Wasanii wamiminika JKCI ofa ya Rais Samia kupima moyo

  WASANII ambao wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wamempongeza Rais kwa kuwapa fursa hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Akizungumza  wakati wa uchunguzi wa moyo kwa wasanii hao jana, Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dk. Peter Kisenge…

Read More

TRA na BASATA Wasaini Makubaliano ya Kubadilishana Taarifa na Kudhibiti Mapato ya Wasanii

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeingia makubaliano na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ili kubadilishana taarifa na kusomana mifumo ya kudhibiti mapato yatokanayo na wasanii, na pia kubaini wasanii wanaolipa na wasiokodi. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Desemba 24, 2024 Jijini Dar es Salaam katika hafla hiyo, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA)…

Read More

Morris Nyunyusa: Mlemavu wa macho aliyepiga ngoma 17

Dodoma. Mdundo maarufu uliosikika kwenye taarifa za habari za redio ya Taifa (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) ulikuwa ni wa kipekee.  Mdundo huo uliokuwa ukianza kwa ‘kududundu, kudu kudu kudu kudundundu, halafu ti ti tiii’, uliashiria muda wa taarifa za habari.  Ni mdundo uliotokana na ngoma 17 zilizopigwa kwa wakati mmoja na Mzee Morris Nyunyusa,…

Read More

Simulizi dereva aliyewaendesha marais watatu

Mara nyingi, kuna watu wanaoenziwa na kutuzwa nchini kwa kufanya mambo mbalimbali mazuri. Lakini wengi wao huwa wasomi wabobezi, wanasiasa au wanamichezo na wasanii wachache. Si aghalabu kuona watu wanaoonekana wa kada ya chini wakitukuzwa kwa lolote japo wanafanya mambo makubwa.  Mmoja wao ni Ismail Mputila, dereva aliyewaendesha marais watatu kwa takriban miaka 25. Awali …

Read More

Wasanii watakiwa kutumia sanaa kufikisha elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Wasanii wametakiwa kutumia sanaa kufikisha elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza yakiwemo ya moyo katika jamii inayowazunguka. Rai hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa kambi maalumu ya siku mbili ya tiba mkoba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayofanyika…

Read More

Filamu ya Tantalizing Tanzania yazinduliwa rasmi nchini India

Filamu ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchini Tanzania ijulikanayo kama “Tantalizing Tanzania” inayomhusisha mwanamuziki wa India Shakti Mohan aliyepiga picha mjongeo katika hifadhi za Serengeti, Ngorongoro na Zanzibar imezinduliwa nchini India. Filamu hiyo iliyoandaliwa na Kampuni ya Swahili iliyopo Mumbai nchini India imezinduliwa rasmi na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi…

Read More

Rais Samia na Dr. Leakey kutunukiwa Tuzo Arusha

Tanzania inatarajia kuzindua Tuzo za Kitaifa za Utalii na Uhifadhi Desemba 20, 2024, ikiwa ni hatua ya kutambua na kuenzi mchango wa wadau wa sekta hizo. Rais Samia Suluhu Hassan atatunukiwa tuzo ya heshima kwa mchango wake kupitia filamu za Royal Tour na Amazing Tanzania. Dk. Louis Leakey na Mary Leakey pia watatuzwa kwa uvumbuzi…

Read More

Bruce Melodie adondosha “Niki Minaji” X Blaq Diamond

  MSANII wa muziki kutoka nchini Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ni kibao chenye mikong’osio ya Amapiano na Afropop ambapo wawili hao wamefanya vurugu za aina yake katika wimbo huo. Wimbo huo haumzungumzii moja…

Read More

Harmonize agonga kolabo na mastaa kibao

  MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ ameshirikishwa na staa wa muziki kutoka nchini Ghana, KJ Spio katika kibao kiitwacho ‘Messi”. Anaripoti Joseph Shaluwa, Dar es Salaam … (endelea). Katika kolabo hiyo, mbali na Harmonize, KJ amemshirikisha mwanamuziki mwingine, mkali wa Dancehall kutoka Jamaica, Konshens ambao kwa pamoja wamenogesha singo hiyo. Ngoma hiyo ambayo…

Read More