BASATA YATOA WITO WASANII KUJIRASIMISHA MTANDAONI, TAMASHA LA 17 LA MUZIKI WA CHIGOGO KUFANYIKA JULAI CHAMWINO

….. Na Carlos Claudio, Chamwino Dodoma. Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii wote nchini kujirasimisha rasmi ili waweze kutambulika kisheria na kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali, likisisitiza kuwa mfumo wa usajili unapatikana mtandaoni kupitia kiungo cha sanaa.go.tz. Wito huo umetolewa leo Februari 27, 2026 katika wilaya ya Chamwino, mkoani…

Read More

Gachi Amuomba Radhi Yammi Baada ya Kuzua Taharuki Mitandaoni – Video

Global Publishers February 26, 2026 0 Comments Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary maarufu kama Gachi Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary maarufu kama Gachi, amejitokeza hadharani kumuomba radhi msanii mwenzake Yammi kufuatia tuhuma alizozitoa mitandaoni hivi karibuni akimtuhumu kumchukulia mwanaume wake. Katika hatua iliyoonekana kuwa ya kutafuta suluhu na kurejesha…

Read More

Stone Mosabu feat G Nako – Kuku (Official Music Video)

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments Stone Mosabu ameshirikiana na G Nako kuleta wimbo mpya wa muziki wa Kiswahili unaoitwa “Kuku”, na tayari umekuwa gumzo kwa mashabiki wa muziki nchini. Wimbo huu unachanganya beat kali, vibes za kipekee, na maneno yanayofaa kwa kuamsha hamasa katika kila party au sherehe. “Kuku” ni ushuhuda wa ushirikiano…

Read More

Vinyozi, wasusi, wapigapicha sasa kusajiliwa Basata

Dar es Salaam. Vinyozi, wasusi, wabunifu wa michoro, wapigapicha, wachoraji na wataalamu wengine wa kazi za ubunifu sasa watalazimika kusajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ili kuendesha shughuli zao kihalali nchini Tanzania. Agizo hili jipya linatokana na marekebisho ya kanuni za Basata zilizochapishwa katika Gazeti la Serikali Juni 30, 2025, na kuashiria mabadiliko…

Read More

Jeshi la Polisi laonya wasichana picha za utupu

Tanga. Jeshi la Polisi limewataka wasichana kuepuka kujipiga picha za utupu na kuzihifadhi kwenye simu za mikononi ili kuepuka madhila na udhalilishaji unaoweza kutokea endapo picha hizo zitasambazwa kupitia mitandao ya kijamii. Limesema hata kama mmiliki wa simu hajasambaza picha hizo binafsi, iwapo simu itapotea, kuharibika au kuchukuliwa na mtu mwingine, anaweza kutumia nafasi hiyo…

Read More

Wimbo Mpya : MAP MASTAR MKM Ft. NOBE

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Map Mastar MKM wakishirikiana na Nobe wametambulisha rasmi wimbo wao mpya uitwao “Kiongozi Bora”, audio rasmi ikiwa imewekwa kupitia mtandao wa YouTube chini ya Misalaba Media.  Wimbo huu unakuja ukiwa na ujumbe mzito wa kijamii unaogusa nafasi na wajibu wa viongozi bora katika maendeleo ya taifa, ambapo wasanii hao…

Read More

Mmomonyoko wa maadili kilio elimu ya juu

Unguja. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel Mushi, amesema kutokana na changamoto ya mmomonyoko wa maadili inayowaathiri vijana wa vyuo vikuu, wanapaswa kupewa uelewa wa namna ya kukabiliana na janga hilo. Amesema hayo leo Jumamosi Septemba 27, 2025 akifunga mkutano wa 43 wa Chama cha Washauri Wanafunzi Tanzania (Taccoga1984), uliofanyika…

Read More