Polisi yamshikilia Clemence Mwandambo kwa tuhuma za uchochezi
Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali ya ‘Saint Clemence’, Clemence Mwandambo mkazi wa Uzunguni A jijini humo kwa tuhuma za uchochezi. Mwandambo ambaye amekuwa maarufu mitandaoni kwa maneno yake ikiwano maarufu la ‘Nachoka baba yenu Clemence Mwandambo’ inaelezwa alikamatwa na Jeshi la Polisi jana Novemba 21. Mwandambo ambaye ni…