Kikundi cha ngoma ya kabila la Wafipa cha Mama Chanje wakionyesha Manjonjo yao ya kucheza ngoma zenye ujumbe mbalimbali mjini Sumbawanga, Rukwa, Tanzania hivi karibuni.
Category: Burudani

Handeni. Ulemavu haujamzuia kijana huyu kuzifikia ndoto zake. Kwake, umeibua fursa mpya za kumwezesha kuendesha maisha yake bila kumtegemea mtu, tofauti na baadhi ya wengine

Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamMAMLAKA ya Maendeleo ua Biashara Tanzania (TANTRADE) imezindua shindano la ubunifu wa logo ya ‘Made in Tanzania’ ambapo kazi za wasanii

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetupilia mbali ombi la kuzuia dhamana ya mshtakiwa Ferdnand Ndikuriyo (27), maarufu Chuma cha Chuma, lililowasilishwa na

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetupilia mbali ombi la kuzuia dhamana ya mshtakiwa Ferdnand Ndikuriyo (27), maarufu Chuma cha Chuma, lililowasilishwa na

Dar es Salaam. Waswahili waliposema “Pombe siyo maji” hawakukosea hata kidogo. Ilitokea siku moja tukitayarisha mazishi ya rafiki yetu aliyetutoka siku moja kabla. Tukaliandaa kaburi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kutokana na kifo cha mkongwe wa muziki wa dansi,

Na Mwandishi wetu TAMTHILIA ya ‘Nice to Meet you’ inayowakutanisha waigizaji Lulu Abas ‘Lulu Diva’ na Hemed Suleiman ‘Hemed ‘PHD’ wenye uhasama kuzinduliwa rasmi Novemba

Ikiwa Leo November 14, 2024, Mkali kutokea Hip Hop, Stamina anasherehekea siku yake ya kuzaliwa sasa ameamua Pia kuachia Album yake mpya inayokwenda kwa jina

Ukurasa mpya wa Simu Mahiri Nyembamba, Imara, na Zenye Utendaji Bora Wakati BillNass na Wasanii kibao wakilipamba Jukwaa Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Infinix mobile,