
Kiti cha uenezi CCM moto, miaka minne ya Rais Samia
Dar es Salaam. Kiti cha Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa kaa la moto kwa kila anayeteuliwa kukikalia kwani wamekuwa wakitumikia kwa muda mfupi kabla ya kuondolewa. Tangu Rais Samia Suluhu Hassan ameingia madarakani Machi 19, 2025 na kuwa mwenyekiti wa chama hicho, tayari CCM kimekuwa na makatibu…