Kikapu Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam imeendelea kushika kasi katika Uwanja wa Bandari, Kurasini, ambapo timu mbalimbali zinaendelea kuonyeshana

Read More
Burudani Habari

SALAMU ZANGU ZA MWAKA 2025 KWA RAIS DK.SAMIA NA CCM YAKE

January 1, 2025 Admin

Na Said Mwishehe,Michuzi TV Mimi Said Mwishehe kwanza kabisa kwa kipekee naomba nimshukuru Muumba wa mbingu na ardhi kwa kutujaalia afya na uzima na leo

Read More
Burudani

JKCI imefungua tawi jipya katika jengo la Oyster Plaza

December 31, 2024 Admin

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imefungua tawi jipya kuwapa wananchi nafasi kuwa karibu na huduma ili pale wanapopata changamoto za kiafya wasichukue muda mrefu

Read More
Burudani

Wasanii wamiminika JKCI ofa ya Rais Samia kupima moyo

December 30, 2024 Admin

  WASANII ambao wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wamempongeza

Read More
Burudani

TRA na BASATA Wasaini Makubaliano ya Kubadilishana Taarifa na Kudhibiti Mapato ya Wasanii

December 24, 2024 Admin

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeingia makubaliano na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ili kubadilishana taarifa na kusomana mifumo ya kudhibiti mapato yatokanayo na wasanii,

Read More
Burudani

Morris Nyunyusa: Mlemavu wa macho aliyepiga ngoma 17

December 24, 2024 Admin

Dodoma. Mdundo maarufu uliosikika kwenye taarifa za habari za redio ya Taifa (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) ulikuwa ni wa kipekee.  Mdundo huo uliokuwa ukianza

Read More
Burudani

Simulizi dereva aliyewaendesha marais watatu

December 23, 2024 Admin

Mara nyingi, kuna watu wanaoenziwa na kutuzwa nchini kwa kufanya mambo mbalimbali mazuri. Lakini wengi wao huwa wasomi wabobezi, wanasiasa au wanamichezo na wasanii wachache.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 15 16 17 … 50 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.