Zanzibar yapata pigo | Mwananchi

Unguja. Kifo cha msanii mkongwe wa taarab, Said Mpenzi, kimeacha pigo kubwa kwa Zanzibar, kwani alikuwa mmoja wa wasanii nyota waliotamba ndani na nje ya visiwa hivyo, akiiletea sifa kubwa nchi hiyo. Msanii huyo alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumanne, Februari 11, 2025. Alikuwa sehemu ya kundi la wasanii waliopigania mapinduzi hata baada ya Mapinduzi…

Read More

Kikwete ajenga ukumbi wa mikutano Bukombe

Geita. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amejenga ukumbi wa mkutano wa kisasa katika Shule ya Sekondari Bulangwa, wilayani Bukombe Mkoa wa Geita, kwa ufadhili wa Kampuni ya MM Steel. Ukumbi huo una uwezo wa kubeba watu kati ya 3,500 na 4,000. Akiweka jiwe la msingi la ukumbi huo leo Februari 8, 2025, Kikwete amesema kujengwa kwa…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote wakiwamo waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, na wenye ushawishi mitandaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Tujadili upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote wakiwamo waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, na wenye ushawishi mitandaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More

Tujadili upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote – waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, vilevile wenye ushawishi mitanadaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More