
Zanzibar yapata pigo | Mwananchi
Unguja. Kifo cha msanii mkongwe wa taarab, Said Mpenzi, kimeacha pigo kubwa kwa Zanzibar, kwani alikuwa mmoja wa wasanii nyota waliotamba ndani na nje ya visiwa hivyo, akiiletea sifa kubwa nchi hiyo. Msanii huyo alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumanne, Februari 11, 2025. Alikuwa sehemu ya kundi la wasanii waliopigania mapinduzi hata baada ya Mapinduzi…