Wasanii wametakiwa kutumia sanaa kufikisha elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza yakiwemo ya moyo katika jamii inayowazunguka. Rai hiyo imetolewa leo
Category: Burudani

Filamu ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchini Tanzania ijulikanayo kama “Tantalizing Tanzania” inayomhusisha mwanamuziki wa India Shakti Mohan aliyepiga picha mjongeo katika hifadhi za

Tanzania inatarajia kuzindua Tuzo za Kitaifa za Utalii na Uhifadhi Desemba 20, 2024, ikiwa ni hatua ya kutambua na kuenzi mchango wa wadau wa sekta

MSANII wa muziki kutoka nchini Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond. Anaripoti

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MSANII wa muziki kutoka nchini Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika

MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ ameshirikishwa na staa wa muziki kutoka nchini Ghana, KJ Spio katika kibao kiitwacho ‘Messi”. Anaripoti Joseph Shaluwa,

Dar es Salaam. Kwa mara nyingine, maelefu ya wakazi jijini hapa na wengine kutoka mikoa na nchi mbalimbali wamefurika katika mkesha uliopewa jina la ‘Kuvuka

Na John Mapepele WASANII wa Tanzania wamepamba ufunguzi wa msimu wa nne wa Tamasha la Bibi Titi Mohamed usiku wa kuamkia leo huku Katibu Mkuu

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI iloyoko Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetangaza huduma ya Kupima Moyo bure kwa Wasanii wa Filamu Tanzania. Akizungumza

Dar es Salaam. Sinza ni miongoni mwa maeneo maarufu na yenye pilikapilika nyingi katika Jiji la Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Ripoti ya Sensa