Sh5.5 bilioni kuyaongezea ujuzi makundi ya vijana sekta hizi

Unguja. Vijana 711,880 kutoka makundi tofauti wanatarajiwa kuongezewa ujuzi kulingana na fani zao nchini kupitia mradi wa vijana Plus. Mradi huo unaoanza mwaka huu hadi 2026, utawapa fursa vijana katika sekta tofauti wakiwemo wajasiriamali, wasanii na waandishi wa habari ili kuwaongezea ujuzi katika maeneo wanayofanyia kazi kwa kipindi cha miaka mitatu utagharimu Euro 2.2 milioni…

Read More

Kumekucha CCM Mkwakwani | Mwananchi

Tanga. Ikiwa leo ndiyo mara ya kwanza unafika Tanga, usingeacha kujiuliza kwa msemo maarufu wa ‘Tanga ku nani?’ Sio mambo ya mahaba, bali ni mishemishe na pilikapilika za wananchi wakipita huku na kule uelekeo ni mmoja tu, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani. Katika uwanja huo, kunafanyika mkutano unaohitimisha ziara ya siku sita ya Rais Samia…

Read More

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KUWASHA MWENGE YAMEPAMBA MOTO

MWENGE WA UHURU KUWASHA APRILI 2,2025 PWANI Na Khadija Kalili Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge amewatoa wito kwa wakaazi wa Mkoa wa Pwani kujitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa kuwasha mwenge Kitaifa utakaofanyika Aprili 2 ,2025 uliopangwa kufanyika kwenye Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha. “Mtakumbuka kuwa wakati wa maadhimisho…

Read More

Rungu la wajumbe CCM latesa vigogo

Dar es Salaam. Mabadiliko ya katiba ya Chama cha Mapinduzi yameanza kuwavuruga wagombea wa udiwani, ubunge na uwakilishi, ikiwa imebaki takribani miezi mitano kufanyika kwa kura za maoni. Januari 18-19, 2025, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma, pamoja na mambo mengine ulifanya mabadiliko ya katiba ya chama hicho na kuongeza makundi ya wanachama watakoshiriki kuwapigia kura…

Read More

Chalamila awaita vijana wasio na mitaji ofisini kwake

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema vijana wanaotaka kufanya biashara eneo la Kariakoo wafike ofisini kwake ili kukopeshwa bidhaa za kuanzia kama mtaji. Chalamila ameyasema hayo leo Alhamisi Februari  27, 2025 katika sherehe za kilele cha uzinduzi wa ufanyaji biashara saa 24,uliofanyika jijini humo. Shughuli za ufanyaji biashara…

Read More

Serikali yaanika mkakati kupunguza bei ya gesi

Muheza. Huenda kilio cha bei ya gesi nchini kikapata suluhu baada ya Serikali kuweka wazi mikakati yake ya kuhakikisha inawapunguzia wananchi gharama ya nishati hiyo. Mikakati hiyo kwa mujibu wa Rais Samia Suluhu Hassan ni pamoja na kutoa ruzuku kwa wanaochakata gesi kuwa nishati na kuweka mazingira rafiki yatakayochochea ushiriki wa sekta binafsi kwenye shughuli…

Read More

Musonda awataja Zuchu, Harmonize | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI nyota wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda hachezi mpira tu, lakini amekuwa akiwafuatilia wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini na kuwataja watatu kati yao kuwa ndio wanaomkuna na kumfanya apende kusikiliza ngoma zao pale anapokuwa amepumzika nje ya uwanja. Musonda anayemiliki mabao matatu kwa sasa katika Ligi Kuu Bara, amewataja wasanii hao ni Zuchu, …

Read More

AIRTEL AFRIKA KUKUZA MZIKI WA AFRIKA KUPITIA TRACE AWARDS 2025

Zanzibar, Februari, 2025 – Airtel Afrika imeingia kwenye ushirikiano na wadau wa muziki kukuza vipaji vya muziki Afrika kupitia teknolojia ya mawasiliano ya intaneti ya kasi ili kuhakikisha wasanii wanafikia ndoto zao. Kampuni hiyo ilidhihirisha dhamira hiyo kwa kushirikiana na jukwaa la Trace Awards and Summit 2025 iliyofanyika The Mora visiwani Zanzibar kuanzia Februari 24…

Read More