Ferooz: Ahoua kaziba pengo la Chama

MSANII wa Bongo Fleva anayejulikana kwa jina la Ferooz ‘Bosi’ humwambii kitu kuhusu mshambuliaji wa Simba, Ahoua Jean Charles aliyekuwa MVP wa Ligi Kuu ya Ivory Coast msimu uliopita na amemtabiria kuandika rekodi ya kibabe mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Ferooz amesema ni shabiki wa Simba damu na anavyocheza Ahoua  mwenye mabao saba…

Read More

Asasi 157 zapewa kibali elimu kwa mpiga kura

Tanga. Jumla ya asasi 157 za kiraia zimepewa kibali na Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajali ya kutoa elimu ya mpigakura katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele…

Read More

Rais wa Moët Hennessy wa Ulaya, Mashariki ya Kati na Afrika, Atembelea Duka la Msanii Jux

Moët Hennessy inaendelea kuthibitisha uwepo wake kwenye soko linalokua la Tanzania ambapo Thomas Mulliez, Rais wa Moët Hennessy kwa Ulaya, Mashariki ya Kati, na Afrika, amezuru nchini Tanzania. Ziara hiyo muhimu imeangazia kuongeza imani ya kampuni hiyo ya kimataifa yenye vinywaji bora kabisa duniani nchini Tanzania kama sehemu inayokuwa kwa kasi na inasisitiza dhamira yake…

Read More