Mbowe asimulia Lissu, Lema na Heche walivyomuumiza Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameelezea maumivu mbalimbali anayopitia ndani ya chama hicho, akisema hayamkatishi tamaa kwani ndio wito aliouchagua. Amesema kwa zaidi ya miaka ya 30 akiwa ndani ya chama na miaka 21 ya uenyekiti amepitia mengi, ikiwemo viongozi wenzake waandamizi kumshambulia kwa maneno aliyodai ni…

Read More

Dodoma kimewaka, CCM wanajambo lao

Dodoma. Kumekucha Dodoma ndivyo unaweza kuelezea jiji hili kwa sasa wakati huu Chama cha Mapinduzi (CCM) kikifanya mkutano mkuu wake. Mitaa mbalimbali ya Jiji la Dodoma imepambwa kwa bendera za CCM na picha za mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan. Viongozi wa chama na Serikali, wanachama, makada na mashabiki wa CCM wapo Dodoma kushuhudia pamoja…

Read More

PROF. KABUDI AHIMIZA MATUMIZI YA KAMUSI YA KISWAHILI SHULENI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi akipokea kamusi ya Lugha ya Kiswahili kwa shule za msingi kutoka kwa Katibu Mtendaji wa BAKITA, Consolata Mushi. WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) kuchukua hatua madhubuti katika kuhakikisha Kamusi ya Kiswahili inatumika ipasavyo shuleni ili…

Read More

DC Mbozi afariki dunia, akumbukwa kwa uchapakazi

Mbeya/Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia, viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM), wakimkumbuka kwa uchapakazi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Mohamed Mchengerwa kwa niaba ya Rais, Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha mkuu huyo wa wilaya kilichotokea leo Januari 14, 2025…

Read More

MEYA KUMBILAMOTO AZINDUA NYUMBA ZA KISASA MILANO

WAWEKEZAJI Nchini Wahakikishiwa Usalama na Amani ili wa Mali zao ili waweze Kufanya Uwekezaji wenye tija kwa Maslahi mapana ya Taifa . Akizungumza na Wanahabari Leo Januari 10,2025 Wakati wa Uzinduzi wa mradi Wa Nyumba za Kisasa (Milano Appartment) uliopo Masaki JijiniDaresSalaam,Meya wa Jiji la Dar es Salaam Omary Kumbilamoto amesema anamshukuru sana Rais wa…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tatizo la ajira litufunze kujiajiri

Siku moja Mtemi Kimweri aliota ndoto ya kutisha sana. Ndotoni aliona watu weupe kama karatasi wakiteremka mashuani, wakaingia kwenye ardhi yake na kuanza kuyapinga yote yaliyofanyika chini ya Mtemi. Walipita madarasani na kuiponda elimu yao, wakapita kwenye burudani na kuziponda ngoma zao. Hata kwenye nyumba za ibada walizikandia imani zao kwa kusema mambo yote waliyofuata…

Read More

Vita nzito kikapu la Daraja la Kwanza Dar

ILE Ligi ya Kikapu Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam imeendelea kushika kasi katika Uwanja wa Bandari, Kurasini, ambapo timu mbalimbali zinaendelea kuonyeshana ubabe zikiwania kupanda daraja. Katika michezo hiyo, Stein Warriors iliendelea kuonyesha makali baada ya kuifunga Mbezi Beach kwa pointi 61-45. Mchezo huo ulioshuhudiwa na watazamaji wengi katika Uwanja wa Bandari…

Read More

JKCI imefungua tawi jipya katika jengo la Oyster Plaza

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imefungua tawi jipya kuwapa wananchi nafasi kuwa karibu na huduma ili pale wanapopata changamoto za kiafya wasichukue muda mrefu kufuata huduma zilipo. Tawi hilo lililopo katika jengo la Oyster Plaza Haile Salassie barabara ya Ali Bin Said limeanza kutoa huduma bobezi za moyo leo lengo likiwa kuwapa fursa wananchi…

Read More