Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Burudani

  • Home
  • Burudani
  • Page 22
Burudani

UZINDUZI WA “AMAZING TANZANIA” WATIA FORA, DKT. ABBASI AELEZA TAMU NA CHUNGU ZA “LOCATION” NA MARAIS WA NCHI

November 5, 2024 Admin

Hatimaye Filamu ya kuitangaza nchi Uchina ya “Amazing Tanzania” iliyomshirikisha Rais Samia Suluhu Hassan, Dr. Hussein Mwinyi na msanii Jin Dong kutoka China, imezinduliwa rasmi

Read More
Burudani

Picha :Wasanii walivyolia kwa uchungu msibani wakimuaga Grace

November 4, 2024 Admin

Hawa hapa Mastaa wa filamu na viongozi mbalimbali walia kwa uchungu sana wakimuaga mwigizaji mwenzao Grace Mapunda leo leaders. The post Picha :Wasanii walivyolia kwa

Read More
Burudani

Kutoweka bosi Dar24 kwaibua kilio

November 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa Mkurugenzi wa Dar24 Media, Maclean Mwaijonga kumeongeza kilio cha kuongezwa kazi ya uchunguzi wa matukio ya

Read More
Burudani

Baba wa aliyechoma picha ya Rais aiangukia Serikali

November 1, 2024 Admin

Mbeya. Ikiwa imepita miezi miwili tangu kutoweka kwa msanii wa uchoraji, Shadrack Chaula (24), baba yake mzazi, Yusuph Chaula (56) ameiomba Serikali kufanya uchunguzi wa

Read More
Burudani

Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, atua Tanzania kwa huduma ya Uimbaji

October 31, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, anayefahamika kwa wimbo wake maarufu Nina Siri, amewasili nchini Tanzania kwa

Read More
Burudani

Nchi 128 kuishuhudia Tanzania pokea mastaa wakubwa Afrika na kuzigawa tuzo 2025

October 30, 2024 Admin

Msimu wa Pili wa Tuzo za Trace Music Awards & Summit umezinduliwa Rasmi leo na Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa Tanzania, Zanzibar huku Muziki wa Bongofleva

Read More
Burudani

Samaki Samaki ilivyosheherekea miaka 17, ni Burudani kwa kwenda mbele

October 28, 2024 Admin

Mgahawa maarufu wa Samaki Samaki, jijini Dar es Salaam, ulitimiza miaka 17 tangu ulipoanzishwa rasmi mwaka 2007. Mgahawa huu, unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu Carlos Bastos,

Read More
Burudani

Msigwa Aitaka TaSUBa Kuongeza Ushirikiano Kuboresha Bagamoyo Festival

October 27, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO KATIBU Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo, Gerson Msigwa amemtaka Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa),

Read More
Burudani

BSS MSIMU WA 15 WAZINDULIWA RASMI

October 26, 2024 Admin

SHINDANO la kusaka Vipaji Tanzania Bongo Star Search ‘BSS’ misimu wa kumi na tano umezinduliwa rasmi kwa sasa ni Bongo Star Search African wanavuka boda.

Read More
Burudani

Usaili wa wasanii Bongo Star Search African kuanzia Arusha Novemba 9

October 25, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search African (BSSA) limepanga kuanza rasmi usaili wa wasanii nchini Tanzania, ambapo usaili

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 21 22 23 … 50 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.