
Wasanii wamiminika JKCI ofa ya Rais Samia kupima moyo
WASANII ambao wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wamempongeza Rais kwa kuwapa fursa hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Akizungumza wakati wa uchunguzi wa moyo kwa wasanii hao jana, Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dk. Peter Kisenge…