Mbeya/Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia, viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM), wakimkumbuka kwa uchapakazi. Waziri wa Nchi, Ofisi
Category: Burudani

WAWEKEZAJI Nchini Wahakikishiwa Usalama na Amani ili wa Mali zao ili waweze Kufanya Uwekezaji wenye tija kwa Maslahi mapana ya Taifa . Akizungumza na Wanahabari

Siku moja Mtemi Kimweri aliota ndoto ya kutisha sana. Ndotoni aliona watu weupe kama karatasi wakiteremka mashuani, wakaingia kwenye ardhi yake na kuanza kuyapinga yote

ILE Ligi ya Kikapu Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam imeendelea kushika kasi katika Uwanja wa Bandari, Kurasini, ambapo timu mbalimbali zinaendelea kuonyeshana

Na Said Mwishehe,Michuzi TV Mimi Said Mwishehe kwanza kabisa kwa kipekee naomba nimshukuru Muumba wa mbingu na ardhi kwa kutujaalia afya na uzima na leo

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imefungua tawi jipya kuwapa wananchi nafasi kuwa karibu na huduma ili pale wanapopata changamoto za kiafya wasichukue muda mrefu

WASANII ambao wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wamempongeza

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeingia makubaliano na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ili kubadilishana taarifa na kusomana mifumo ya kudhibiti mapato yatokanayo na wasanii,

Dodoma. Mdundo maarufu uliosikika kwenye taarifa za habari za redio ya Taifa (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) ulikuwa ni wa kipekee. Mdundo huo uliokuwa ukianza

Mara nyingi, kuna watu wanaoenziwa na kutuzwa nchini kwa kufanya mambo mbalimbali mazuri. Lakini wengi wao huwa wasomi wabobezi, wanasiasa au wanamichezo na wasanii wachache.