Polisi yamshikilia Clemence Mwandambo kwa tuhuma za uchochezi

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali ya ‘Saint Clemence’, Clemence Mwandambo mkazi wa Uzunguni A jijini humo kwa tuhuma za uchochezi.  Mwandambo ambaye amekuwa maarufu mitandaoni kwa maneno yake ikiwano maarufu la ‘Nachoka baba yenu Clemence Mwandambo’  inaelezwa alikamatwa na Jeshi la Polisi jana Novemba 21. Mwandambo ambaye ni…

Read More

TAMTHILIA YA NICE TO MEET YAMDONDOSHA TUSA MSIMU WA PILI

WADAU wa Filamu nchini wanapaswa Kupewa moyo kwa Watayarishaji kuhakikisha wanatengeneza Kazi zenye Viwango na weledi ili kuendelea kulipa hadhi soko la filamu Kimataifa na Kunyanyua vipaji mbalimbali. Akizungumza kauli hiyo Msanii chipukizi ambae pia ni ingizo jipya Munirah pendeza marufuku kama Tusa ndani ya filamu ya “Nice to Meet you “amesema Kwa sasa Wadau…

Read More

Wadau wataja ilikojificha tabasamu ya Watanzania

Dar es Salaam. Wadau mbalimbali nchini wameeleza matarajio yao kwa Serikali kuhusu hatua wanazotamani kuona ikizichukua ili kujenga Taifa lenye furaha na kuwaletea wananchi tabasamu la kudumu. Maoni hayo yanakuja siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa kauli inayosisitiza dhamira yake “ya kuona Serikali anayoiongoza inakumbukwa kwa tabasamu litakalokuwepo kwenye nyuso za Watanzania.”…

Read More

Familia, marafiki wamlilia MC Pilipili

Dodoma. Vilio simanzi na majonzi vimetawala nyumbani kwa aliyekuwa mchekeshaji na mshereheshaji wa shughuli mbalimbali nchini, marehemu Emmanuel Mathias (MC Pilipili) aliyefariki jana mchana jijini Dodoma. ‎Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu Mc Pilipili alikwenda jijini Dodoma kwa ajili ya kusherehesha harusi iliyokuwa ifanyike jana Jumapili Novemba 16,2025 lakini alikutwa na umauti na sababu za…

Read More

FYATU MFYATUZI: Ole wao wale mafyatu mamluki waliotufyatua

Kwanza, natuma rambirambi kwa mafyatu waliofyatuliwa bahati mbaya baada ya mafyatu wa ‘kigeni’ aka ‘mamluki’ kukinukisha na kutufyatua na kupotezea sifa ya kisiwa cha imani ya amani, mshikamano, mapendano, na upendo. Nasikia hawa mafyatu wa kigeni waliua mafyatu wetu wasiopenda mbambamba na kusingizia mageshi yetu hasa ndata wasioweza kuua hata mbu. Wakimkamata, wanamuamuru aruke apotelee…

Read More

Ole wao wale mafyatu mamluki waliotufyatua

Kwanza, natuma rambirambi kwa mafyatu waliofyatuliwa bahati mbaya baada ya mafyatu wa ‘kigeni’ aka ‘mamluki’ kukinukisha na kutufyatua na kupotezea sifa ya kisiwa cha imani ya amani, mshikamano, mapendano, na upendo. Nasikia hawa mafyatu wa kigeni waliua mafyatu wetu wasiopenda mbambamba na kusingizia mageshi yetu hasa ndata wasioweza kuua hata mbu. Wakimkamata, wanamuamuru aruke apotelee…

Read More