Aisha Masaka, Frida Amani waandaa mechi kuwabeba watoto wa kike
NYOTA wa timu ya taifa ya Wanawake na klabu ya Brighton & Hove Albion ya England, Aisha Masaka akishirikiana na msanii wa hip hop, Frida Amani wamezindua kampeni ya ‘Amka Malkia ‘ ya kumsaidia mtoto wa kike kutimiza ndoto itakayosindikizwa na mechi ya soka ya hisani. Mechi hiyo ya kampeni hiyo iliyoandaliwa na taasisi za…