Hela ya mstaafu inapokopwa bila kurejeshwa!

Siku chache zilizopita, macho na masikio ya mstaafu wetu ambayo uzee wake sasa huyafanya yasione wala kusikia vizuri, pamoja na kupenda kwake kuyafagilia kuwa yameona na kusikia mengi  yamemfanya kusoma na kusikia mengi. Mengi hayo ni yale yanayoishia kupandisha shinikizo lake la damu na kuharakisha safari yake ya kuelekea Kinondoni kwa kasi zaidi ya G6…

Read More

BENKI YA STANBIC YAZINDUA “LIPA NA STANBIC” – SULUHISHO JIPYA LA KIDIJITALI KWA WAFANYABIASHARA NCHINI

• Benki ya Stanbic Tanzania yazindua “Lipa na Stanbic,” suluhisho la malipo ya kidijitali linalowezesha wafanyabiashara kupokea malipo kutoka kwa mitandao yote ya simu na benki zote moja kwa moja kwenye akaunti zao za benki, kwa haraka, usalama, na hivyo kurahisisha wa ukamilishaji wa mauzo. • Benki ya Stanbic, ambayo ni ya tatu kwa ukubwa…

Read More

SANAA NI UCHUMI-MAJALIWA

……………. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejidhatiti kuendelea kukuza na kuimarisha sanaa nchini ikiwa ni moja ya sekta rasmi ya kiuchumi. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili (Aprili 13, 2025) katika Kongamano la Chama cha Wafawidhi wa Matukio Tanzania, linalofanyika Olasiti Garden, Mkoani Arusha. Ambapo amesema fani ya ushereheshaji ni uchumi. Amesema kuwa kwa kutambua…

Read More

TADED:HAKUNA CHAMA CHA KUZUIA UCHAGUZI MKUU USIFANYIKE

******** Na Mwandishi Wetu. Taasisi ya Demokrasia na Maendeleo Tanzania  (TADED) imesema kuwa hakuna chama au taasisi ya kufanya kuzuia uchaguazi Mkuu ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano. Akizungumza jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa TADED Chalila Kibuda amesema kuwa  kwa mujubu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiga kura ni haki…

Read More

NICE TO MEET YOU THAMTHILIA YA TAIFA,MWENDO WA KUBUSTI TU

BONGOMUVI tumepata Heshima Kwa Kuendelea Kupewa sapoti ya Wadau wa tasnia ya Sanaa tusiibeze tupambane Kuhakikisha tunajiaminisha. Akizungumza kauli hiyo Msanii wa Filamu nchini Jimmy Mafufu amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametutoa Kimaso maso Kwa kuipa thamani Tasnia hii Kwa Kushiriki Kama Muhusika Mkuu katika Filamu ya “The Royal Tour ” hivyo…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tuipeleke Tanzania duniani

Kwanza nikupe kongole kwa jitihada za kimkakati za kumtua mama ndoo kichwani. Jitihada hizi zinaweza kuzaa matunda mapema kama zitaunganishwa na zile za kumkwamua mama kiuchumi. Uchumi wa mama ukirekebika, atapiga ndege wengi kwa jiwe moja. Kwanza atatua ndoo, kisha ataachana na nishati chafu za kupikia. Kwa kitendo hicho mama atakuwa salama usalmini mwenye afya…

Read More

Kwenye hili dunia inawaonea sana wasanii

Dar es Salaam. Nimewahi kukutana na washkaji ambao walifanya makosa makubwa sana kwenye maisha yao, makosa ambayo yaliwagharimu kila kitu walichokuwa nacho, walipoteza kazi, pesa, familia, upendo, heshima na kila kitu. Lakini baada ya muda, walipambana na kurudi kwenye nafasi zao za zamani na kurudisha kila kitu walichopoteza. Familia zao zilirudi, kazi zilirudi, pesa zilirudi…

Read More

Sanaa ya Marekani inavyowateka watu kwa namba 911 

Dar es Salaam. Usishangae ukichukua Watanzania 10 ambao hawajahi kufika Marekani hata siku moja, ukawaambia wakutajie namba ya simu ya dharura ya kupiga ukiwa Marekani, nane kati yao wakakwambia ni 911. Na Watanzania hao hao ukawaomba wakutajie namba ya dharura ya Polisi ya Tanzania wakashindwa kukwambia kuwa ni 112. Lakini vipi nikikwambia watanzania wengi ambao…

Read More

Mikopo ya asilimia 10 yapatiwa mwarobaini

Shinyanga. Ofisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga, Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya vikundi 19 vimepewa mafunzo ya matumizi na usimamizi wa mikopo ya asilimia 10 ili kujikwamua kiuchumi, kuondokana na umaskini na kusaidia kuirejesha kwa wakati. Amesema; “Mafunzo ya usimamizi mzuri wa vikundi, utatuzi wa migogoro, usimamizi wa biashara, utunzaji wa kumbukumbu pamoja …

Read More

50 BORA KUZINDULIWA SIKU YA EID PILI

DENIS MLOWE, IRINGA Baada ya kuhairishwa uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Vunja bei Machi 19 sasa rasmi ku,zinduliwa Eid Pili (April 2) katika kiwanja cha Kalenga kilichoko wilaya ya Iringa vijijini mkoani hapa huku uzinduzi huo ukisindikizwa wasanii maarufu kutoka jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa ya uzinduzi huo msemaji wa kampuni ya Vunja…

Read More