MWENGE WA UHURU WAWAVUTIA WATALII NGORONGORO

Na Mwandishi wetu Ngorongoro. Baadhi  ya watalii waliokuwa katika safari zao za kawaida kwenye eneo la hifadhi ya Ngorongoro leo jumatano  tarehe 9 Julai 2025 walijikuta katika furaha baada ya kushuhudia   Mwenge wa Uhuru ukiingia wilayani Karatu kutokea wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha. Watalii hao walionekana wakisimamisha magari yao ili kushuhudia namna Mwenge wa Uhuru …

Read More

Nani wa kuwasemea wahadhiri wa vyuo vikuu nchini?

“Leo niko chuoni kwako, niko ukumbi wa maktaba mpya, naomba nije kukutembelea ofisini kwako”. Ilikuwa sauti ya rafiki yangu nilipoongea naye kwa simu. Hakuwahi kusoma Tanzania kwa sababu baba yake alikuwa mfanyakazi wa balozi mbalimbali nje ya Tanzania. Hana taswira halisi ya vyuo vya hapa nchini. Nilinyong’onyea kwa taarifa ya ugeni ule ofisini kwangu. Siyo…

Read More

Mbinu za kibunifu Sabasaba zavutia watembeleaji

Dar es Salaam. Wakati kilele cha Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu Sabasaba, kikitarajiwa kufanyika kesho Julai 7, mabanda yameongeza kasi ya kuvutia wageni kwa mbinu mbalimbali za kibunifu. Idadi ya watembeleaji imeendelea kuongezeka tangu siku ya kwanza huku wapigangoma, matarumbeta, wachekeshaji, mangongoti, bendi, wanenguaji na wasanii ni…

Read More

Zitto atahadharisha Watanzania na watu wanaosaka ubunge

Kigoma/Katavi. Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka Watanzania kuwa makini na watu wanaosaka ubunge akisema imefikia hatua wachekeshaji, wasanii na watangazaji wanautaka ubunge. “Bunge linadogoshwa, kwamba limekuwa eneo la machawa au la uchekeshaji au ni la mtu yeyote anayetaka kwenda,” amesema Zitto. Amesema Bunge ni chombo cha kutunga  sheria na linaisimamia…

Read More