Dabi ya Kariakoo yawaibua wabunge, wataka uwazi

Wabunge wameishukia Wizara ya Habari,Sanaa, Utamaduni na Michezo wakitaka itoe majibu ya kina katika mambo matatu likiwemo la kuifanya Bodi ya Ligi (TPLB) ijitegemee badala ya kuwa chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Mengine ni kutaka uwazi wa nini kinachoendelea kuhusu mazungumzo ya viongozi wa Timu za Simba na Yanga pamoja na…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Huu mtego wa panya uliomnasa ng’ombe

Nikikumbuka stori ya mtego wa panya huwa napata woga sana. Katika stori hii, panya anauona mnofu wa samaki aliotegewa. Anamwomba jogoo autegue ili apate riziki yake, lakini pia anatahadharisha kuwa mtego wa panya una hatari kubwa. Haumchagui panya pekee bali hunasa waliomo na wasiokuwamo. Jogoo anampuuza na kwenda na hamsini zake. Panya anamwendea mbuzi, lakini…

Read More

BDL yalamba udhamini wa Mil 639.5 wa betPawa

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Kampuni maarufu ya michezo ya kubashiri, betPawa, imesaini mkataba wa mwaka mmoja a wenye thamani ya Sh 639,466,554 kwa Ligi ya Mpira wa Kikapu (BDL) ya mkoa wa Dar es Salaam. Huu ni udhamini wa kwanza na wa kihistoria katika mpira wa kikapu hapa nchini usainiwa jana ambapo mkuu…

Read More

’Uchawa’ bomu linalosubiri kulipuka | Mwananchi

Dar es Salaam. Ingawa vijana wamegeukia ‘uchawa’ kama njia ya kipato, wadau wametahadharisha tabia hiyo wakisema ni hatari kwa ufanisi wa viongozi, thamani ya elimu na hata uchumi wa Taifa. Kwa mujibu wa wadau hao, kwa hali ilivyofikia jamii itaamini uchawa ndio njia ya kipato na hivyo watu wataacha kijibidiisha katika kazi, badala yake watawekeza…

Read More

Okoyo siyo soka tu hata gitaa freshi

KIUNGO wa kati wa KMC, Deusdedity Cosmas Okoyo amesema nje na kucheza soka ni mtaalamu wa kupiga gitaa linalomsaidia kumpa utulivu anapopata muda wa kupumzika baada ya mechi. Okoyo alisema endapo ndoto ya soka isingetimia, basi angekuwa mwanamuziki kwani ni kitu alichokuwa anakipenda tangu utotoni. “Zamani nilikuwa napenda kuimba sana, nikajifunza kupiga gitaa ambalo hadi…

Read More

THRDC yatoa Jacketi za usalama kwa Chama Wafanyakazi Waandishi JOWUTA

…………….. .Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa Mwandishi wetu,Dar es Saalam. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binaadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi za usalama kwa waandishi  wanachama wa Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) huku ikimuomba Rais Samia Suluhu kurejesha maridhiano ya kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu. Makabidhiano ya Jaketi hizo,yamefanyika jana  katika hoteli ya Mbezi…

Read More

Chondechonde tusilirejeshe Taifa kwenye enzi ya giza

Aliposhika madaraka, Rais Samia Suluhu Hassan alionyesha siyo tu nia kwa maneno, bali pia kwa matendo kwa kuchukua hatua mbalimbali zilizolenga kuliponyesha Taifa. Rais Samia alikutana na makundi mbalimbali ya kijamii, wakiwemo viongozi wa dini, kisiasa na kimila kujadiliana juu ya mustakabali wa Taifa. Alizuia ukusanyaji wa kodi kimabavu kupitia vikosi kazi, kesi za kisiasa…

Read More