Yanayosubiriwa uzinduzi uwanja wa Singida

LEO Jumatatu, Machi 24, 2025, ni siku ya kihistoria kwa wapenda soka wa Mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla, kwani klabu ya Singida Black Stars inazindua rasmi uwanja wake mpya. Uzinduzi huu ni hatua kubwa kwa klabu hiyo, ambayo imeendelea kuwekeza katika miundombinu ya michezo ili kuinua kiwango cha soka nchini. Uwanja huo uliopo…

Read More

Cosota ilivyokabiliana na migogoro 136 ya hakimiliki

Dodoma. Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) imesema imepokea jumla ya migogoro 136 inayohusiana na masuala ya hakimiliki ambapo migogoro 118 imefanyiwa kazi na kumalizika, migogoro 10 imefikishwa mahakamani huku migogoro minane ikiwa kwenye hatua mbalimbali za utatuzi. Ofisi hiyo imeshiriki kutoa ushahidi kwenye migogoro 10 inayohusu hakimiliki ambayo inaendelea mahakamani mpaka sasa. Hayo yamebainishwa Ijumaa…

Read More

Mastaa wafunika Ramadhani Star Ligi

Wachezaji watatu, Fotius Ngaiza, Omary Sadiki na Jimmy Brown walikuwa kivutio, katika mashindano ya Ramadhani Star Ligi kutokana na uwezo wao. Ngaiza anayecheza nafasi ya namba 5 ‘Centre’,  aliyechezea Soud Black  na alionyesha uwezo mkubwa wa kudaka mipira yote ya ‘rebound’ na kufunga. Katika mchezo huo na Team Mkosa aliongoza kwa kudaka mipira ya ‘rebound’ …

Read More

Kariakoo saa 24 yasuasua, kamera na taa vikitajwa

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimepita siku 12 tangu kuanza kwa biashara saa 24 eneo la Kariakoo, bado ufanyaji biashara usiku unasuasua, huku usalama ukitajwa kuwa ndiyo sababu. Ufanyaji biashara saa 24 ulizinduliwa rasmi Februari 25 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, katika hafla iliyofanyika Mtaa wa Mkunguni na Swahili, Kata…

Read More

Aliyeua mke, mtoto kuwafukia shambani ahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Haridi Ntamoye, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mke pamoja na mtoto wake kisha kuwafukia kwenye shimo shambani kwao. Miili ya Ashura Moshi (mke) pamoja na mtoto wao, Alibika Khalid, iligunduliwa shambani humo ikiwa imeanza kuharibika. Hukumu hiyo imetolewa jana Machi 10,…

Read More

Hali ilivyo maadhimisho ya siku ya wanawake Arusha

Arusha. Mamia ya wananchi wa Mkoa wa Arusha na mingine ya jirani wamejitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani (IWD), ambayo kitaifa yanafanyika jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanafanyika leo Jumamosi Machi 8, 2025 katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Mageti ya uwanja…

Read More

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Zanzibar alishukuru Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Zanzibar, Shaib Ibrahim Mohamed amelishukuru Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani, Save the Childen na Tanzania Bora Initiative, kwa uwasilishaji wa mradi wa Vijana Plus ambao utawafikia makundi mbali mbali ya vijana wa Zanzibar . Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Ndugu…

Read More

MC KIANDA ATAMANI TUZO YA MC WA TAIFA

Na Oscar Assenga, TANGA. MSHEHERESHAJI aliyeibuka kinara katika Tuzo za MC Bora wa Mkoa wa Tanga 2025 Giliad Kianda “MC Kianda” amesema kwa sasa malengo yake anayatazama kuwania tuzo bora za Taifa kutokana na umahiri wake na ubunifu katika utekelezaji wa kazi zake. Kianda aliyasema hayo mara baada ya kumalizika kwa mashindano ya Tuzo la…

Read More

Sh5.5 bilioni kuyaongezea ujuzi makundi ya vijana sekta hizi

Unguja. Vijana 711,880 kutoka makundi tofauti wanatarajiwa kuongezewa ujuzi kulingana na fani zao nchini kupitia mradi wa vijana Plus. Mradi huo unaoanza mwaka huu hadi 2026, utawapa fursa vijana katika sekta tofauti wakiwemo wajasiriamali, wasanii na waandishi wa habari ili kuwaongezea ujuzi katika maeneo wanayofanyia kazi kwa kipindi cha miaka mitatu utagharimu Euro 2.2 milioni…

Read More